Tamthilia ya Othman ya Azam TV, lengo lenu ni kuudhalilisha Ukristo. Itoeni mara moja

Tamthilia ya Othman ya Azam TV, lengo lenu ni kuudhalilisha Ukristo. Itoeni mara moja

Tamthilia ya Othman ni tamthilia ya Uturuki ambayo hapa nyumani inaoneshwa na Azam Media. Maudhui ya tamathilia hiyo kuwa Dini ya othman (Uislamu) ni dini bora kuliko dini ya Wakristo (waroma).

Kwenye filamu hiyo utaona kuna mapigano baina ya Waislamu (Othman) na Wakiristo (Waroma)! Mapigano ni kwa ajili ya kusimika dini ya Uislamu na kila pambano wanashinda Waislamu dhidi ya Wakristo, na wakishinda utasikia Mungu mkubwa, Mungu mkubwa, Allah mkubwa.

Na wanaopigwa wanavaa nguo zimeandikwa Roma, na wanavaa misalaba na chanzo za ugomvi ni dini. Na hii siyo mara ya kwanza na kama unawafatilia hata hivi tamthilia Wanazozitafsiri lazma wasema Assalam Aleikum au Allah. Unakuta filamu ya Kifilipino au kizungu lazima wanao tafsiri waweke maneno ya Kiislamu.

Je, huu ni mkakati wenu Azam kuutukana ukiristo. Azam acheni propaganda za kidini, mnaharibu hiki kizazi. Hata kazi za watangazaji 'Hapo Azam asilimia 80 ni Waislamu, Km Bakhresa unapenda Uislam nenda kawekeze Uarabuni. Waislamu acheni ubaguzi nyie.
zuia watoto kuendekeza hizi tamthilia zina upuuzi mwingi uliojificha...kwanza ukiachilia udini kama huo zinasababisha uraibu wa tv kwa watoto hata watu wazima. Na kibaya serikali imeachia hizi tamthilia za nje zinaonyeshwa hovyo ilhali zina mazingira tofauti ya mila na utamaduni wetu.
 
Wakikusikia utasikia,

"Hama kwani nani kakulazimisha kununua Azam".

Mimi baada ya kumuona mwanangu anajifunza kushika mapanga na kujisifia anakula vichwa kama osman anashushia na lugha za kiarabu hata sizielewi...siku hizi silipii kifurushi.

Maana leo Osman anakula vichwa vya waroma kesho huyu mtoto atatafuta wa kujaribishia..[emoji26][emoji26][emoji26]
Lipia Kifurushi ila LOCK channels usizozitaka ziangaliwe.
 
Mimi nina heshima zangu humu sitokujibu kwa kukutukana, pia mimi ni msomi hivo nakuacha,ila siku nyingine wewe mfia dini ukikuta nime comment sehemu naomba usiniquote

Mimi humu huwa ninazunhumza na watu wazima wenye akili timamu, tafadhali sana Mkuu tuheshimiane, this is very low for me
Eti una heshima, kama una heshima usingeandika utumbo. Heshima unaijua ww
 
YESU AKBAR YESUUU AKBAAAAARRRRR
Pole na kwa Ban nilikurepoti kwa mods nadhani sasa utarudi uraiani kwa displini ya hali ya juu na ukiwa mkaidi soon utarudi kifungoni 😆😆😆
IMG_20230304_062017.jpg
 
Wanachonifurahisha waturuki ni kuishi kama wakristo hasa kimavazi, na sijasikia kina mnyazi kuwatenga wala nini au kwa vile wanajiweza kiuchumi😂happ ndo utajua unafiki wa hawa watu

Kitu nyepesi nunua king'amuzi kingine, au usilipie kifurushi mi niliacha baada ya kuona utumbo utumbo ktk chaneli zao
 
Tamthilia ya Othman ni tamthilia ya Uturuki ambayo hapa nyumani inaoneshwa na Azam Media. Maudhui ya tamathilia hiyo kuwa Dini ya othman (Uislamu) ni dini bora kuliko dini ya Wakristo (waroma).

Kwenye filamu hiyo utaona kuna mapigano baina ya Waislamu (Othman) na Wakiristo (Waroma)! Mapigano ni kwa ajili ya kusimika dini ya Uislamu na kila pambano wanashinda Waislamu dhidi ya Wakristo, na wakishinda utasikia Mungu mkubwa, Mungu mkubwa, Allah mkubwa.

Na wanaopigwa wanavaa nguo zimeandikwa Roma, na wanavaa misalaba na chanzo za ugomvi ni dini. Na hii siyo mara ya kwanza na kama unawafatilia hata hivi tamthilia Wanazozitafsiri lazma wasema Assalam Aleikum au Allah. Unakuta filamu ya Kifilipino au kizungu lazima wanao tafsiri waweke maneno ya Kiislamu.

Je, huu ni mkakati wenu Azam kuutukana ukiristo. Azam acheni propaganda za kidini, mnaharibu hiki kizazi. Hata kazi za watangazaji 'Hapo Azam asilimia 80 ni Waislamu, Km Bakhresa unapenda Uislam nenda kawekeze Uarabuni. Waislamu acheni ubaguzi nyie.
samia anajua hili na amekaa kimya,hatari sana kuwa na rais mbaguzi.
 
