TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
kwenye mada kama hizi nchi nzima giza saa hizi zile ng'ombe za lumumba huwezi kuziona wanasoma na kupita kimya kimya.
 
Waziri muongo alisema kukatika umeme itakuwa historia . CCM imechokwa nchi nzima.sijuwi hawa wanaokichagua hiki chama wanatumia tochi au vibatari?
Enzi zake ni kweli umeme haukukatika kama sasa. Au unasemaje.
 
amfukuze huyo mkurugenzi aliyemteua badala ya mramba maana alimfukuza mramba kwa chuki tu na roho mbaya.
 
Screenshot_20171126-170207.png

Pale aliyekuwa Mkurugenzi wa Tanesco Bwana Mramba anaposikia Tanzania imerudi Gizani kwa speed ya Bombadia..
 
MAHANJU
Unapoandika jitahidi kufanya uchambuzi wa mambo unayoandika. Kuhusu suala la umeme, huoni jitihada zinazofanywa. Ule mradi wa stiglers george unazani utaingiza megawati ngapi katika gridi ya taifa? Tatizo vijana wa chadema kutamani jambo fulani litokee kama ndoto bila kuwekeza jitihada kufikia hiyo ndoto.
Unazungumzia kitu ambacho hata kuanza hakijaaanza? Naona siku hizi hatuzungumzii gesi tena tumehamia stiglers gorge
 
Nimesikia wanaukusanya na kuuhifadhi ili siku ya kuzindua treni ya umeme usije kukatika maana serikali yote kuanzia sizo mwenyewe itasafiri kwa treni kwenda mwanza na kurudi... So wanaapply ile formula ya "akiba haiozi" TANESCO

jamani nimecheka kwa nguvu mnooo haaaaaaaaaaa
 
Aahh mbona sioni cha maan ulicho andika TATIZO haliishi siku moja bro
 
Ccm = porojo tupu, hakuna kitu.
CCM taifa hili limewashida hakuna jipya zaidi ya kuudanganya umma kua mnapendwa, nakumbuka wakati mnaingia madarakani 2015 mlisena kua matatizo sugu kama ya Umeme yatakua historia kwa uwepo wa basi kutoka Mtwara. Sasahihi ni mgao wa Umeme kimya kimya nchi nzima bila hata taarifa tofauti na zamani. Mnaogopa nini kuutangazia umma kua kuna mgao wa Umeme? Mnajua mnawaathiri vipi wananchi na biashara zao? Si bora mtu awe na raarifa ili aweke Sola au jrnereta kabisa kuliko usanii huu?

Mliingia kwa mbwembwe mkatimua Mkurugenzi mkuu wa TANESCO kwa madai kua anahujumu shirika, leo hii yapata miaka miwili serikali ya awamu ya 5 iko madarakani lakini matatizo ya Umeme yako pale pale, usanii mtupu. Mnashindwa nini kusema kua hali ni tete mkaeleweka? Kwanini mtaabishe wafanya biashara bila sababu hata hatuelewi nini kinaendelea.

Niulize, hayo mambo makubwa yanayofanywa ni yapi? Kufuta elfu 20 za ada za sekondari? Mambo makubwa ni kunyanyasa watumishi wa umma ambao hawapati stahiki zao kwa hadaa za nyongeza kiduchu cha mishahara?

Naamini, bila CCM kuondoka madarakani wananchi wataendelea kuteseka maisha yao yote huku wachache wakiendelea kuneemeka maisha yao yote.
 
MAHANJU
Unapoandika jitahidi kufanya uchambuzi wa mambo unayoandika. Kuhusu suala la umeme, huoni jitihada zinazofanywa. Ule mradi wa stiglers george unazani utaingiza megawati ngapi katika gridi ya taifa? Tatizo vijana wa chadema kutamani jambo fulani litokee kama ndoto bila kuwekeza jitihada kufikia hiyo ndoto.

Duuh kweli nimepitwa na mengi. huu mradi ndio nausikia kwako aisee
 
MAHANJU
Unapoandika jitahidi kufanya uchambuzi wa mambo unayoandika. Kuhusu suala la umeme, huoni jitihada zinazofanywa. Ule mradi wa stiglers george unazani utaingiza megawati ngapi katika gridi ya taifa? Tatizo vijana wa chadema kutamani jambo fulani litokee kama ndoto bila kuwekeza jitihada kufikia hiyo ndoto.
JITIHADA MBN ZIPO MIAKA YOTE? AU WW NDO UNAONA MWAKA HUU PEKE YAKE KWAMBA JITIHADA ZNAFANYIKA?
 
. Kuhusu suala la umeme, huoni jitihada zinazofanywa. Ule mradi wa stiglers george unazani utaingiza megawati ngapi katika gridi ya taifa?.
Huo mradi upo toka miaka ya 1980s! CCM imeshafail big time!

Btw, ni “unadhani” na siyo “unazani”, ewe zombie la CCM!
 
tanzania ya kamari sasa hivi kila chombo cha bahari ni tatu mzuka na biko
 
Back
Top Bottom