Bora nyie sisi kyela na tukuyu ni kurudi sa tano usiku.... Hapo kuanzia hasubuhi sa mojaArusha umeme ni kero asubuhi unakatika kurudi saa 12 jioni dah hii inchi badala twende mbele tunarudi nyuma
Hii awamu ni awamu mbaya kuliko awamu zote maana sahivi ni genge la watu wachache ndio wapigaji Deal... Na ndio wanaogopwa nchi nzima... Ni ngumu sana kuwagusa melo kazungumza kitu kimoja cha maana kasema....anayetakiwa kutumbuliwa ni medard kalemani,jamaa alimtoa kwenye madini akamuundia wizara yake kumuepusha na balaa kwa kuwa aliwahi kuwa mwanaasheria wa nishati na madini,na anahusika kwa namna moja au nyingine kwenye mikataba,alikompeleka ndio balaa sasa
pia tanesco hujiendesha kwa ruzuku,maapato ya serikali yameshuka,haiwezi kuiwezesha tanesco,
pia ni mwana mpendwa mbunge wa chato,atamtumbuaje?sana sana watawavamia wakuu wa tanesco na kuwadhalilisha kwa kuwatumbua
wao wamelenga kupiga dili stiglers,wanasahau kwamba nishati ni suala tata
Dah washakata Hawa wanakera kwel kwelBora nyie sisi kyela na tukuyu ni kurudi sa tano usiku.... Hapo kuanzia hasubuhi sa moja
Hata Arusha wamekata mida hii!saa 4 kamili tabata ushakatika. ngoja tuone utarudi saa ngapi? mkurupukaji ni mkurupukaji sana...laiti kama angejua asingetafuta kiki kwa profesa muhongo. yule profesa kweli siyo profesa wa maganda ya korosho.
Watu wanakimbilia kununua mindege, wanakimbilia kujenga ma viwanja vya ndege. Huku umeme hatuna. Alafu kila siku wanaimba nchi ya viwanda!!! Nani mwingine wakulaumiwa?
[QUOTE="Salary Slip, post: 24658611, member: 84376]
Sijui Lissu au CHADEMA ndio wanachochea TANESCO wakate umeme?!