TAKUKURU Mwanza tafadhali kamateni na zikagueni upesi sana Simu za Mchezaji Adeyoum wa Geita Gold FC na Mratibu wa Yanga SC Bhinda

TAKUKURU Mwanza tafadhali kamateni na zikagueni upesi sana Simu za Mchezaji Adeyoum wa Geita Gold FC na Mratibu wa Yanga SC Bhinda

Kama watakuwa wamenielewa Kaka yao basi huenda Leo kuna Mchezaji Mmoja anayekera na Misifa yake akaishia Wodi ( Wadi ) ya Mifupa au hata ICU pale Bugando Hospital.

Na nikiona tu Mabeki Wadogo zangu hawa Kelvin Yondan ( Temeke ) na Juma Nyosso ( Magomeni ) wamemuachia huyu Mkeraji aendelee Kutukera basi nitajua 'Wameshahongwa' hivyo kuanzia leo Mimi na Wao Urafiki basi na sitokuwa Kaka yao tena.

Leo nataka kumuona Yule Kelvin Yondan niliyemfundisha kupiga 'Vipepsi' vilivyoenda Shule hadi Refa haoni na Juma Nyosso Yule 'Mbabe' ambaye Refa akiwa haoni anampiga Mtu Kichwa na 'Kumghasi' Mshambuliaji hadi apate Hasira akereke, wagombane, amtoe Mchezoni na apewe Kadi Nyekundu.

Kwa wale mtakaokereka na hili ( hiki ) nanyi rejeeni ile Mechi ya Simba SC na Dodoma Jiji FC mwaka Jana ambapo kuna Timu Moja iitwayo Wapuuzi Jangwani FC iliyo chini ya Udhamini wa Janja Janja Company yenye Ofisi zake Jengo refu kiasi Posta iliwapa Pesa Wachezaji wa Dodoma Jiji FC na Maagizo ya Kuwavunja akina Sakho, Lwanga, Kanoute, Mkude, Kibu na Beki Kennedy ambapo walifanikiwa kwa 85% mpaka Simba SC ikadhoofika.

Yondani na Nyosso nivunjieni huyo FM.
Yaani watu wakishindwa kwasababu ya uwezo wao mdogo ndio useme wamehongwa?

Hao mabeki unaowasifia, timu yao iko nafasi ya ngapi? Yanga iko nafasi ya ngapi?

Aisee weee bwana, unakerwa sana na mafanio ya Yanga. Hiyo ni roho ya Mfalme Zumaridi na Makerubi wake ndio inakusumbua
 
Tatizo simba wanadhani wao walishaandikiwa LIFETIME CHAMPIONSHIP, ni upumbavu kudhani wewe tuu ndio una haki ya kushinda siku zote.
 
Hii Michezo tumeshaicheza mno mpaka pale tulipoamua Kustaafu na Kutubu Dhambi kwa Mwenyezi Mungu hivyo Timu zingine zikifanya Michezo hii akina GENTAMYCINE huwa tunaishtukia na Kuigundua haraka sana hivyo tukisema Watu fulani Wachunguzwe upesi huwa tunakuwa tumeshatonywa na Vyanzo vyetu aminika ndani ya Kambi zao na Mipango Ovu ya ile Janja Janja Company yenye Ofisi zake Jengo refu kiasi Posta..

Tafadhali sana Uongozi wa TAKUKURU Mkoani Mwanza upesi sana Kamateni Simu za Mchezaji wa Geita Gold FC Adeyoum Saleh ( ambaye ni mwana Yanga SC lia lia Moyoni na Rohoni ) kisha na ya Mratibu Mwandamizi wa Yanga SC Mohammed Bhinda na baada ya hapo ( Kuzikagua Kiumakini ili mjiridhishe )) mtajua muanzie wapi juu ya Shutuma za Upangaji Matokeo ( Match Fixing ) katika Soka Tanzania kwani tumeshachoka baada ya Kuuvumilia Upuuzi kama siyo Uhuni huu.

Watendaji wa TAKUKURU Kazi Kwenu.
Unajulikana kuwa wewe ni pumbavu na jinga kabiasa humu JF
 