Wanaigeria wangeeneza sana ukristo na zile movie zao za kuishia kanisani.
Wale hawana movie ya ku dhihaki Imani nyingine, kama ulivyo hii ottoman inavyodhihaki ukristu na mamlaka ya papa. Wanaigeria wao unakuta ni movie za maadili tu na hawahusishi Imani mbili tofauti. Pale ambapo unatumia Imani tofauti lazima u strike Ballance . Haiwezekani unaotengeneza story wewe mwenyewe halafu unadanganya watu kwa propaganda kuwa Kila scene mlipo pigana na Roma mliwashinda. Hiyo ni story ya propaganda . Kwa kuwa mambo haya yakitokea pande zote mbili, ingefaa mchezo huo uandaliwe kwa pamoja kati ya pande zote zilizoshiriki. Sasa mfano warumi na wenyewe wakija na propaganda ya story kama hiyo wa waendelee upande wao ingekuwaje? Lakini wao hawawezi kufanya ujinga na utoto kama unaofanywa na waturuki hao
 
Unapingana na historia?
Watuonyeshe tu
Historia iliyopindishwa? Ninyi si mabingwa wa kubadili historia kuonyesha kuwa ninyi ni suprime? Hapa bongo tu ukitaka historia mfano ya uhuru wa Tanganyika, au historia ya utumwa wa mwarabu Zanzibar, ukifuata story za akina Mohamed said au wanazuoni wenu si za uongo kabisa , na sasa wanamsafisha mwarabu eti hakushiriki kabisa biashara ya utumwa Wala mateso kwa babu zetu, badala yake alikuwa Mwema kabisa mwenye uruma na mweneza dini....rRongo tupu historia zenu
 
Wale hawana movie ya ku dhihaki Imani nyingine, kama ulivyo hii ottoman inavyodhihaki ukristu na mamlaka ya papa. Wanaigeria wao unakuta ni movie za maadili tu na hawahusishi Imani mbili tofauti. Pale ambapo unatumia Imani tofauti lazima u strike Ballance . Haiwezekani unaotengeneza story wewe mwenyewe halafu unadanganya watu kwa propaganda kuwa Kila scene mlipo pigana na Roma mliwashinda. Hiyo ni story ya propaganda . Kwa kuwa mambo haya yakitokea pande zote mbili, ingefaa mchezo huo uandaliwe kwa pamoja kati ya pande zote zilizoshiriki. Sasa mfano warumi na wenyewe wakija na propaganda ya story kama hiyo wa waendelee upande wao ingekuwaje? Lakini wao hawawezi kufanya ujinga na utoto kama unaofanywa na waturuki hao
Mimi nilikuwa nazungumzia kwa mtu ambaye anayeamini kuwa hizo movie za waturuki zina lengo la kuutangaza na kueneza uislamu ndio maana nikatoa mfano wa kinigeria kwamba kama ingekuwa inawezekana kueneza dini kwa movie basi wanaigeria ndio wangefanikiwa sana kuusambaza ukristo.

Waturuki wana movie nyingi tu na hao Azam wanazionyesha ila hazihusu kabisa masuala ya dini wala kudhihaki ukristo kama waturuki wangekuwa na lengo la kudhihaki ukristo basi hata movie zao zengine nje ya hiyo ottoman pia tungeona hizo dhihaka kwa ukristo. Halafu binafsi sijaona kama wanachokifanya wanadhihaki ukristo kwenye hiyo Ottoman kisa wanashinda kila pambano, na ukizingatia huwa yapo makundi mule hata hayana dini kabisa nao huwa wapo.
 
Mkristo: Anaamini kuwa Mungu anaweza kujipigania mwenyewe. Ukristu unaaminisha hata ukifa kwa ajili ya kristo na bado una dhambi utahukumiwa tu.

Muislam: Huyu anaamini kabisa Mungu wao kawaruhusu kupigana kwa ajili ya dini yao.

Pia ikitokea mtu kafia Uislam basi yeye moja kwa moja anaenda mbinguni hata kama ana dhambi kibao
Huyo Mungu anayesubiria kupiganiwa basi hajielewi
 
Tamthilia ya Othman ni tamthilia ya Uturuki ambayo hapa nyumani inaoneshwa na Azam Media. Maudhui ya tamathilia hiyo kuwa Dini ya othman (Uislamu) ni dini bora kuliko dini ya Wakristo (waroma).

Kwenye filamu hiyo utaona kuna mapigano baina ya Waislamu (Othman) na Wakiristo (Waroma)! Mapigano ni kwa ajili ya kusimika dini ya Uislamu na kila pambano wanashinda Waislamu dhidi ya Wakristo, na wakishinda utasikia Mungu mkubwa, Mungu mkubwa, Allah mkubwa.

Na wanaopigwa wanavaa nguo zimeandikwa Roma, na wanavaa misalaba na chanzo za ugomvi ni dini. Na hii siyo mara ya kwanza na kama unawafatilia hata hivi tamthilia Wanazozitafsiri lazma wasema Assalam Aleikum au Allah. Unakuta filamu ya Kifilipino au kizungu lazima wanao tafsiri waweke maneno ya Kiislamu.

Je, huu ni mkakati wenu Azam kuutukana ukiristo. Azam acheni propaganda za kidini, mnaharibu hiki kizazi. Hata kazi za watangazaji 'Hapo Azam asilimia 80 ni Waislamu, Km Bakhresa unapenda Uislam nenda kawekeze Uarabuni. Waislamu acheni ubaguzi nyie.
HIO Tamthilia ni HISTORY YA KWELI na sio maigizo tu ya kutafuta pesa

Na kawaida ya Historia za kweli zote huwa zinachoma choma manake zinagusa wale wasio na elimu.

Iko moja inakuja inaitwa "THE CRUSADE " Ya wale wakristo waliua waislamu kule Israel wakala nyama za watoto kwa kutumia jina la Yesu.

Hio ikianza labda utavunja hio TV yako.
Usipende kulalamika bila kufahamu unacho lalamikia

Soma historia ya THE OTTOMAN EMPIRE uone je AZAM anaonyesha Tamthilia ya uongo au NI KWELI TUPU?
 
Back
Top Bottom