GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hii Michezo tumeshaicheza mno mpaka pale tulipoamua Kustaafu na Kutubu Dhambi kwa Mwenyezi Mungu hivyo Timu zingine zikifanya Michezo hii akina GENTAMYCINE huwa tunaishtukia na Kuigundua haraka sana hivyo tukisema Watu fulani Wachunguzwe upesi huwa tunakuwa tumeshatonywa na Vyanzo vyetu aminika ndani ya Kambi zao na Mipango Ovu ya ile Janja Janja Company yenye Ofisi zake Jengo refu kiasi Posta..
Tafadhali sana Uongozi wa TAKUKURU Mkoani Mwanza upesi sana Kamateni Simu za Mchezaji wa Geita Gold FC Adeyoum Saleh ( ambaye ni mwana Yanga SC lia lia Moyoni na Rohoni ) kisha na ya Mratibu Mwandamizi wa Yanga SC Mohammed Bhinda na baada ya hapo ( Kuzikagua Kiumakini ili mjiridhishe )) mtajua muanzie wapi juu ya Shutuma za Upangaji Matokeo ( Match Fixing ) katika Soka Tanzania kwani tumeshachoka baada ya Kuuvumilia Upuuzi kama siyo Uhuni huu.
Watendaji wa TAKUKURU Kazi Kwenu.
Tafadhali sana Uongozi wa TAKUKURU Mkoani Mwanza upesi sana Kamateni Simu za Mchezaji wa Geita Gold FC Adeyoum Saleh ( ambaye ni mwana Yanga SC lia lia Moyoni na Rohoni ) kisha na ya Mratibu Mwandamizi wa Yanga SC Mohammed Bhinda na baada ya hapo ( Kuzikagua Kiumakini ili mjiridhishe )) mtajua muanzie wapi juu ya Shutuma za Upangaji Matokeo ( Match Fixing ) katika Soka Tanzania kwani tumeshachoka baada ya Kuuvumilia Upuuzi kama siyo Uhuni huu.
Watendaji wa TAKUKURU Kazi Kwenu.