Umeme kyela mbeya ni tatizo... Hivi sijui tumewakosea nini na mbunge ni WA ccm mwakyepe...unakatika kila siku sa mbili hasubuhi hadi sa tano usiku
 
anayetakiwa kutumbuliwa ni medard kalemani,jamaa alimtoa kwenye madini akamuundia wizara yake kumuepusha na balaa kwa kuwa aliwahi kuwa mwanaasheria wa nishati na madini,na anahusika kwa namna moja au nyingine kwenye mikataba,alikompeleka ndio balaa sasa

pia tanesco hujiendesha kwa ruzuku,maapato ya serikali yameshuka,haiwezi kuiwezesha tanesco,

pia ni mwana mpendwa mbunge wa chato,atamtumbuaje?sana sana watawavamia wakuu wa tanesco na kuwadhalilisha kwa kuwatumbua

wao wamelenga kupiga dili stiglers,wanasahau kwamba nishati ni suala tata
 
Niliomba kutaka kujua Keys shortcut za Mita ya Luku lakini naona TANESCO hamkunijibu mpaka sasa.

Huwa zinasaidia hasa kwa sisi wapangaji tunaochangishana hela na kumpa mtu aweke umeme. Kama haupo ili kuhakiki kama hamna risiti karibu lazima uangalie mita.
So naomba kujua keys/menu ya Mita ya LUKU.

mimi najua moja tu ya kubonyeza 07 halafu Enter button ili kujua Units zilizopo.

Lakini nasikia kuna huduma zaidi ya hizo kwenye mita. Naomba kujuzwa please
 
Kuanzia mwaka huu kukatika umeme tz itakua historia, yaani itakua tunasoma kwenye vtabu tu hautakuepo
 
CCM taifa hili limewashida hakuna jipya zaidi ya kuudanganya umma kua mnapendwa, ...

Naamini, bila CCM kuondoka madarakani wananchi wataendelea kuteseka maisha yao yote huku wachache wakiendelea kuneemeka maisha yao yote.
Una maana watumishi wote nchini ni CCM, au?

Ukifikiri kama Mtanzania utaheshimika.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…