Tamaduni 10 za kidini ambazo hazimo kwenye Biblia au Quran

Tamaduni 10 za kidini ambazo hazimo kwenye Biblia au Quran

Hizi hazimo kwenye Biblia.
1: Sikukuu za Krismass na Easter.

2: Kunena kwa Lugha ambazo mnenaji na wasikilizaji wote hawaelewani.

3: Maombezi kwa maiti ili isamehewe dhambi alizofanya akiwa hai.

4: Sabato ya Jumapili.

5: Mchungaji au askofu wa kike. Katika biblia mchungaji ni Mume wa mke mmoja sio mke wa Mume mmoja.

HAYAMO KWENYE QURAN

1: Ishmail kuwa Bora kuliko Isaka.

2: Waislam Kufanya miujiza wakati mtume hakuwahi kufanya muujiza wowote ndani ya quran.

3:Kuvaa suruali ambazo hazifiki chini.
Zile Suruali fupifupi.

4: Wanawake na wanaume kuchangamana wakati wa ibada ya hijja kwenye kaaba (ibada ya heshima kabisa) wakati huku misikitini hawachangamani.

5: Wanawake kuwa maimam na kuongoza ibada zanye mchanganyiko wa jinsia zote.

Nini maoni yako.
Hizo zote ulizozitaja kwa Waislam siyo tamaduni za kidini.

Usidanganye watu.
 
Rudi kwenye mada. Mada haitaki suna inataka Aya ya quran. Kama hakuna tusubiri mada ya Sunnah.😅
😅😅😅Jamani soma uislamu unasemaje watu wanafuata nn?...Na baadhi ya matendo watu wanacopy kwa mtume kama kiigizo chema.

Ndo maana uambiwa sunnah na hadithi zote zisipingane na Qur an ..
 
Asante mada imekwepa sunna kwa sababu hata hivyo sunna hazikubaliki globally na waislam wote.
Ndio maana imejielekeza kwenye Quran na Biblia sio maelezo zaidizi ya vitabu hivyo
Sunnah sio lazima zote sio kwamba hazikubali tambua kuna sunnah na faradhi ..
Unaweza kuiga kwa mtume yaani maisha yake alivyofanya .

Ndo maana sunnah ya mtu haiwezi kupingana na Qur an ukiona sunnah means haina athari kwa Qur an ..
 
Yesu hakuzaliwa tarehe 25 mwezi wa 12. Tarehe hiyo ilikua sikukuu ya warumi. Jmapili ni siku ya bwana, nayo ni kusanyiko takatifu. Hivyo hoja yako wewe msabato haina mashiko.
Tena mwelezee Yule Mr WA sabato tuko naye sasa(KRISTU)na Tena ni mkubwa kuliko sabato.
 
Hizi hazimo kwenye Biblia.
1: Sikukuu za Krismass na Easter.

2: Kunena kwa Lugha ambazo mnenaji na wasikilizaji wote hawaelewani.

3: Maombezi kwa maiti ili isamehewe dhambi alizofanya akiwa hai.

4: Sabato ya Jumapili.

5: Mchungaji au askofu wa kike. Katika biblia mchungaji ni Mume wa mke mmoja sio mke wa Mume mmoja.

HAYAMO KWENYE QURAN

1: Ishmail kuwa Bora kuliko Isaka.

2: Waislam Kufanya miujiza wakati mtume hakuwahi kufanya muujiza wowote ndani ya quran.

3:Kuvaa suruali ambazo hazifiki chini.
Zile Suruali fupifupi.

4: Wanawake na wanaume kuchangamana wakati wa ibada ya hijja kwenye kaaba (ibada ya heshima kabisa) wakati huku misikitini hawachangamani.

5: Wanawake kuwa maimam na kuongoza ibada zanye mchanganyiko wa jinsia zote.

Nini maoni yako.
Ongeza "KUKATAZA MITARA KWA wakristo"wakati baba wa iman na yakobo wanna wake wawili na yesu wanaemtolea mfano hakuoa kabisa!
 
Ongea na ili la kuoa mke mmoja wakati ktk bible hakuna iko kipengele
 
Hizi hazimo kwenye Biblia.
1: Sikukuu za Krismass na Easter.

2: Kunena kwa Lugha ambazo mnenaji na wasikilizaji wote hawaelewani.

3: Maombezi kwa maiti ili isamehewe dhambi alizofanya akiwa hai.

4: Sabato ya Jumapili.

5: Mchungaji au askofu wa kike. Katika biblia mchungaji ni Mume wa mke mmoja sio mke wa Mume mmoja.

