Subiri, “wataludisha” next November!Mbona huku kwetu hawajaludisha.
Suala la wananchi kuipensa ccm ni la kisanyansi ,si lazima mpige kura dola itatumikaMkuu jamaa hawajali mambo ya umeme ili mradi ccm inakubalika. Si umeona wanechukua kata ngapi?
Matapeli tu nyie*SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)*
*TAARIFA YA KUANZA KUREJEA KWA UMEME *
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake kuwa umeme umerejea katika Mikoa yote Saa 07:11 Mchana isipokuwa Mkoa wa Mbeya kutokana na hitilafu iliyopo katika njia ya Mufindi.
Tutaendelea kutoa taarifa zaidi.
Shirika linaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.
Tafadhali usishike wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka
Kwa mawasiliano zaidi
Tovuti: www.tanesco.co.tz
Mitandao ya Kijamii
www.facebook/tanescoyetultd
twitter.com/
Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
01/12/2017
dah tabu tupu usiku hakulaliki na joto la dar sasaivi balaa umeme unakatwa ovyo ovyo tulitegemea maisha bora ila day to day afadhali ya juzi
Mkuu siyo lazima niwe msemaji wa TANESCOKumbe we ndo msemaji wa TANESCO! Pongezi zako mkuu
HahahahEti matamko ndo yatamaliza matatizo tuliyonayo ikiwemo hili la Umeme? Unaota wewe. Mmebaki kuangalia kila kitu kwa jicho la ushabiki. Na bado, for you deserve all the shit.
Watu wengine sijui mnatumia nini kufikiri? Wewe endelea kukumbatia ccm, halafu ukisubiri chadema watoe matamko ili ccm irekebishe swala la umeme. There you go! Way to think! Mtanyoroshwa tu hadi mpate akili
Watu wanataka umeme uwake sasa hiyo "hapa kazi tu" ni ya kuzuia mikutano ya CDM . Masaa 12 umeme hamna then unataka mtu asome hizo megawatt za kwenye makaratasiMAHANJU
Unapoandika jitahidi kufanya uchambuzi wa mambo unayoandika. Kuhusu suala la umeme, huoni jitihada zinazofanywa. Ule mradi wa stiglers george unazani utaingiza megawati ngapi katika gridi ya taifa? Tatizo vijana wa chadema kutamani jambo fulani litokee kama ndoto bila kuwekeza jitihada kufikia hiyo ndoto.
Acheni uchochezi. Hakuna mgao wowote. Mbona umeme uko kila siku?.Wakuu huu mgao wa umeme wa siri siri japo unaonekana kwa macho.. Nasema wa siri kwasababu huana maelezo ili watu tujipange kwa kununua ma generator.. Kwa mfano huku mbeya umeme ni kawaida kukatika sa mbili hasubuhi na kurudi sa tano usiku.. Ikumbukwe umeme kwa hii miaka ni muhimu sana kwa shughuli za viwanda vyetu vidogo vidogo kama saloon, welding n.k
Swali nnalo jiuliza ni nani wa kutumbuliwa kwa huu uzembe wa mgao wa umeme usio na kifani? Maana kama kutumbua kwenye sector ya umeme tumetumbua sanaaa hivi sahivi ni zamu ya nani!?
Na anayejua sababu ya i kukatika na huu mgao wa kutisha ni ipi?
nchi ya viwonder
ng'ombe wa CCM wana tabu sanaMmechoka mgao wa umeme Ila bado mnaipenda CCM hakika hatutoboi
Unaelelewa nini ukiambiwa mgao wa umeme ama unafikiri unagawiwa kama kwenye matenga ya nyanya.... Unabishiwa hodi mlangoni kwako... Jiongeze mkuu..Aco kila siku
Acheni uchochezi. Hakuna mgao wowote. Mbona umeme uko kila siku?.