Sija yakataa mawazo yako maana kila mtu ana waza awezavyo. MkuuMkuu huyo mtumishi haumtombi bure si unamhonga akupe utelezi apate hela ya kujikumu huku akisubiria aingiziwe mpunga
Punguza ujuwaji bwan mdogo, unazani wewe ndiye wa kwanza kuajiriwa huko halmashauri? Kaa kimya.Tunatoboa tu sema jaribu fananisha unanyunba yako af ofis ya kijiji inakuletea zengwe kwenye kupata hat ya nyumba yako ko lazima ulie lie ili haki ipatikane.
Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
Sawa bwana mkubwa.Punguza ujuwaji bwan mdogo, unazani wewe ndiye wa kwanza kuajiriwa huko halmashauri? Kaa kimya.
Mtu kutaka apewe haki yake ya msingi nako ni ujuaji? Kuna watu akili zenu zimekaa kimasikini tu ndio maana hata hao watawala wanafanya wanavyotaka wakijua kuna mazezeta yatakuja kuwatetea.Punguza ujuwaji bwan mdogo, unazani wewe ndiye wa kwanza kuajiriwa huko halmashauri? Kaa kimya.
Naweza tunza ukoo wenu mzima,kula asubuhi hadi jioni(chakula bora),kuvaa,kusafiri upendavyo kwa miaka 50.Mtu kutaka apewe haki yake ya msingi nako ni ujuaji? Kuna watu akili zenu zimekaa kimasikini tu ndio maana hata hao watawala wanafanya wanavyotaka wakijua kuna mazezeta yatakuja kuwatetea.
Hela ya kujikimu sio hisani ni haki ya mtumishi NDIO maana imeitws ya kujikimu kabla hajaingia kwenye payroll. Sasa unapokuja kumpa siku unayojisikia wewe anajikimu kitu gani sasa? Halimashauri zinatakiwa kutenga fedha hiyo na kuweka tayar pale siku wanapopelekewa idadi ya watumishi, Ila kwa hawa Wakurugenzi wa CCM hawawezi kuhangaika na hilo kwani wanajua watumishi wenyewe hawajijui na ukiwatisha kidogo tu wanafyata.
vizuri bwana mdogo.
Pole ndugu, maadamu umeshataja hiyo halmashauri, ninahakika wenye mamlaka watashughulikaUsicheke mkuu ILA CHEKA SANA KAMA AYAJAKUKUTA USIONBE YAKUKUTE LAZIMA UTASIMULIA..toka nilivyo kula usiku sijala tena naratiba ya kula usiku to usiku tu.🥹 Sio poa.
Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
Umeshindwa kutunza akili yako binafsi utaweza hata kutunza kalamu yangu ninayoandikia? Unafikiri Wakurugenzi wanaendeleaje kuiba kama sio uwepo wa punguani wengi mtaani wasiopenda kuhoji ila wapo kuitikia tu kila kitu kama wewe na hata ukikaa nao ukihoji woga unawapata wao.Naweza tunza ukoo wenu mzima,kula asubuhi hadi jioni(chakula bora),kuvaa,kusafiri upendavyo kwa miaka 50.
Unkuta familia zetu hizi hata mtu wa kukopa hakuna hali si Hali. Mhh kazi kweli.Ushaanza kulia njaa mapema hivi.
Ulitakiwa ujiandae hela ya serikali sio ya kuipigia mahesabu.
Pambana ukope kwa ndugu jamaa na marafiki.
Ni shida mkuu, yani......🥹🥹 Ngoja ninyamaze make nisha tishwa.Mtu kutaka apewe haki yake ya msingi nako ni ujuaji? Kuna watu akili zenu zimekaa kimasikini tu ndio maana hata hao watawala wanafanya wanavyotaka wakijua kuna mazezeta yatakuja kuwatetea.
Hela ya kujikimu sio hisani ni haki ya mtumishi NDIO maana imeitws ya kujikimu kabla hajaingia kwenye payroll. Sasa unapokuja kumpa siku unayojisikia wewe anajikimu kitu gani sasa? Halimashauri zinatakiwa kutenga fedha hiyo na kuweka tayar pale siku wanapopelekewa idadi ya watumishi, Ila kwa hawa Wakurugenzi wa CCM hawawezi kuhangaika na hilo kwani wanajua watumishi wenyewe hawajijui na ukiwatisha kidogo tu wanafyata.
Asante mkuu[emoji120].Pole sana mkuu, vumilia tu wako wengi wanaopitia hii hali?
Niwe tayar kwa lolote siyo " sawa mkuu kuna namna nimekuelewa"Mie nikushauri tu nenda kakomae na mkurugenzi pale oficin kwake mpka akupe hela yankujikimu ila usianze kuogopa vitisho vyao unadai haki na haki utaipata Tu ila inabidi uitafute sasa, utakuja nishukuru baadae [emoji854]
Uwe tayari kwa lolote
[emoji120]Pole ndugu, maadamu umeshataja hiyo halmashauri, ninahakika wenye mamlaka watashughulika
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Usitishwe na mpumbavu, Mimi nishawahi kuajiriwa kwenye Ajira zao zilizokosa staha na wapojaribu kuninyamazsha waliniita wenyewe kuniomba msamaha, ukishakuwa muoga tu watakuona mbuzi tu. Mimi nilimuambia mkurugenzi wao kabisa kuwa hapa nataka haki yangu na kama haipo basi wewe ndio uwe na adabu na sio mimi, unachonizidi ni ukada tu na kujipendekeza kwa aliyekuteuaNi shida mkuu, yani......🥹🥹 Ngoja ninyamaze make nisha tishwa.
Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
[emoji36]Unkuta familia zetu hizi hata mtu wa kukopa hakuna hali si Hali. Mhh kazi kweli.
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app