TAKUKURU Mwanza tafadhali kamateni na zikagueni upesi sana Simu za Mchezaji Adeyoum wa Geita Gold FC na Mratibu wa Yanga SC Bhinda

Popoma umeshahau ulishafungua thread kutuambia Yondani na Nyoso wamehongwa
hahahaha ,watanzania bana, dah mnasikitisha sana. Hz ndizo thread za great thinker

Bd mnataka ccm itoke madarakani ?
 
Fiston Mayele hashikiki, hakamatiki. Hata waje mabeki visiki Vidic & Ferdinand wale waliokuwa kwenye ubora wao wakati ule wataambulia manyoya! Seuze mabeki zako hao wa mchongo?
 
Fiston Mayele hashikiki, hakamatiki. Hata waje mabeki visiki Vidic & Ferdinand wale waliokuwa kwenye ubora wao wakati ule wataambulia manyoya! Seuze mabeki zako hao wa mchongo?
 

Attachments

  • hajismanara_1646212047966747.mp4
    3.2 MB
Kama kumbukumbu zangu zipo sawa nakumbuka humu kuna uzi humu jf ulikiri kabisa wazi wazi kuwa Gentamycine ni miongoni mwa watu unaowakubali sana. Sijui ilikuwaje umemkubali mtu mwenye ujinga mwingi humu JF.
Ni juzi wakati ananiqoute ndo akaharisha hayo maneno, kwasababu niligusa GSM na TFF ndo Kaponda sana Ghazwat na OKW BOBAN SUNZU.

Huyu ndo katika wale aina ya watu ambao ni Wanafiki mno, hana tofauti na Haji Manara.
 
Inabidi Yanga Mechi Yetu Ijayo Na Simba Tuwanyooshe Na Mayele Awatie Tena Ili Tuhojiane Vizuri Kuhusu Suala La Kuuza Na Kununua Mechi.
 
Huyu jinga hivi bado mnamsomaga?
Mtu aliyefeli chuo anajua nini?
 
Eti Mods wanaicha tu iote mizizi.. Kwahivyo unataka GENTAMYCINE apate Ban...!

We Bila bila ni manafiki mno, Juzi tu ametoka kumsifia kuwa anatenda haki kwa vile alisema ya kukufurahisha kuhusu Simba SC, sasa leo kwakuwa kagusa kwenye mfupa kwa kusema yenye kukuchukiza kuhusu Yanga ndo unanza kulalamika sijui Azim Dewji Center, Mwameja, mara Takukuru.

Kama ulimkubali kuwa Gentamycine ni dawa basi acha akutibu..! Huwezi acha Unafiki au Nifaq
 
Waarabu koko huwaga hamnaga akili kabisa yaani
Wewe ndio mnafki Sana unasapoti kila kitu kuhusu simba lenu ila genta akikosoa unamuita mnafki akisifia sawa shabiki wa kweli

Jinga wewe.
 
Waarabu koko huwaga hamnaga akili kabisa yaani
Wewe ndio mnafki Sana unasapoti kila kitu kuhusu simba lenu ila genta akikosoa unamuita mnafki akisifia sawa shabiki wa kweli

Jinga wewe.
Wewe ni kama bata tu, hata wakulishe Kokoto bado utaharisha tu.

Wapi nimemuita Genta Mnafiki?

Huna uwezo wa kuelewa halafu unalazimisha kuelewa, na wala hujui nimemqoute nani hapo.. Punguani wa Akili Wewe..!
 
Ngao ya jamii ya jamii manula alituuzia mechi makolo mafala sana yaan wanaona yanga haipotezi michezo na raund ya pili ishaanza imeanza malalamiko[emoji3][emoji3][emoji3] nenda kafuatilie ww hzo cm yaan kushinda mshinde nyinyi wenzenu wakishinda mmenunua mechi
 
Wewe ni kama bata tu, hata wakulishe Kokoto bado utaharisha tu.

Wapi nimemuita Genta Mnafiki?

Huna uwezo wa kuelewa halafu unalazimisha kuelewa, na wala hujui nimemqoute nani hapo.. Punguani wa Akili Wewe..!
Huo ndio ukweli wala hutakiwi kuzuga mara nyingi tunaona ukimpinga anapowaambia ukweli na anawaitaga wanafki

Waarabu wengi mnakuwaga na mtindio wa ubongo
Sorry
 
Yondani sio Mtoto wa Temeke, Yondani kwao ni Kirumba Mwanza
Acha Ushamba kwa Dar es Salaam ana Makazi yake Temeke na Kimara achilia mbali Uwanja wake ulioko Bunju huko mitaa siyo mbali na anakokaa Mvutaji Sigara Bwege mwenzake Haruna Moshi Boban.

Hivyo alichosema huyo Genta ni sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…