Mpetde
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 3,955
- 6,546
Jenereta lipi mizinguo umeme upo jenereta la nini wa Marope ?Jenereta lakini kwa bahati mbaya limefeli lakini Umeme wa Tanesco upo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jenereta lipi mizinguo umeme upo jenereta la nini wa Marope ?Jenereta lakini kwa bahati mbaya limefeli lakini Umeme wa Tanesco upo
Yaani waliogopa umeme kukatika, wakaamu kutumia jenereta likazingua, wakaona Bora watumie umemeJenereta lipi mizinguo umeme upo jenereta la nini wa Marope ?
Wawajibishwe wametia aibuViongozi wa uwanja ndiyo tatizo
Endelea tu kututia aibu mtoto wa mlamba asali, kwanini litumike jenereta ilihali umeme upo, aibu mpaka lini? halafu ndio anataka awe raisi.Waziri wa nishati mh Makamba amesema leo iliamuliwa Umeme wa Tanesco usitumike litumike Jenereta lakini kwa bahati mbaya limefeli lakini Umeme wa Tanesco upo
Mungu ni mwema Wakati wote!
Huelewi lolote!Makamba ni manager wa uwanja wa taifa? Tangu lini?
Tuache upumbavu ndugu watanzania mnaojiita wazalendo wa kisukuma
Akili za wapi hizi Sasa ? Yaan unawasha jenereta unaacha umeme wa tanesco are you serious Marope ?Yaani waliogopa umeme kukatika, wakaamu kutumia jenereta likazingua, wakaona Bora watumie umeme
Rais wa Bumbuli ?halafu ndio anataka awe raisi.
Povu la nini sasa we msenqe? Acha watu wajadili mambo kwa uhuru. Unatetea uzembe ili iweje?Makamba ni manager wa uwanja wa taifa? Tangu lini?
Tuache upumbavu ndugu watanzania mnaojiita wazalendo wa kisukuma
Aingii akilini kuwa jenereta zimezimika, na umeme wa TANESCO upo, usipokee mara moja? AIBU au kama ulivyohoji ni mbinu ya kumpa mtu tenda ya kuleta jenereta mpya au kutengeneza, kwani imetokea tena kwenye mechi ya kimataifaTANESCO wameruka mbali tukio la kuzimika umeme Taif wakati MECHI ikiendelea. Taarifa Yao ina leta maswali yenye viashiria vya wizi kama ifuatavyo
1. Kwanini uwanja wa Taifa waliamua kutumia umeme wa jenereta badala ya umeme wa TANESCO?
2. TANESCO na Uwanja wa Taifa yote ni serikali, kwanini wanarushiana lawama?
3. Hii Hali mbona tulikuwa hatuisikii awamu iliyopita?
4. Fedha za mapato ya uwanja zinatumika kufanya KAZI gani?
5. Nani mtaalam wa ufundi? NI Watanzania au kuna kampuni ya kichina inalipwa kuwasha na kuzima jenerator?
6. Hakuna wanufaika nyuma ya hizi hujuma? Kwamba wanaonyesha kuna hitilafu ili walipwe au watengewe fedha au wapata njia ya kuanzisha mchakato wa kumpa MTU tenda?