TAKUKURU Mwanza tafadhali kamateni na zikagueni upesi sana Simu za Mchezaji Adeyoum wa Geita Gold FC na Mratibu wa Yanga SC Bhinda

TAKUKURU Mwanza tafadhali kamateni na zikagueni upesi sana Simu za Mchezaji Adeyoum wa Geita Gold FC na Mratibu wa Yanga SC Bhinda

Acha Ushamba kwa Dar es Salaam ana Makazi yake Temeke na Kimara achilia mbali Uwanja wake ulioko Bunju huko mitaa siyo mbali na anakokaa Mvutaji Sigara Bwege mwenzake Haruna Moshi Boban.

Hivyo alichosema huyo Genta ni sahihi.
😁😁😁😁😁ila popoma kuna nati imelegea kichwani wewe.
 
Amashakula ban tayari jamaa huwa hatobai hata wiki bila kupata ban
Na kinachoshangaza Jamaa sijui ana Uchawi ( Charm ) gani yaani hata akiwa amepewa BAN ila Sisi tunaomchukia hatuachi kuacha Kumsoma, Kumjadili na Kumfuatilia kuanzia Mada zake na Maoni yake katika Mada za Watu wengine.
 
Eti Mods wanaicha tu iote mizizi.. Kwahivyo unataka GENTAMYCINE apate Ban...!

We Bila bila ni manafiki mno, Juzi tu ametoka kumsifia kuwa anatenda haki kwa vile alisema ya kukufurahisha kuhusu Simba SC, sasa leo kwakuwa kagusa kwenye mfupa kwa kusema yenye kukuchukiza kuhusu Yanga ndo unanza kulalamika sijui Azim Dewji Center, Mwameja, mara Takukuru.

Kama ulimkubali kuwa Gentamycine ni dawa basi acha akutibu..! Huwezi acha Unafiki au Nifaq
Eti Mods wanaicha tu iote mizizi.. Kwahivyo unataka GENTAMYCINE apate Ban...!

We Bila bila ni manafiki mno, Juzi tu ametoka kumsifia kuwa anatenda haki kwa vile alisema ya kukufurahisha kuhusu Simba SC, sasa leo kwakuwa kagusa kwenye mfupa kwa kusema yenye kukuchukiza kuhusu Yanga ndo unanza kulalamika sijui Azim Dewji Center, Mwameja, mara Takukuru.

Kama ulimkubali kuwa Gentamycine ni dawa basi acha akutibu..! Huwezi acha Unafiki au Nifaq
Nilichogundua ni kwamba 95% ya JamiiForums Members tunampenda mno huyo sijui GENTAMYCINE, ila tunamchukia tu Kiunafiki labda kwa Wivu na Uswahili wetu na pengine hata matatizo yetu ya Akili tuliyonayo.

Cc: Its Pancho, adriz, Yuda Iskariot
 
Kwanini huwa unapenda kutumia ID's Mbili katika Kupambana ( Kujibizana ) na huyo GENTAMYCINE mwenye ID yake hiyo moja tu hapa JamiiForums? Hujioni una tatizo la Akili?
😂😂😂😂
 
Acha Ushamba kwa Dar es Salaam ana Makazi yake Temeke na Kimara achilia mbali Uwanja wake ulioko Bunju huko mitaa siyo mbali na anakokaa Mvutaji Sigara Bwege mwenzake Haruna Moshi Boban.

Hivyo alichosema huyo Genta ni sahihi.
😂😂😂😂😂
 
Ashakula umeme kama kawa kama dawa
Na kinachoshangaza Jamaa sijui ana Uchawi ( Charm ) gani yaani hata akiwa amepewa BAN ila Sisi tunaomchukia hatuachi kuacha Kumsoma, Kumjadili na Kumfuatilia kuanzia Mada zake na Maoni yake katika Mada za Watu wengine.
 
