Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaaazi kweli kweli, wakristo hamna kwenu, huko ISRAEL hamtambuliki kabisa.. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakristo tususie uchafu wa Azam
Weka hata series moja kama hiyo ya hollywood inayooneshwa Azam.Sasa si ndio kama hiyo ya Ottoman? Mimi siangalii hizo tamthilia, ila kusema ukweli kabisa Islamophobia is real tusifanye utani...
HAHAHAHASeries ya waturuki..wewe mmatumbi unakuja kunitukana Mimi Mtanzania mwenzako Kwa hasira...
Khee we unadhani TANGANYIKA kuna Waislam wachache kuliko Zanzibar??Sioni haja ya Muungano ni mida sahihi turudi kuwa Watanganyika
Nchi hii Uchumi umeshikwa na Waislam tupu, waislam ni kama maji kila sehemu wapo.Ni vile tu hatujitambui,
hivi hao azam sisi si ndo tunaowalisha?
Tungekuwa tunajitambua tungesusa huduma zao zote au kutafuta altenative investor. Huu ni uchokozi kabisa.
Bila kusahau masikini wengi ni waislam, Wakristo wamebalanceNchi hii Uchumi umeshikwa na Waislam tupu, waislam ni kama maji kila sehemu wapo.
MO
BAKHRESA
ROSTAM
ASAS
MANJI
Na matajiri unaowajua wewe hapo, nenda kariakoo ndio utachanganyikiwa, kwa kifupi nchi hii imeshikwa na waislam
movie za kwenye vingamuzi nyingi naona za kidemu mara sijui kurfi, mara sijui series gani stories za kiboya hazina reality kuna siku nilienda ugenini nikauta zimewekwa yaani hata wanavyopigana unashangaa,Tamthilia ya Othman ni tamthilia ya Uturuki ambayo hapa nyumbani inaoneshwa na Azam Media...
List ya mikoa Masikini unaijua na wengi ni WAKRISTO.Bila kusahau masikini wengi ni waislam, Wakristo wamebalance
List ya familia masikini wengi waislamuList ya mikoa Masikini unaijua na wengi ni WAKRISTO.
Mwongo wewe. Hollywood wanayengeneza muvi kutokana na nyakati. Nyakati za cold war walitengeneza muvi za kishushu against russia na always mashushu wa kimarekani waliibuka washindi.Angalia movie zote za waarabu na wamarekani ,lazima majambaau wawe waarabu Tena wanaonekana wale watu dini ( waislamu) wakichinja watu Kwa sana ,mbina husikii watu wakilalama.
Ungesoma kwanza historia si unaaanza kulalamika, kwa ufupi tu othman ni mwana wa mwisho wa ertugrul gazi na ndiyo aliyeiunda ottoman empire iliyotawala kwa miaka 600+ mpaka ilipokufa mwaka 1922.Tamthilia ya Othman ni tamthilia ya Uturuki ambayo hapa nyumbani inaoneshwa na Azam Media...
Kwamba uislamu unaenezwa kwa tamthilia, mkuu una uhakika wewe ni mtanzania?.Hizo tamthilia zimewekwa kwa lengo maalumu,kueneza utamaduni wa waarabu na uislamu,