Mbona huku kwetu hawajaludisha.
Subiri, “wataludisha” next November!

Ama kweli ccm wana dhambi. Sasa wewe hata unavyoandika, haionyeshi kama ni mtu anayeweza kuifahamu haki yake, let it alone kuidai.
 
Inasikitisha na kuustaajabisha kuhusu mgao waumeme. Tangu asubuhi hakuna umeme ili hali viwanda vyetu vidogo vidogo vinahitaji umeme kwa jili ya maisha yetu ya kila siku.

Mtu ana kiwanda cha mbao na asubuhi anawaaga familia kuwa ifikapo jioni atawaletea matumizi ya siku kinyume chake anafika kazini na kukuta umeme hakuna mwisho wa siku anaitesa familia kwa kutowaletea matumizi ya kila siku.

TUMECHOKA TUMECHOKA. tuelezwe sababu ni nini?. Tunamkumbukka sana Prof, Muhongo. Wakati wake hapakuwapo na matatizo kama haya.
 
Mkuu jamaa hawajali mambo ya umeme ili mradi ccm inakubalika. Si umeona wanechukua kata ngapi?
Suala la wananchi kuipensa ccm ni la kisanyansi ,si lazima mpige kura dola itatumika
 
yaani hapa nacomment nikiwa gizani..
wameunyakua vup !
nasubiri kesho niufanyie timing ili ukirudi tu nichaji kiwanda changu cha TECNO..
 
Matapeli tu nyie
 
Mkuu pole umeandika kwa hisia sana. Vumilia hakuna namna. Wanasema serikali sikivu imekusikia.
 
Hivi kumbe mambo ya mgao bado yapo, sisi wa solarpower tunavuna tuu miale ya jua, nshasahau hata luku inanunuliwaje
 
Mmechoka mgao wa umeme Ila bado mnaipenda CCM hakika hatutoboi
 
Mmevunja jengo lao Ubungo
Nao wameamua kuwakomoa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umeme umekatika tena kudadeki mzigo kwenye friji ukiharibika naenda kuchoma moto ofisi za ccm
 
Uchwara yuko busy kuinyoosha nchi. TUTANYOOKA TU! Na hili joto la December kama hali itaendelea kuwa hivi ya umeme wa kusua sua kazi ipo.

dah tabu tupu usiku hakulaliki na joto la dar sasaivi balaa umeme unakatwa ovyo ovyo tulitegemea maisha bora ila day to day afadhali ya juzi
 
Kumbe we ndo msemaji wa TANESCO! Pongezi zako mkuu
Mkuu siyo lazima niwe msemaji wa TANESCO
ni sawa na mawakili wanavyozijua sheria
lakini hawaingii bungeni kutunga sheria.
pia usisahau hili jamvi linaunganisha watu
wa kada zote.Week end njema.
 
Hahahah
Braza acha hasira, nimeongea kawaida lkn umetumia nguvu sana
 
Watu wanataka umeme uwake sasa hiyo "hapa kazi tu" ni ya kuzuia mikutano ya CDM . Masaa 12 umeme hamna then unataka mtu asome hizo megawatt za kwenye makaratasi
 
Reactions: BAK
Aco kila siku
Acheni uchochezi. Hakuna mgao wowote. Mbona umeme uko kila siku?.
 
Mwendokasi project imeishia njiani nw inatoa huduma mbaya wakati miundombinu yake aikuisha
 
Aco kila siku

Acheni uchochezi. Hakuna mgao wowote. Mbona umeme uko kila siku?.
Unaelelewa nini ukiambiwa mgao wa umeme ama unafikiri unagawiwa kama kwenye matenga ya nyanya.... Unabishiwa hodi mlangoni kwako... Jiongeze mkuu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…