Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
hahahaha ,watanzania bana, dah mnasikitisha sana. Hz ndizo thread za great thinkerPopoma umeshahau ulishafungua thread kutuambia Yondani na Nyoso wamehongwa
hahahaha ina maana kaka hajui mdg wake mtu wa wapi? HahahahaYondani sio Mtoto wa Temeke, Yondani kwao ni Kirumba Mwanza
Anatakaga aonekane Mtoto wa mjini DASLAMU wakati anaishi Bunda mjini.hahahaha ina maana kaka hajui mdg wake mtu wa wapi? Hahahaha
Fiston Mayele hashikiki, hakamatiki. Hata waje mabeki visiki Vidic & Ferdinand wale waliokuwa kwenye ubora wao wakati ule wataambulia manyoya! Seuze mabeki zako hao wa mchongo?
... Mkuu, hujamjuaga tuu huyu chupli? Majina yake humu ni haya;Kuna mtu anajiita Mightier huyu ndo mtesekaji bora kwa msimu wa 2021/2022
Ni juzi wakati ananiqoute ndo akaharisha hayo maneno, kwasababu niligusa GSM na TFF ndo Kaponda sana Ghazwat na OKW BOBAN SUNZU.Kama kumbukumbu zangu zipo sawa nakumbuka humu kuna uzi humu jf ulikiri kabisa wazi wazi kuwa Gentamycine ni miongoni mwa watu unaowakubali sana. Sijui ilikuwaje umemkubali mtu mwenye ujinga mwingi humu JF.
Eti Mods wanaicha tu iote mizizi.. Kwahivyo unataka GENTAMYCINE apate Ban...!Nikimheshimu mtu huwa nashindwa kabisa kumvunjia heshima hata akiharibu na wakati mwingine nawaachia wengine washughulike naye. Lakini kwa tabia hii ambayo kila mechi ya watani zako lazima uje utuhumu kuhongwà au kuhujumu bila ushahidi si jambo zuri. Juzi Simba kashinda na hata baadhi ya magoli mtu asiye mwanasoka angeweza kuyatilia shaka kama lile la Back pass ya Mangalu, lakini wenye damu ya soka wanajua Soka ni mchezo wa makosa ni lazima yatokee. Lakini nyie kila siku hasa wewe na Mightier na kapuuzi kengine kameibuka kanaiga uandishi wako sijui kanaitwa kaKENGE nako ovyo tu. Kwenye kikosi cha Biashara alikuwemo mchezaji mwandamizi wa Simba miaka michache iliyopita Redondo, kwa hiyo tuseme miamala ilipitia kwake? Hatuwezi kuwa Great thinkers kwa kuzushazusha mambo huku tukijiona Pure talented. Ni talent gani hii ya kuzusha mambo ambayo kesho viongozi wa timu wasio na subira wanaweza kukuamini na kupelekea kutoa adhabu kwa mchezaji na hivyo kumwaribia maisha yake. Umesahau mashabiki wa Pamba walivyokwenda kuharibu nyumba ya Juma Mhina na hata kaburi la mama yake kwa sababu ya tuhuma kama hizi Pamba ilipofungwa na Malindi na kukosa ubingwa wa Muungano? Juzi Miongoni mwa Magolikipa bora kabisa kuwa kutoa Tanzania Mohamed Mwameja(Tanzania One halisi) alieleza jinsi alivyonusurika kuuawa na mashabiki wa Simba kisa tu shabiki mmoja kasema Mwameja, Masatu na Masha wameonekana ofisini kwa Azim Dewji wakichukua fedha ili wauze mechi na Stella Artois kuepusha Dewji kuwanunulia Canter wachezaji wote wa Simba kama wangechukua kombe uwanja wa Taifa mbele ya Rais Alli Hassani Mwinyi mwaka 1993?
Uchezaji ni ajira ya vijana hawa mnaowazulia usaliti kila siku, lakini kwa vile nyie hakuna mnachogharimia mnaona sawa tu kuropoka lakini wenzenu wanaumia. Nani anaweza kuvumilia kumlipa mchezaji anayeuza mechi? Hata tuhuma zile za Mwanza zilisababisha Juma Mhina kukosa kabisa nafasi timu ya Taifa wakati alisitahili. Mwaka juzi Metacha Mnata akaingizwa kwenye Kashfa ya usaliti mechi ya Yanga dhidi ya Coast Union na mpaka Leo timu kubwa ikitaka kumsajiri kama ilivyokuwa kwa Simba dirisha dogo maneno yanazuka kuhusu uuzaji mechi timu zinaghairi.
