FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Hizo zote ulizozitaja kwa Waislam siyo tamaduni za kidini.Hizi hazimo kwenye Biblia.
1: Sikukuu za Krismass na Easter.
2: Kunena kwa Lugha ambazo mnenaji na wasikilizaji wote hawaelewani.
3: Maombezi kwa maiti ili isamehewe dhambi alizofanya akiwa hai.
4: Sabato ya Jumapili.
5: Mchungaji au askofu wa kike. Katika biblia mchungaji ni Mume wa mke mmoja sio mke wa Mume mmoja.
HAYAMO KWENYE QURAN
1: Ishmail kuwa Bora kuliko Isaka.
2: Waislam Kufanya miujiza wakati mtume hakuwahi kufanya muujiza wowote ndani ya quran.
3:Kuvaa suruali ambazo hazifiki chini.
Zile Suruali fupifupi.
4: Wanawake na wanaume kuchangamana wakati wa ibada ya hijja kwenye kaaba (ibada ya heshima kabisa) wakati huku misikitini hawachangamani.
5: Wanawake kuwa maimam na kuongoza ibada zanye mchanganyiko wa jinsia zote.
Nini maoni yako.
Usidanganye watu.