Talaka inavyoniaribia Binti yangu mapema💔


Ni kweli, mara nyingi Wazazi huwafikiria zaidi watoto.

Kwahiyo maamuzi mengi tunayafanya Kwa kuwaangalia zaidi wao

Shukrani Mjukuu, I real appreciate 🙏
 
Watoto umewaingizia mawazo ambayo hayalingani na umri wao
Mtoto wa 9yrs unamwambia ishu za ndoa ili iweje?
Mkuu umefail parefu
 
Mfanye rafiki yako wa karibu na vizawad vya hapa na pale lakini pia waombee sana watoto hasa watolee sadaka. Watoto wanaombewa mzee na kuwatolea sadaka na ukipata muda uwe unaenda nao kuwatembelea watoto yatima unawapa hela za kuwapa na vizawad. Kisha ombea watoto wapate wenza wema maishan. Mungu ni muaminifu atajibu. Mi mpaka kesho ninaamin nimefika hapa kwa maombezi ya wazazi wangu hasa maza. Ukitaka usalama wa watoto usidhulumu, usiibe wala kumfanyia yeyote baya coz sheria ya asili ina tabia ya kudai.
 
Binti wa miaka 9 ashakuwa na mawazo ya kuolewa au kutoolewa... Mimi binti yangu naye ana miaka 9 nadhani hata wazo hilo hana kabisa na wala hajaelewa ndoa hata ni kitu gani.
Mimi mwenyewe single father
Huenda wewe ndo hujaelewa kama anaelewa hayo mambo. Muhimu sana kua na personal/friend talks na watoto utayajua mengi
 
Bora kuachana mapema kuliko kuja kuuana huko ndoani jamaa yuko sahihi
 
Ndugu hata ufanyaje mtoto niwamama we kula maisha nambususu mpya mpe huduma bint yako kama kawaida mambo yabadae huko achana nayo mana huna unaweza kubadili
 
ishi vizuriii kwa upendo mkuu na huyo mwanamke uliyenae sasa,ili ajionee uzuri wa familia,amini atabadilika.

Acha kuongea nae hayo maswala,wacha ajionee wewe na huyo mkeo mwingine mkiishi kwa amani, furaha na upendo.


Huyu jamaa amekushauri vizuri Sana hata Mimi na mke Wangu Ndio MAISHA ambayo tutaishi DHIDI ya watoto WETU, weka distance na Watoto wako then kuwa karibu na huyo mke wako mkishauriana pamoja, mkila pamoja, mkifurahi pamoja, mkitoka pamoja na kufanya Mambo mengine kwa pamoja huku mkiwaacha watoto wakiwa watazamaji, wakiwaangalia mnavyopendana na kuwa na umoja....


Amini Mkuu hutotumia Nguvu tena ya maneno kuweka Maono dhabiti na SAHIHI NDANI yake B'se picha husafilisha Mawazo kwa kasi sana kuliko Sauti, usiweke ukalibu na hao Watoto watakusumbua sana na kukutia stress na utakufa mapema, weka distance kidogo na wao ili uwape nafasi ya kukuona vyema na kwa usahihi wewe na mkeo mnavyoishi amini hayo Mawazo ya kishetani ya kutotaka kuolewa na kuzaa yatamtoka B'se atashuhudia raha na furaha na Amani katika NDOA kitu ambacho kitaprove wrong ile sumu aliyopandwa na mama yake kuhusu kusudi la MUNGU 👉 NDOA


Wewe ni baba na kiongozi Usijengee ukaribu na Watoto Mkuu B'se watakuzoea na mazoea huleta KIBURI na jeuri, jenga ukaribu na mke wako Harafu acha Watoto wawatazame wewe na mke wako mkiwa pamoja na mkifurahia NDOA YENU fanya hivyo utakuja Kushukuru hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…