Na kinachoshangaza Jamaa sijui ana Uchawi ( Charm ) gani yaani hata akiwa amepewa BAN ila Sisi tunaomchukia hatuachi kuacha Kumsoma, Kumjadili na Kumfuatilia kuanzia Mada zake na Maoni yake katika Mada za Watu wengine.
Umerudi na id yako nyingine we bwe,ge?mods tandika na hii ban asituletee nyuzi zake za kitoto humu
 
Umerudi na id yako nyingine we bwe,ge?mods tandika na hii ban asituletee nyuzi zake za kitoto humu
Peleka upesi Ushahidi wako kuwa ID hii ni ya huyo Mtu wenu ili wajue nini cha kufanya na iwe mwanzo na mwisho kunihisi au kunifananisha na hiyo ID sawa?
 
Eti Mods wanaicha tu iote mizizi.. Kwahivyo unataka GENTAMYCINE apate Ban...!

We Bila bila ni manafiki mno, Juzi tu ametoka kumsifia kuwa anatenda haki kwa vile alisema ya kukufurahisha kuhusu Simba SC, sasa leo kwakuwa kagusa kwenye mfupa kwa kusema yenye kukuchukiza kuhusu Yanga ndo unanza kulalamika sijui Azim Dewji Center, Mwameja, mara Takukuru.

Kama ulimkubali kuwa Gentamycine ni dawa basi acha akutibu..! Huwezi acha Unafiki au Nifaq
Unavhoshindwa kujua na unachotaka kupotosha watu ni pale unapodhani Mimi ni shabiki wa Yanga, hapana tena hapana kabisa. Tafuta popote utakapokuta najinasibisha na hizi timu mbili za Kariakoo. Kwanza ujue ndani ya JF Mimi ndo rafiki pekee wa Gentamycine nyie wengine mnamuita sijui Popoma sijui Nani. Lakini akiandika vizuri huwa namsifu, Ila Tabia ya kuharibia vijana wa watu image Kwa porojo tu sitakubaliana naye. Hata wewe ulipoleta Tabia ya Aina hii nilikwambia Wazi.
 
Unavhoshindwa kujua na unachotaka kupotosha watu ni pale unapodhani Mimi ni shabiki wa Yanga, hapana tena hapana kabisa. Tafuta popote utakapokuta najinasibisha na hizi timu mbili za Kariakoo. Kwanza ujue ndani ya JF Mimi ndo rafiki pekee wa Gentamycine nyie wengine mnamuita sijui Popoma sijui Nani. Lakini akiandika vizuri huwa namsifu, Ila Tabia ya kuharibia vijana wa watu image Kwa porojo tu sitakubaliana naye. Hata wewe ulipoleta Tabia ya Aina hii nilikwambia Wazi.
Huyo Ghazwat huwa ni wa kumsamehe tu wala usipate tabu mkuu
 
Nimekuwa nikiwaangalia vzur wachezaj pinzani dhidi ya yanga nione wanavyotegea lakin move zinavyoenda nashndwa kubaini mwsho wa sku naconclude kuwa wachezaj wa yanga hapo wako fit
 
Acha Ushamba kwa Dar es Salaam ana Makazi yake Temeke na Kimara achilia mbali Uwanja wake ulioko Bunju huko mitaa siyo mbali na anakokaa Mvutaji Sigara Bwege mwenzake Haruna Moshi Boban.

Hivyo alichosema huyo Genta ni sahihi.
[emoji23][emoji23]huyo Genta aisee wewe jamàa akili zako unazijuaga mwenyewe
 
Mtu akikwambia wewe mwizi na wala wewe sio mwizi basi yeye ni mwizi anakuwa na wasiwasi wa kujilikana.

Sisi Simba tumshuluru sana Makonda aliidhohofisha Utopolo na alitusaidia sana sisi Simba mpaka tukachukua ubingwa mara 4 pamoja na kuonga wapinzani wetu.

Msimu huu Makonda hayupo. Pesa za kuonga zimepungua ndio maana tumewekeza kwa Marefa ila wachezaji wetu wanashindwa kutumia mwanya tunaopewa na marefa ikiwemo penalti ila kwasasa tumejiongeza kwa magolikipa na mabeki wa timu pinzani.
 
Back
Top Bottom