Tamko la Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Dar es Salaam (DCPC) kumtaka Freeman Mbowe kuomba radhi

unapokatisha matangazo wakati unahutubia unasababisha focus ihame badala ya kujadili maudhui ya mkutano wanafocus kuzungumzia kukatwa kwa matangazo hongera kwa Mbowe kwa uamuzi wa busara aliyoyachukua amalizie tu kumfukuza na millardayo kupunguza longolongo.
 
Wapeleke upuuzi huko.

Hakuna mtu atawaomba radhi hao wazee wa bahasha za kaki, hizo njaa zao wazipeleke huko CCM.
Haki ya nani hii ni laana kwa wanachedema. Kila jambo mnatanguliza matusi tu, matusi hayajawahi kuwa suruhisho la jambo lolote.
 
Haki ya nani hii ni laana kwa wanachedema. Kila jambo mnatanguliza matusi tu, matusi hayajawahi kuwa suruhisho la jambo lolote.
kama Gwajima kafanya matusi hadhari lakini leo hii ni mgombea wa CCM unadhani kuna mataga anaweza kutupa husia wowote tukamsikiliza??
 
Mh. Mbowe akifanya kitendo Cha ujasiri na sahihi kabisa kwa sababu TBC haikwenda kwenye mkutano ule kwa nia njema kama ilivyo kawaidà yao waliokwenda kwa ajili ya CCM na mgombea wake. Yeyote aliyekuwa anafuatilia mkutano ule kwenye TV aliweza kuona nia mbaya ya TBC na kuchukizwa sana wala hatujutii kutoona live kilichokuja kinaengelea. Mpiga kura mwenye akili anakuwa amejua ni kiongozi gani atampa kura yake miaka mingi kabla ya siku ya Uchagusi bila kumwona wala kumsikia. Waandishi hao wa Habari wanatafuta ajira Serikalini kwa sababu wengi wameajiriwa kwa kutumia njia hiyo ya kuimba sifa za wenye mamlaka.
 
TBC ni serikali
Si wakafungue jalada polisi!
Ni vema TBC isijifiche nyuma ya vyama ambavyo waal havijulikani.
Ni ajabu TBC kulalalama kwani kwa muda mrefu hawana sifa ya kuwa na a balanced reporting katika matukio yao karibu yote.
Kiuhakika TBC anavuna kile walichopanda muda mrefu!
 
KUOMBA RADHI UTAKUWA NI UJINGA MKUBWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…