GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
National Certified Pimp.Ndio shirika linalosimamiwa na January makamba Jr mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
National Certified Pimp.Ndio shirika linalosimamiwa na January makamba Jr mkuu.
Halafu Tanzania na Watanzania tukitukanwa na Watu wa Mataifa mengine tunachukia.AIBU KWA TAIFA.
CAF WALITOA WARNING YA KUFUNGIWA KWA UWANJA.
SISI MAMBO YA USIKU HATUWEZI.
ZAIDI YA KUZAGAMUANA.
KWANINI TUSICHEZE MCHANA?????.
Usiku wa manane wa Kuamkia hi Leo.Lini tena?
Kama Akili tu hatuna tunaweza kusimamia Mambo makubwa na yanayohitaji Akili Kubwa na Tukuka?Mpira wa usiku tuwaachie wazungu na nchi zilizoendelea sisi usiku tubaki kuzagamua na kuwanga tuu
Hapana alikuwa hajalewa ila maisha yake ni pombe toshawakati anaiandaa hiyo press alikuwa amelewa?
We Mtusi umezidi Kila Kagame Kila kitu acha ushambaHalafu Tanzania na Watanzania tukitukanwa na Watu wa Mataifa mengine tunachukia.
Mwaka 2013 Rais Kagame wa Rwanda aliwahi kumwambia aliyekuwa Rais wa Taifa Moja wakiwa Kikaoni nchini Ethiopia kuwa anaongoza Maiti tupu huku hata Yeye nae akiwa ni Maiti.
Nimemsahau huyo Kiongozi na Nchi.