Pole sana Mkuu, Kila jambo linatokea kwasababuKaka hayo usemayo nilijitahid saana lla mama Yao amekaza mwenye mawazo ya ki feminist.
Yeye mwenyewe ametoa pesa yake kuhakikisha talaka inatoka.
Omba lisikyfike
Shkamoo babu wa busara,
unajua mda mwingine sisi wanawake, mwanaume anaeza kua tayar kusamehe yaishe lakini mwanamke nkakomalia talaka na kufanya vituko juu tena vya ajabu,kwahiyo kuliko kufa presha heri ukubali tu.
kuoa haraka labda aliona hatoweza kulea na kusimamia watoto ye mwenyewe kulingana na maisha yake yalivyo🥲coz ukisoma hapo sababu kuu ya yeye kuoa tena ni watoto.
(ulinde sana moyo wako kuliko vyote ulindavyo,mana ndiko zitokako chemchemi za uzima).
Anamuaribu mwenyewe anamsingizia mama yakeImeshatokea sasa
😃😃Babu ukitaka kuongeza mke ututangazie, usiongeze kimya kimya.....
Ktk maosha ya sasa ukowa na mwanamke na umezaa nae basi ishi nae ktk haki zote ulee watoto wako hakuna malez mazuri kama ya baba na mama ukiwa pekeyako na mama wa kambo yani tabu tupuMalez yamebadilika Sasa LGBT wapo kazini so shika saana ulicho nacho
Mfanye rafiki yako wa karibu na vizawad vya hapa na pale lakini pia waombee sana watoto hasa watolee sadaka. Watoto wanaombewa mzee na kuwatolea sadaka na ukipata muda uwe unaenda nao kuwatembelea watoto yatima unawapa hela za kuwapa na vizawad. Kisha ombea watoto wapate wenza wema maishan. Mungu ni muaminifu atajibu. Mi mpaka kesho ninaamin nimefika hapa kwa maombezi ya wazazi wangu hasa maza. Ukitaka usalama wa watoto usidhulumu, usiibe wala kumfanyia yeyote baya coz sheria ya asili ina tabia ya kudai.Nnaimani mnaendelea vizuri wanajamii forum,
Kama kawaida yangu kuwaleteeni Mikasa inayonitokea kwenye maisha yangu, sababu hapa ndio sehemu pekee nisiyojulikana uhalisia wangu, napata uhuru zaidi wa kufunguka ili kupata ushauri wa kunikosoa na kuniita moyo.
Ni hivi baada ya kutengana na aliyekua mke wangu, Sasa tunaelekea mwaka wa nne, na muda si mrefu tunakamilisha talaka.
Hapo awali mwanamke aling'ang'ania kukaa na watoto kitu ambacho kiliniumiza saana. lakini nikacheza na akili yake kiasi Cha yeye mwenyewe kutamka kuniachia watoto wangu niishi nao.
Hata hivyo nilishapata mwanamke kutoka nchi jirani ambaye niliamini ataishi vizuri na watoto wangu Hawa wadogo baada ya kua nae kwenye mahusiano kwa kipindi Cha mwaka kabla hajarudi kwao.
Nilimsafirisha kutoka nchini kwao Hadi hapa Tz na Sasa ananilelea watoto, na watoto wangu naona wakipendeza japo huyu Binti angu akibadilika badilika mood.
Mama Yao (mtalaka) aliumia saana kiskia kuna mwanamke naenda kuishi nae, kitu ambacho alitaka aje ampe masharti (kumtisha) huyu mwanamke wangu mpya (step mother) endapo hatoishi vizuri na watoto wake, kitu ambacho Mimi nilimkataza.
akasema anajua atakachofanya kwa watoto maana atawajaza sumu ili wajilinde dhidi ya huyo step mother wao hili nalo nilimuonya lakini nadhani alilifanya kwakua Kuna mambo napambana nayo Sasa nadhani ni matokeo ya hizo sumu.
Binti (9yrs) yangu amekua hamfurahii step mother wake bila sababu ya msingi hata nilipokaa nae kuzungumza nae aliniambia Hana tatizo nae zaidi aliniuliza kwann nimeachana na mama Yake?