Nikimheshimu mtu huwa nashindwa kabisa kumvunjia heshima hata akiharibu na wakati mwingine nawaachia wengine washughulike naye. Lakini kwa tabia hii ambayo kila mechi ya watani zako lazima uje utuhumu kuhongwà au kuhujumu bila ushahidi si jambo zuri. Juzi Simba kashinda na hata baadhi ya magoli mtu asiye mwanasoka angeweza kuyatilia shaka kama lile la Back pass ya Mangalu, lakini wenye damu ya soka wanajua Soka ni mchezo wa makosa ni lazima yatokee. Lakini nyie kila siku hasa wewe na Mightier na kapuuzi kengine kameibuka kanaiga uandishi wako sijui kanaitwa kaKENGE nako ovyo tu. Kwenye kikosi cha Biashara alikuwemo mchezaji mwandamizi wa Simba miaka michache iliyopita Redondo, kwa hiyo tuseme miamala ilipitia kwake? Hatuwezi kuwa Great thinkers kwa kuzushazusha mambo huku tukijiona Pure talented. Ni talent gani hii ya kuzusha mambo ambayo kesho viongozi wa timu wasio na subira wanaweza kukuamini na kupelekea kutoa adhabu kwa mchezaji na hivyo kumwaribia maisha yake. Umesahau mashabiki wa Pamba walivyokwenda kuharibu nyumba ya Juma Mhina na hata kaburi la mama yake kwa sababu ya tuhuma kama hizi Pamba ilipofungwa na Malindi na kukosa ubingwa wa Muungano? Juzi Miongoni mwa Magolikipa bora kabisa kuwa kutoa Tanzania Mohamed Mwameja(Tanzania One halisi) alieleza jinsi alivyonusurika kuuawa na mashabiki wa Simba kisa tu shabiki mmoja kasema Mwameja, Masatu na Masha wameonekana ofisini kwa Azim Dewji wakichukua fedha ili wauze mechi na Stella Artois kuepusha Dewji kuwanunulia Canter wachezaji wote wa Simba kama wangechukua kombe uwanja wa Taifa mbele ya Rais Alli Hassani Mwinyi mwaka 1993?
Uchezaji ni ajira ya vijana hawa mnaowazulia usaliti kila siku, lakini kwa vile nyie hakuna mnachogharimia mnaona sawa tu kuropoka lakini wenzenu wanaumia. Nani anaweza kuvumilia kumlipa mchezaji anayeuza mechi? Hata tuhuma zile za Mwanza zilisababisha Juma Mhina kukosa kabisa nafasi timu ya Taifa wakati alisitahili. Mwaka juzi Metacha Mnata akaingizwa kwenye Kashfa ya usaliti mechi ya Yanga dhidi ya Coast Union na mpaka Leo timu kubwa ikitaka kumsajiri kama ilivyokuwa kwa Simba dirisha dogo maneno yanazuka kuhusu uuzaji mechi timu zinaghairi.
Kama hatuna ushahidi tukae kimya. Allegations zisizoweza kuthibitika zinaharibia watu image wakati ile ni ajira kwao. Kama una tuhuma wapigie TAKUKURU moja kwa moja ili kama hazina ukweli zisimchafue mchezaji kuliko hii tabia ya ovyo ambayo Mods nao wanaiacha tu iote mizizi.
 
Labda Geita Gold ndo wamenunua wachezaji Yanga..
Saidoo na wenzake lakn kwa Yanga hii hakuna haja ya kununua mechi na haijawahitokea.
Kama Simba huwa anapita njia hizo usidhani na Yanga anapita huko.
 
