TANESCO: Hatuhusiki na kukatika umeme kwa Mkapa. Alaumiwe waziri wa Utamaduni na Michezo

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Tanesco umeme.jpg
 
23AA8146-8B27-450E-9657-6C3806071DD2.jpeg

Shirika la Umeme nchini (Tanesco) limesema kuwa halihusiki na kukatika kwa umeme wakati mechi ya Yanga na Rivers Unite ya Nigeria ya Robo Fainali ya pili ya kombe la Shirikisho barani Afrika ilipokuwa inaendelea katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.

Umeme ulikatika na kulazimika kusimamisha mechi hiyo.

Mchezo huo ulisimama dakika ya 25 kipindi cha kwanza zikianza kuzimika moja kwenda nyingine kisha kumalizika zote zinazozunguka uwanja huo.

Baada ya kuzimika kwa taa hizo mwamuzi wa mchezo huo Jiyed Redouane kutoka Morocco alisimamisha mchezo na timu kubaki uwanjani zikisubiri kuwaka tena kwa taa hizo.

Hata hivyo, umeme ulirudi na mechi kuendelea.
 
Mbona magenereta ya wenzetu hayaharibiki hovyo kama yetu
Siyo kama hayaharibiki lakini wanawasha mawili kwa wakati mmoja yanasaidiana majukumu (synchronization). Lets say zinatakiwa 100KW basi kila moja linatoa 50:50 au 30:70 mwenyewe tu utakavo set. Kama moja linafeli basi mzigo wote automatically unabebwa na lile moja zima inakuwa 0:100 hapo. In some more serious cases hata matatu ai manne yanatumika.
 
Nape umemuona unayedhanigi ni rafiki yako?

Amekutupia zigo! Shauri yako
 
Back
Top Bottom