Ni desturi yangu kufanya nao ibada pamoja na kuwasaidia masomo Yao hivo wamekua wakiniuliza maswali mbali mbali kwakua wanajua baba Yao hua sifichi.
Mara kadhaa nimekua nikiwasisitizia majukumu Yao ya baadae watakapokua wakubwa kwamba wakiume atakua baba na familia yake na wakike atakua mama wa familia yake.
kila ikifika hatua ya kusema Binti yangu ataolewa na kua na familia yeye anabadilika sura na kukataa kati kati kwamba hato olewa Wala kuzaa nikimuuliza kwann anasema hataki tuu...
Nawaza saana na kujiuliza yule mama yake ni kama mfeminist tuu anakauli za kusema hataki tena kuolewa na haamini katika ndoa na ndoa ni kama utumwa Sasa anaishia kuchapika tuu mjini naona kabisa hiki kilicho kichwani kwa Binti yangu ni matokeo ya kuachana na mama Yao na ndio sumu alizomtia Binti yangu...
Wataalamu nisaidieni nawezaje kumuokoa Binti yangu dhidi ya hili balaa maana Dunia ishaharibika..
Note: kataa ndoa ushauri wenu naujua MSIkomenti.
Watu wa munyaazi hao mapema tu hawarembi.Mtoto wa miaka 9 ushaanza kumpigia hesabu za kuolewa🤔
Huenda wewe ndo hujaelewa kama anaelewa hayo mambo. Muhimu sana kua na personal/friend talks na watoto utayajua mengiBinti wa miaka 9 ashakuwa na mawazo ya kuolewa au kutoolewa... Mimi binti yangu naye ana miaka 9 nadhani hata wazo hilo hana kabisa na wala hajaelewa ndoa hata ni kitu gani.
Mimi mwenyewe single father
Sawa mkuu, tuko pamoja. Ila huyo wa maombi ni balaa!Ni kweli na ndo mana sitaki hii kitu, Kuna mtu mmoja wa maombi alinishauri nimwombee kifo mama yoa nikasema hapana huko ni mbali saana
Hilo ndio shaka langu kubwa, sijui nisioe tu, daaahTalaka au kuachana ni mbaya hata huo mkeo wa ki international atawatenda watoto ni muda tu
Kama mwanamke ameshindikana nifanyeje??Unaisingizia talaka kam inajifanya yenyewe tu.
Sema umekosea. Ukishamtaliki mwanamke uliyezaa naye tu, umeshakosea sehemu.
Usijidanganye mwanaume kuishi bila mwanamkeHilo ndio shaka langu kubwa, sijui nisioe tu, daaah
Sio Tako tuu yaani kiuno nyigu shepu ya chungu kama mobetoULiyemwacha ana tako?
Bora kuachana mapema kuliko kuja kuuana huko ndoani jamaa yuko sahihiKulikuwa na sababu ipi kubwa ambayo mlishindwa kukaa chini na Mkeo mtalikiwa hadi mfikie kutalikiana?
Wake zetu Kuna wakati Wana kera na kutuudhi, lakini kwani hukujua umemwoa binadamu mwenzio nasio Malaika?
Kwani wewe hukuwahi kumkosea Mkeo na akakusamehe mara kadhaa?
Anyways, Kwa maoni yangu ulifanya haraka Kuoa tena mara baada ya kutalikiana na aliyekuwa Mkeo.
Hapo maana yake ulizembea kumchunguza kabla ya kuingia kwenye mahusiano naye.Kama mwanamke ameshindikana nifanyeje??
Ni kweli usemacho, japo Kuna haja ya kuchunguzana kabla hujafanya maamuzi ya kuingia Kwenye Ndoa na mtu.Bora kuacha mapema kuliko kuja kuuana huko ndoani jamaa yuko sahihi
Andika vizuri.mhusika sio muhusika na halo kwenye Pwani anza na herufi kubwa.Muhusuka atakuwa wa pwani wale wanawacheza ngoma watoto wakiwa wadogo samani ndugu zangu wamakonde
ishi vizuriii kwa upendo mkuu na huyo mwanamke uliyenae sasa,ili ajionee uzuri wa familia,amini atabadilika.
Acha kuongea nae hayo maswala,wacha ajionee wewe na huyo mkeo mwingine mkiishi kwa amani, furaha na upendo.