TANESCO: Hatuhusiki na kukatika umeme kwa Mkapa. Alaumiwe waziri wa Utamaduni na Michezo
TANESCO wameruka mbali tukio la kuzimika umeme Taif wakati MECHI ikiendelea. Taarifa Yao ina leta maswali yenye viashiria vya wizi kama ifuatavyo

1. Kwanini uwanja wa Taifa waliamua kutumia umeme wa jenereta badala ya umeme wa TANESCO?

2. TANESCO na Uwanja wa Taifa yote ni serikali, kwanini wanarushiana lawama?

3. Hii Hali mbona tulikuwa hatuisikii awamu iliyopita?

4. Fedha za mapato ya uwanja zinatumika kufanya KAZI gani?

5. Nani mtaalam wa ufundi? NI Watanzania au kuna kampuni ya kichina inalipwa kuwasha na kuzima jenerator?

6. Hakuna wanufaika nyuma ya hizi hujuma? Kwamba wanaonyesha kuna hitilafu ili walipwe au watengewe fedha au wapata njia ya kuanzisha mchakato wa kumpa MTU tenda?
 
Back
Top Bottom