HAYAMO KWENYE QURAN

1: Ishmail kuwa Bora kuliko Isaka.

2: Waislam Kufanya miujiza wakati mtume hakuwahi kufanya muujiza wowote ndani ya quran.

3:Kuvaa suruali ambazo hazifiki chini.
Zile Suruali fupifupi.

4: Wanawake na wanaume kuchangamana wakati wa ibada ya hijja kwenye kaaba (ibada ya heshima kabisa) wakati huku misikitini hawachangamani.

5: Wanawake kuwa maimam na kuongoza ibada zanye mchanganyiko wa jinsia zote.

Nini maoni yako.
Itoshe kusema kuwa huujui uislam....kwenye hizo points zako labda namba 5 tu ndio umeipatia ila nyingine umepuyanga.

1. Uislam umefundisha kuwakubali manabii na mitume yote ya Mungu pasi na kuifàrakisha. Ubora wa mja aujuae ni Mungu pekee na hupimwa kwa uchamungu wake, sio mavazi,sura wala kabila atokalo.

2. Hilo la kusema kufanya miujiza sijui umelitoa wapi? Mtume Muhammad pbuh ametuachia Quran na sunnah zake tu..hakutuambia kuwa tuhangaike kufanys miujiza. Miujiza ni uwezo ambao Mungu humpa Nabii au Mtume wake ili awaoneshe waja wake kama hoja juu yao ili waweze kumuamini Mungu na Mtume aliyemtuma.

3. Kuvaa nguo bila ya kuburuzika chini ya vifundo viwili vya miguu ni sunnah ya Mtume Muhammad ( pbuh) .Mtume amekataza mwanaume wa kiislam kuburuza nguo .Isbaal

4. Hijjah ni ibadah exceptional tofauti na swala..katika twawaf watu wote huruhusiwa kuizunguka al'kaaba na kufanya ibada.
 
😅😅😅Jamani soma uislamu unasemaje watu wanafuata nn?...Na baadhi ya matendo watu wanacopy kwa mtume kama kiigizo chema.

Ndo maana uambiwa sunnah na hadithi zote zisipingane na Qur an ..
Utajuaje sunna hii au hadithi ile haipingani na quran wakati hilo jambo quran haijalisema?
 
Itoshe kusema kuwa huujui uislam....kwenye hizo points zako labda namba 5 tu ndio umeipatia ila nyingine umepuyanga.

1. Uislam umefundisha kuwakubali manabii na mitume yote ya Mungu pasi na kuifàrakisha. Ubora wa mja aujuae ni Mungu pekee na hupimwa kwa uchamungu wake, sio mavazi,sura wala kabila atokalo.

2. Hilo la kusema kufanya miujiza sijui umelitoa wapi? Mtume Muhammad pbuh ametuachia Quran na sunnah zake tu..hakutuambia kuwa tuhangaike kufanys miujiza. Miujiza ni uwezo ambao Mungu humpa Nabii au Mtume wake ili awaoneshe waja wake kama hoja juu yao ili waweze kumuamini Mungu na Mtume aliyemtuma.

3. Kuvaa nguo bila ya kuburuzika chini ya vifundo viwili vya miguu ni sunnah ya Mtume Muhammad ( pbuh) .Mtume amekataza mwanaume wa kiislam kuburuza nguo .Isbaal

4. Hijjah ni ibadah exceptional tofauti na swala..katika twawaf watu wote huruhusiwa kuizunguka al'kaaba na kufanya ibada.
Bila aya ya quran ambazo mada inataka hizi mkuu zinakuwa ni kelele za kijuaji. Mada sio ujuzi wa uislam. Weka aya bro.
 
Target yako ni hii. Hata usingehangaika kutoa maelezo mengi
😂😂 acha unajimu Bro. Target ni yote. Hata wasabato wanatamaduni nyingi ty ambazo ni nje ya biblia. Jikite kwenye mada tuache ramli chonganishi.
 
hadi sasa sijaona aya wakuu.
Tuwaamini kwa lipi wakuu.
 
1- WANADAMU WASINYWE POMBE HAKUNA ANDIKO.
2- KUKUTANA KANISANI BILA KULA MKATE ( SAKRAMENTI) hakuna Andiko.
3- SIKU YA SABATO MATEMBEZI NI USAWA WA KURUSHA JIWE PANDE NNE.
4- HAKUNA KUFANYA KAZI SIKU YA SABATO ni kula na kusali tu.
5- Divai, mvinyo, siyo pombe.
 
Back
Top Bottom