Nikimheshimu mtu huwa nashindwa kabisa kumvunjia heshima hata akiharibu na wakati mwingine nawaachia wengine washughulike naye. Lakini kwa tabia hii ambayo kila mechi ya watani zako lazima uje utuhumu kuhongwà au kuhujumu bila ushahidi si jambo zuri. Juzi Simba kashinda na hata baadhi ya magoli mtu asiye mwanasoka angeweza kuyatilia shaka kama lile la Back pass ya Mangalu, lakini wenye damu ya soka wanajua Soka ni mchezo wa makosa ni lazima yatokee. Lakini nyie kila siku hasa wewe na Mightier na kapuuzi kengine kameibuka kanaiga uandishi wako sijui kanaitwa kaKENGE nako ovyo tu. Kwenye kikosi cha Biashara alikuwemo mchezaji mwandamizi wa Simba miaka michache iliyopita Redondo, kwa hiyo tuseme miamala ilipitia kwake? Hatuwezi kuwa Great thinkers kwa kuzushazusha mambo huku tukijiona Pure talented. Ni talent gani hii ya kuzusha mambo ambayo kesho viongozi wa timu wasio na subira wanaweza kukuamini na kupelekea kutoa adhabu kwa mchezaji na hivyo kumwaribia maisha yake. Umesahau mashabiki wa Pamba walivyokwenda kuharibu nyumba ya Juma Mhina na hata kaburi la mama yake kwa sababu ya tuhuma kama hizi Pamba ilipofungwa na Malindi na kukosa ubingwa wa Muungano? Juzi Miongoni mwa Magolikipa bora kabisa kuwa kutoa Tanzania Mohamed Mwameja(Tanzania One halisi) alieleza jinsi alivyonusurika kuuawa na mashabiki wa Simba kisa tu shabiki mmoja kasema Mwameja, Masatu na Masha wameonekana ofisini kwa Azim Dewji wakichukua fedha ili wauze mechi na Stella Artois kuepusha Dewji kuwanunulia Canter wachezaji wote wa Simba kama wangechukua kombe uwanja wa Taifa mbele ya Rais Alli Hassani Mwinyi mwaka 1993?
Uchezaji ni ajira ya vijana hawa mnaowazulia usaliti kila siku, lakini kwa vile nyie hakuna mnachogharimia mnaona sawa tu kuropoka lakini wenzenu wanaumia. Nani anaweza kuvumilia kumlipa mchezaji anayeuza mechi? Hata tuhuma zile za Mwanza zilisababisha Juma Mhina kukosa kabisa nafasi timu ya Taifa wakati alisitahili. Mwaka juzi Metacha Mnata akaingizwa kwenye Kashfa ya usaliti mechi ya Yanga dhidi ya Coast Union na mpaka Leo timu kubwa ikitaka kumsajiri kama ilivyokuwa kwa Simba dirisha dogo maneno yanazuka kuhusu uuzaji mechi timu zinaghairi.
Kama hatuna ushahidi tukae kimya. Allegations zisizoweza kuthibitika zinaharibia watu image wakati ile ni ajira kwao. Kama una tuhuma wapigie TAKUKURU moja kwa moja ili kama hazina ukweli zisimchafue mchezaji kuliko hii tabia ya ovyo ambayo Mods nao wanaiacha tu iote mizizi.
Kama kumbukumbu zangu zipo sawa nakumbuka humu kuna uzi humu jf ulikiri kabisa wazi wazi kuwa Gentamycine ni miongoni mwa watu unaowakubali sana. Sijui ilikuwaje umemkubali mtu mwenye ujinga mwingi humu JF.
 
Mmejaa uoga uoga tu timu Kama uwezo wake mdogo itafungwa tu hakuna Cha rushwa Wala nini Kwahiyo hata Ile mechi ya ngao ya hisani Simba ilipofungwa Kuna wachezaji wa Simba walipewa hongo kuweni wakweli tu Yanga mwaka huu Wana kikosi Bora yatasemwa mengi lakini huo ndio ukweli
 
Mtoa uzi ni mpuuzi sana chezeni soka achen porojo mambo ya hovyo unaandika kuchafua watu vijana wa ufipa mna akili za hovyo sana
 
Mpira si vita. Mpira ajira. Mchezaji akivunjika shingo unapata faida gani wewe Kolo popoma Mfawidhi mwandamizi?
 
Hii Michezo tumeshaicheza mno mpaka pale tulipoamua Kustaafu na Kutubu Dhambi kwa Mwenyezi Mungu hivyo Timu zingine zikifanya Michezo hii akina GENTAMYCINE huwa tunaishtukia na Kuigundua haraka sana hivyo tukisema Watu fulani Wachunguzwe upesi huwa tunakuwa tumeshatonywa na Vyanzo vyetu aminika ndani ya Kambi zao na Mipango Ovu ya ile Janja Janja Company yenye Ofisi zake Jengo refu kiasi Posta..

Tafadhali sana Uongozi wa TAKUKURU Mkoani Mwanza upesi sana Kamateni Simu za Mchezaji wa Geita Gold FC Adeyoum Saleh ( ambaye ni mwana Yanga SC lia lia Moyoni na Rohoni ) kisha na ya Mratibu Mwandamizi wa Yanga SC Mohammed Bhinda na baada ya hapo ( Kuzikagua Kiumakini ili mjiridhishe )) mtajua muanzie wapi juu ya Shutuma za Upangaji Matokeo ( Match Fixing ) katika Soka Tanzania kwani tumeshachoka baada ya Kuuvumilia Upuuzi kama siyo Uhuni huu.

Watendaji wa TAKUKURU Kazi Kwenu.
Wangeanzia uchunguzi kwenye mechi yenu na berkane mseme vizuri zile beki zenu zilivuta mlungula kiasi gani mpaka mkatiwa mbili kavu, wakimaliza uko wageukie mechi ya biashara itajulikana mliwapa bei gani kwa yale magoli ya mchongo, maana aiwezekani umpigie mayowe anayecheza soka la kitabuni na aliyesajili vizuri wakati huo huo unamuacha anayecheza soka la kubahatisha na kuvizia, yanga akishinda leo ni matokeo ya usajili bora walioufanya na si vinginevyo unavyotaka kuwaaminisha watu
 
Utopolo wazee wa bahasha washafanya yao,usijisumbue kwenda kibanda umiza
 
Back
Top Bottom