Kama hatuna ushahidi tukae kimya. Allegations zisizoweza kuthibitika zinaharibia watu image wakati ile ni ajira kwao. Kama una tuhuma wapigie TAKUKURU moja kwa moja ili kama hazina ukweli zisimchafue mchezaji kuliko hii tabia ya ovyo ambayo Mods nao wanaiacha tu iote mizizi.
Waarabu koko huwaga hamnaga akili kabisa yaaniEti Mods wanaicha tu iote mizizi.. Kwahivyo unataka GENTAMYCINE apate Ban...!
We ni manafiki mno, Juzi tu ametoka kumsifia kuwa anatenda haki kwa vile alisema ya kukufurahisha kuhusu Simba SC, sasa leo kwakuwa kagusa kwenye mfupa kwa kusema yenye kukuchukiza kuhusu Yanga ndo unanza kulalamika sijui Azim Dewji Center, Mwameja, mara Takukuru.
Kama ulimkubali kuwa Gentamycine ni dawa basi acha akutibu..! Huwezi acha Unafiki au Nifaq
Wewe ni kama bata tu, hata wakulishe Kokoto bado utaharisha tu.Waarabu koko huwaga hamnaga akili kabisa yaani
Wewe ndio mnafki Sana unasapoti kila kitu kuhusu simba lenu ila genta akikosoa unamuita mnafki akisifia sawa shabiki wa kweli
Jinga wewe.
Ngao ya jamii ya jamii manula alituuzia mechi makolo mafala sana yaan wanaona yanga haipotezi michezo na raund ya pili ishaanza imeanza malalamiko[emoji3][emoji3][emoji3] nenda kafuatilie ww hzo cm yaan kushinda mshinde nyinyi wenzenu wakishinda mmenunua mechiHii Michezo tumeshaicheza mno mpaka pale tulipoamua Kustaafu na Kutubu Dhambi kwa Mwenyezi Mungu hivyo Timu zingine zikifanya Michezo hii akina GENTAMYCINE huwa tunaishtukia na Kuigundua haraka sana hivyo tukisema Watu fulani Wachunguzwe upesi huwa tunakuwa tumeshatonywa na Vyanzo vyetu aminika ndani ya Kambi zao na Mipango Ovu ya ile Janja Janja Company yenye Ofisi zake Jengo refu kiasi Posta..
Tafadhali sana Uongozi wa TAKUKURU Mkoani Mwanza upesi sana Kamateni Simu za Mchezaji wa Geita Gold FC Adeyoum Saleh ( ambaye ni mwana Yanga SC lia lia Moyoni na Rohoni ) kisha na ya Mratibu Mwandamizi wa Yanga SC Mohammed Bhinda na baada ya hapo ( Kuzikagua Kiumakini ili mjiridhishe )) mtajua muanzie wapi juu ya Shutuma za Upangaji Matokeo ( Match Fixing ) katika Soka Tanzania kwani tumeshachoka baada ya Kuuvumilia Upuuzi kama siyo Uhuni huu.
Watendaji wa TAKUKURU Kazi Kwenu.
Huo ndio ukweli wala hutakiwi kuzuga mara nyingi tunaona ukimpinga anapowaambia ukweli na anawaitaga wanafkiWewe ni kama bata tu, hata wakulishe Kokoto bado utaharisha tu.
Wapi nimemuita Genta Mnafiki?
Huna uwezo wa kuelewa halafu unalazimisha kuelewa, na wala hujui nimemqoute nani hapo.. Punguani wa Akili Wewe..!
Acha Ushamba kwa Dar es Salaam ana Makazi yake Temeke na Kimara achilia mbali Uwanja wake ulioko Bunju huko mitaa siyo mbali na anakokaa Mvutaji Sigara Bwege mwenzake Haruna Moshi Boban.Yondani sio Mtoto wa Temeke, Yondani kwao ni Kirumba Mwanza
Huyo ameshakuwa mdudu Tena⛹️Nenda kachunguze wewe nguluwe maji...nonsense