Madibira 1
JF-Expert Member
- Jan 6, 2023
- 358
- 831
- Thread starter
-
- #61
Mambo bado kivipi? Pdf la utaratibu wa uombaji na namna ya uombaji limetoka toka asubuhi au nikutumie bwana mdogo?View attachment TANGAZO_LA_AJIRA_-_UALIMU_NA_AFYA_-_TAMISEMI_ APRILI, 2023.pdfMambo n mengi[emoji23][emoji23]jamaa kashaomba tyr na kamaliza wakati mambo bado!
[emoji23]
Nithibitishie mkuu, Kama kujitolea miaka yote taarifa huchukuliwa lakini emptyUtapata tu..
Muongozo ninao tangu asubuhiView attachment TANGAZO_LA_AJIRA_-_UALIMU_NA_AFYA_-_TAMISEMI_ APRILI, 2023.pdfKwa haraka uliyokuwa nayo endapo watatoa mwongozo wa viambata ukawa umekiuka utajikuta u NALIA NGWENA na kuendelea kuwa senior jobless na ukikaidi utapigwa2
Karibu mkuu,share nasii anuanii ya kuomba kaz
Mwalimu na interview wapi na wapi bhanaHata huko tunatuma n interview tunahudhuria bwana mdogo acha dhereu.
Hatuombi ualimu tu, huko tuliomba nafasi ya mwandishi wa taarifa za bunge na tulikuja kwenye usaili, Kuna zile za Baraza la kiswahili, Kuna udereva, Kuna zile za loan board na nyingine zilizotangazwa na vyuo vya tengeru, UDSM, Arusha institute n.kMwalimu na interview wapi na wapi bhana
Utaratibu wa kutuma maombi bado haujakaa vzuri kijana ameshatuma tayari
Kupata kazi sio kuwahi kutuma maombi
Nyie ndio hamuelewi, kama iliomba mara ya kwanza bc sasa hv ni vitu vichache tuu kukamilisha hvy hautumii ht saa zima unakuwa ushamalizaMkuu acha kuwatia wenge wenzio maombi bado ayajaanza kupokelewa c unaona ata hyo copy right ya hyo portal ya screenshot uliyoiweka ni ya 2020 bado wataiupdate na watatoa barua yenye utaratibu wote wa kuomba na tarehe za kuomba na kama aitoshi wataongeza na cku za maombi kabisa usiwape wenge vijana kukimbilia page ya tamisemi wanaijam na kusababisha wa it washindwe fanya kazi yao kwa mdah stahiki
Waambie hao ndugu maana wanahisi ni kazi kubwa kumbe ni barua tuNyie ndio hamuelewi, kama iliomba mara ya kwanza bc sasa hv ni vitu vichache tuu kukamilisha hvy hautumii ht saa zima unakuwa ushamaliza
Nikipata nitaomba mods nibadili jina
Hii acha ibaki tu maana huwezi kuukataa uhalisia kwa ID itakuwa sawa na kukwepa ngumi ya uso kwakufumba macho.Kuwa mtu wa Imani. Anza kwanza Kwa kubadili ID ilete maana.
Naona hata Sasa hivi kama unatamani upigwe ban. Ni kweli unaham na ban?
Nisahihi, copy tu ndio zinapigwa muhuriMhuri unapigwa kwenye copy ya cheti tuh.
Huwezi kupiga Mhuri kwenye cheti original.
Utakua ni uchafuzi wa vyeti sasa,
Naam, tamisemi hawahitaji hizo copy, wanataka original certificate , kwa mfumo wa PDF. OverNisahihi, copy tu ndio zinapigwa muhuri
Mkuu safari hii watu wa geography hatutakiwi?Huo muongozo nimeupata kabla haujapostiwa, nimetuma kwakuzingatia vigezo na masharti.
Kwa haraka uliyokuwa nayo endapo watatoa mwongozo wa viambata ukawa umekiuka utajikuta u NALIA NGWENA na kuendelea kuwa senior jobless na ukikaidi utapigwa2
Ingia kwenye system masomo yote yapo. Achana na tangazo wewe tuma maombiMkuu safari hii watu wa geography hatutakiwi?
Mkuu naomba maelekezo ya vyeti, tunatumia copy zenye mihuri au? Pia nimewahi kuomba before, nafungua account mpya? Msaada please my fellow senior joblessIngia kwenye system masomo yote yapo. Achana na tangazo wewe tuma maombi
Unakosea password mzee wanguVipi tunaoambiwa bad credentials au unable credentials kila tukijaribu kuingia kwenye mfumo.