TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Hivi nguzo za umeme ni shida? Nimeomba kubadilishiwa nguzo ya umeme toka May 2017 leo Dec 2017 naambiwa nguzo hakuna. Iliyopo imeoza nimeripoti kwa meneja Tabata mpaka imekuwa kero nifanyeje?

Na iliyopo ikianguka nini kitatokea kwenye kibanda changu?
 
Arusha umeme ni kero asubuhi unakatika kurudi saa 12 jioni dah hii inchi badala twende mbele tunarudi nyuma
Bora nyie sisi kyela na tukuyu ni kurudi sa tano usiku.... Hapo kuanzia hasubuhi sa moja
 
anayetakiwa kutumbuliwa ni medard kalemani,jamaa alimtoa kwenye madini akamuundia wizara yake kumuepusha na balaa kwa kuwa aliwahi kuwa mwanaasheria wa nishati na madini,na anahusika kwa namna moja au nyingine kwenye mikataba,alikompeleka ndio balaa sasa

pia tanesco hujiendesha kwa ruzuku,maapato ya serikali yameshuka,haiwezi kuiwezesha tanesco,

pia ni mwana mpendwa mbunge wa chato,atamtumbuaje?sana sana watawavamia wakuu wa tanesco na kuwadhalilisha kwa kuwatumbua

wao wamelenga kupiga dili stiglers,wanasahau kwamba nishati ni suala tata
Hii awamu ni awamu mbaya kuliko awamu zote maana sahivi ni genge la watu wachache ndio wapigaji Deal... Na ndio wanaogopwa nchi nzima... Ni ngumu sana kuwagusa melo kazungumza kitu kimoja cha maana kasema....
a7b0686cc98711234fd808e93a248d61.jpg
 
Naona tayari mshaukata hivi ndio mpaka saa mbili tena kama jana, hivi kwanini lakini kusingekuwa na mashirika mengine ya kutoa huduma hii kama nchi zingine zilivyo, kila siku kutumbua bandarini huku kwenye umeme hakufikiki?

Ndg John Pombe Magufuli si huwa unasoma magazeti na mitandao ya kijamii yasome na haya basi, au fanya ziara huku Kigamboni tukwambie kwa mdomo, tumechoka na hii hali, kama sera yako ni viwanda kwa huu umeme labda viwanda vya kushona nguo kwa mkono tu ndo vitafanikiwa, halafu kazi ya umeme siyo kwamba taa zitumulikie tu na kwamba tunaogopa kulala giza kutuletea usiku peke yake, bali umeme ni kwa ajili ya kazi na biashara, ikiwezekana kateni usiku na mchana kabisa.
 
Tanesco turudishieni umeme juice zangu zinaanza kuharibika, nitawalisha nn watoto jaman nioneeni huruma. Kivule shule
 
Bagamoyo nako nimeona jana usiku kupitia Clouds tv wananchi wanalalamika biashara zao zinaathirika kutokana na tatizo la umeme.

Sijui Lissu au CHADEMA ndio wanachochea TANESCO wakate umeme?!
 
dah tabu tupu usiku hakulaliki na joto la dar sasaivi balaa umeme unakatwa ovyo ovyo tulitegemea maisha bora ila day to day afadhali ya juzi
 
[QUOTE="Salary Slip, post: 24658611, member: 84376]

Sijui Lissu au CHADEMA ndio wanachochea TANESCO wakate umeme?![/QUOTE]

Kwani Da Mange anasemaje?
 
saa 4 kamili tabata ushakatika. ngoja tuone utarudi saa ngapi? mkurupukaji ni mkurupukaji sana...laiti kama angejua asingetafuta kiki kwa profesa muhongo. yule profesa kweli siyo profesa wa maganda ya korosho.
Hata Arusha wamekata mida hii!
 
Back
Top Bottom