Kibanga Ampiga Mkoloni JF-Expert Member Joined Aug 9, 2007 Posts 18,772 Reaction score 8,939 Dec 28, 2024 #101 Tlaatlaah said: Anajua lakin anachotaka? umakamu mwenyekiti au uenyekiti Taifa au vyote kwa pamoja? sio tamaa na shinikizo la mabwenyenye ya magharibi yanayombackup kama kibaraka wao Africa kwa mgongo wa Chadema Tanzania,kweli?π Click to expand... Sio kweli, MACCM yamentia ujinga abomoe chama
Tlaatlaah said: Anajua lakin anachotaka? umakamu mwenyekiti au uenyekiti Taifa au vyote kwa pamoja? sio tamaa na shinikizo la mabwenyenye ya magharibi yanayombackup kama kibaraka wao Africa kwa mgongo wa Chadema Tanzania,kweli?π Click to expand... Sio kweli, MACCM yamentia ujinga abomoe chama
Tlaatlaah JF-Expert Member Joined May 18, 2023 Posts 24,665 Reaction score 25,388 Dec 28, 2024 Thread starter #102 Kibanga Ampiga Mkoloni said: Sio kweli, MACCM yamentia ujinga abomoe chama Click to expand... Kwani kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kabomolewa na nani hata ababaike na cheo gani agombee?π
Kibanga Ampiga Mkoloni said: Sio kweli, MACCM yamentia ujinga abomoe chama Click to expand... Kwani kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kabomolewa na nani hata ababaike na cheo gani agombee?π
M m4cjb JF-Expert Member Joined Jul 23, 2012 Posts 8,457 Reaction score 3,033 Dec 29, 2024 #103 Unateseka sana chawa wewe, huyo sultani muda wake umeisha. Muda umeamua na hakuna aliyeshindana na muda akashinda
Unateseka sana chawa wewe, huyo sultani muda wake umeisha. Muda umeamua na hakuna aliyeshindana na muda akashinda
M m4cjb JF-Expert Member Joined Jul 23, 2012 Posts 8,457 Reaction score 3,033 Dec 29, 2024 #104 Tlaatlaah said: Kwani kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kabomolewa na nani hata ababaike na cheo gani agombee?π Click to expand... Wenye akili hawawezi kutilia maanani mawazo ya chawa
Tlaatlaah said: Kwani kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kabomolewa na nani hata ababaike na cheo gani agombee?π Click to expand... Wenye akili hawawezi kutilia maanani mawazo ya chawa
Tlaatlaah JF-Expert Member Joined May 18, 2023 Posts 24,665 Reaction score 25,388 Dec 29, 2024 Thread starter #105 m4cjb said: Wenye akili hawawezi kutilia maanani mawazo ya chawa Click to expand... kama ambavyo kibaraka hatiliwi maanani na anavyopuuzwa hivi sasa right?π
m4cjb said: Wenye akili hawawezi kutilia maanani mawazo ya chawa Click to expand... kama ambavyo kibaraka hatiliwi maanani na anavyopuuzwa hivi sasa right?π
Tlaatlaah JF-Expert Member Joined May 18, 2023 Posts 24,665 Reaction score 25,388 Dec 29, 2024 Thread starter #106 m4cjb said: Unateseka sana chawa wewe, huyo sultani muda wake umeisha. Muda umeamua na hakuna aliyeshindana na muda akashinda Click to expand... Gentleman, mateso si anayapata kibaraka mwenyewe baada ya wajumbe wa mkutano mkuu Taifa kumkataa kila kona ama?π
m4cjb said: Unateseka sana chawa wewe, huyo sultani muda wake umeisha. Muda umeamua na hakuna aliyeshindana na muda akashinda Click to expand... Gentleman, mateso si anayapata kibaraka mwenyewe baada ya wajumbe wa mkutano mkuu Taifa kumkataa kila kona ama?π