Uchaguzi 2020 Tamaa za Wateule wa Rais kutia nia Ubunge zitawaponza wengi. Ushahidi huu hapa wa Rais Magufuli na Humphrey Polepole

Uchaguzi 2020 Tamaa za Wateule wa Rais kutia nia Ubunge zitawaponza wengi. Ushahidi huu hapa wa Rais Magufuli na Humphrey Polepole

Lakini wangebaki na heshima yao kama akiba ya baadae
Akiba ya baadae ya nini?.
siasa zetu ni chafu unaweza kuwa kwenye cheo chochote ndani ya vyama ama serikali na bado watu wasikuheshimu.
 
Najua baadhi ya watu hawataki kabisa kusikia haya majina manne kwasababu ya madhaifu yao, ila ukweli hakuna mwanadamu asiyekuwa na mapungufu. Ukimkataa mtu kwasababu ya udhaifu wake umekataa na nguvu/karama au kipawa ambacho Mungu amekiweka ndani yake.

Jambo moja ni kweli na limehakikishwa kabisa, huwezi kupenda sukari peke yake maana ujue si kila wakati utatumia sukari, kuna wakati chumvi unayoichukia wakati wa kulamba sukari nayo utaihitaji.

Binafsi hawa wanasiasa wanne nawaona kama chumvi, wanaweza kutumika kama chachu ya kuleta mabadiriko katika uongozi wako kama watajirekebisha kidogo, wakipunguza baadhi ya vitu kama kujitukuza, wakijinyenyekeza watatufaa sana watanzania kwasababu wana uthubutu pia ujasiri wa kusimamia wanachokiamini.

Nimalize kwa kusema kuwa hata kama unapenda sukari namna gani huwezi kuiweka kwenye mboga. Pls Mh Rais wape nafasi ya kututumikia watanzania.
 
Najua baadhi ya watu hawataki kabisa kusikia haya majina manne kwasababu ya madhaifu yao, ila ukweli hakuna mwanadamu asiyekuwa na mapungufu. Ukimkataa mtu kwasababu ya udhaifu wake umekataa na nguvu/karama au kipawa ambacho Mungu amekiweka ndani yake.

Jambo moja ni kweli na limehakikishwa kabisa, huwezi kupenda sukari peke yake maana ujue si kila wakati utatumia sukari, kuna wakati chumvi unayoichukia wakati wa kulamba sukari nayo utaihitaji.

Binafsi hawa wanasiasa wanne nawaona kama chumvi, wanaweza kutumika kama chachu ya kuleta mabadiriko katika uongozi wako kama watajirekebisha kidogo, wakipunguza baadhi ya vitu kama kujitukuza, wakijinyenyekeza watatufaa sana watanzania kwasababu wana uthubutu pia ujasiri wa kusimamia wanachokiamini.

Nimalize kwa kusema kuwa hata kama unapenda sukari namna gani huwezi kuiweka kwenye mboga. Pls Mh Rais wape nafasi ya kututumikia watanzania.
Naona Makonda kaktuma kupima upepo
 
The mere fact wakati kura za Gwajima zinahesabiwa CH.10 wakatoa sauti na kuturudisha studio hiyo ni message tosha nini kingefuata mbeleni kwenye vikao ata angeshinda.

The guy is just a reprobate
 



Huu ushauri wengi hawakufuata.
Makonda uko wapi sasa?
 
Chukulia mfano uyo kwenye video aliyeongea hayo; Hivi ni mara ngapi yeye alienda kugombea kura za maoni akashindwa je, kama angeendelea kuwa mwalimu leo hii angefika hapo?
 
Mbona Mrusha Mgambo aliacha u RC akagombea akashinda?.
 
Mwache asahaulike kwanza. Dogo alikuwa ni mjivuni kupitiliza. Na asidhani kwamba tumesahau ya kwamba alifoji cheti na pia jina lake halisi Daudi Albert Bashite kutoka Kijiji cha Kolomije.
 
Back
Top Bottom