TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Wanahangaika kutii ya sheria ya hifadhi ya barabara kwa kubomoa majengo kwa sheria ambayo akina Butiku wanaishangaa!Nguvu hizo wanazotumia kutii sheria tata wangezitumia kutatua tatizo la ukosefu wa umeme kwao ni kero!

Cha kushangaza kuna watu tena wenye akili timamu wanaungana na haya mambo kwa kutuaminisha ccm imezaliwa upya,sijui kwa lipi.
 
Itabidi Kikwete arudi madarakani fasta.huyu wa sasahivi haeleweki.kilakitu anasema yeye amesema,yeye hajibiwi hivo,sasa aondoke,JK arudie kazi yake.
 
Mimi ni mkazi wa chanika zogoali sio mbali kutikea chamika standi au ume ulipo ishia natakilibani miaka miwili nilipo mpaka sasa umeme hauja fika na majina yaliandikishwa kwa wale tunao hitaji umeme mpaka sasa hakuna maendeleo yoyote . sijui mtatusaidia vipi.
 
MAHANJU
Unapoandika jitahidi kufanya uchambuzi wa mambo unayoandika. Kuhusu suala la umeme, huoni jitihada zinazofanywa. Ule mradi wa stiglers george unazani utaingiza megawati ngapi katika gridi ya taifa? Tatizo vijana wa chadema kutamani jambo fulani litokee kama ndoto bila kuwekeza jitihada kufikia hiyo ndoto.
Punguza mapenzi, toka lini serikali inasema mradi flani ukuliaaza kufanya kazi mgao itakuwa historia?
 
Je wale walioambiwa waandike barua pale umeme ukikatika wamechukuliwa hatua gani? but why wanasiasa wanapenda kutoa kauli ambazo hawatekelezi?
Tatizo la kitaalamu suluhu yake inapaswa kuwa ya kitaalam, na tatizo la kisiasa suluhu yake ipatikane kisiasa. Ukijichanganya hapo issue ya kitaalamu ukaisolve kisiasa ni shida.
 
Mimi kuna mambo mengi naweza kuvumilia lakini ili la umeme limenishinda. Mtu akisema twende barabarani NAKWENDA.
 
CCM taifa hili limewashida hakuna jipya zaidi ya kuudanganya umma kua mnapendwa, nakumbuka wakati mnaingia madarakani 2015 mlisena kua matatizo sugu kama ya Umeme yatakua historia kwa uwepo wa basi kutoka Mtwara. Sasahihi ni mgao wa Umeme kimya kimya nchi nzima bila hata taarifa tofauti na zamani. Mnaogopa nini kuutangazia umma kua kuna mgao wa Umeme? Mnajua mnawaathiri vipi wananchi na biashara zao? Si bora mtu awe na raarifa ili aweke Sola au jrnereta kabisa kuliko usanii huu?

Mliingia kwa mbwembwe mkatimua Mkurugenzi mkuu wa TANESCO kwa madai kua anahujumu shirika, leo hii yapata miaka miwili serikali ya awamu ya 5 iko madarakani lakini matatizo ya Umeme yako pale pale, usanii mtupu. Mnashindwa nini kusema kua hali ni tete mkaeleweka? Kwanini mtaabishe wafanya biashara bila sababu hata hatuelewi nini kinaendelea.

Niulize, hayo mambo makubwa yanayofanywa ni yapi? Kufuta elfu 20 za ada za sekondari? Mambo makubwa ni kunyanyasa watumishi wa umma ambao hawapati stahiki zao kwa hadaa za nyongeza kiduchu cha mishahara?

Naamini, bila CCM kuondoka madarakani wananchi wataendelea kuteseka maisha yao yote huku wachache wakiendelea kuneemeka maisha yao yote.

Stupid people like you are still alive. Nani alikudanganya maendeleo utapata kupitia chama.

Nani alikwambia tz haitakuwa na majanga. Hivi Kwa lugha Kama zako. Wewe huwezi Kama mfanyakazi kuhujumu mitambo. Kama midomo na akili yako imeisha hapo Heri tumia viungo Vingine kuongea
 
MAHANJU
Unapoandika jitahidi kufanya uchambuzi wa mambo unayoandika. Kuhusu suala la umeme, huoni jitihada zinazofanywa. Ule mradi wa stiglers george unazani utaingiza megawati ngapi katika gridi ya taifa? Tatizo vijana wa chadema kutamani jambo fulani litokee kama ndoto bila kuwekeza jitihada kufikia hiyo ndoto.
Mkuu tangu CCM wapewe nchi ni miaka mingapi imepita?
 
Hata LéoArusha baadhi ya maeneo km maji ya chai, Usa river hakuna Umeme
 
MAHANJU
Unapoandika jitahidi kufanya uchambuzi wa mambo unayoandika. Kuhusu suala la umeme, huoni jitihada zinazofanywa. Ule mradi wa stiglers george unazani utaingiza megawati ngapi katika gridi ya taifa? Tatizo vijana wa chadema kutamani jambo fulani litokee kama ndoto bila kuwekeza jitihada kufikia hiyo ndoto.
Kuna taarifa yoyote rasmi kwa umma ili tujue tatizo ni nini?!! Where's transparency hapa?! Usimlaumu mtu kuandika alichoandika Kwani hakuna taarifa yoyote. Very annoying. Kuna nini?!!! Nammiss Prof Muhongo.
 
MAHANJU
Unapoandika jitahidi kufanya uchambuzi wa mambo unayoandika. Kuhusu suala la umeme, huoni jitihada zinazofanywa. Ule mradi wa stiglers george unazani utaingiza megawati ngapi katika gridi ya taifa? Tatizo vijana wa chadema kutamani jambo fulani litokee kama ndoto bila kuwekeza jitihada kufikia hiyo ndoto.
ndiyo sababu ya kukosa umeme? na tra wako palepale kudai kodi bila huruma.
 
Tena Kwa sasa limezid Bora alikuwepo mkurugenzi wa kwanz
Ni vigumu sana kufuta LEGACY ya Prof. Muhongo kwenye utendaji wa Wizara iliyoitwa ya NISHATI NA MADINI. Katika uongozi wake figisu za mgao wa umeme ziliisha na kasi ya kusambaza huo umeme vijijini ilikuwa SUPER.
 
Back
Top Bottom