kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,217
Kwa heshima na taadhima namuomba waziri mwenye dhamana ya nishati atutangazie mgao wa umeme na atupe ratiba ya mgao huo ili tuweze kujipanga kwa kujua tunahifadhi vipi vyakula vyetu na pia tuweze kuwapa appointments za uhakika wateja wetu wanaosubiri huduma zinazotegemea umeme. Muda huu umekatika huku kwetu na kwa sababu hakuna ratiba sijui utarudi saa ngapi na hata wateja wangu siwezi kuwapa appointments za uhakika.
Hakutakuwa na tatizo tukitangaziwa mgao wala sioni kama watanzania tunajali sana kutokuwa na umeme kwani tumeshazoea. Hofu yangu tu ni sera yetu ya viwanda ita-suffer sana.
Nategemea muheshimiwa waziri umenipata.
Hakutakuwa na tatizo tukitangaziwa mgao wala sioni kama watanzania tunajali sana kutokuwa na umeme kwani tumeshazoea. Hofu yangu tu ni sera yetu ya viwanda ita-suffer sana.
Nategemea muheshimiwa waziri umenipata.