TAKUKURU tunaomba Msaada: Kijana huyu alipata ajira Serikalini lakini akaporwa kituo cha kazi na kupewa mwingine

Status
Not open for further replies.
Si utumishi wenyewe wamejibu kuwa ni mistake. Sasa mtoa mada analazimisha tuone kuwa rushwa imehusika.
Rushwa haijahusika hapa, wala undugu haujahusika
Hamna kitu kama hicho ndugu, au unamtetea ndugu yako, mistake imetoka wapi kwenye mambo muhimu kama haya, utatoaje jina bila kufanya verification ya kutosha , huu ni uhuni wengi tumehujumiwa kwa namna moja au nyingine, au una undugu na Jamaa aliyenunua nafasi ya mdau
 
Daaah, pole sana. Huyo Salum Makui ni wa Dini hiyo ya upande wa pili, kwahiyo tegemea lolote, maana wanasema na wao ni zamu yao kutesa, haijalishi kafeli usahili au nini, kikubwa ni kuitwa SALUM
Huu ujinga wa ukabila na udini umekufa kipindi Cha hayati
 
Acha kumtisha mtu, huu ni ujinga mtupu[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Dust tupu , nyie ndo wapiga Dili kazi kutosha watu na kuvuta subira , uyo aliyefika hapo katoka wapi ,
 
Hata wao hawana maadili ndio maana yake
 
Acheni kutisha watu hapa , watu kibao wamefungua kesi za kifukuzwa kazi, kwamba wanakosa maadili, watumishi wengi mnafanya madudu hafu kazi yenu kutisha watu.
Pambania haki yako asikutishe mtu, hafu uje kuleta mrejesho hapa.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…