*SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)*
*TAARIFA YA KUANZA KUREJEA KWA UMEME *
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake kuwa umeme umerejea katika Mikoa yote Saa 07:11 Mchana isipokuwa Mkoa wa Mbeya kutokana na hitilafu iliyopo katika njia ya Mufindi.
Tutaendelea kutoa taarifa zaidi.
Shirika linaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.
Tafadhali usishike wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka
Kwa mawasiliano zaidi
Tovuti:
www.tanesco.co.tz
Mitandao ya Kijamii
www.facebook/tanescoyetultd
twitter.com/
Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
01/12/2017