[QUOTE="Salary Slip, post: 24658611, member: 84376]
Sijui Lissu au CHADEMA ndio wanachochea TANESCO wakate umeme?!
Wakuu huu mgao wa umeme wa siri siri japo unaonekana kwa macho.. Nasema wa siri kwasababu huana maelezo ili watu tujipange kwa kununua ma generator.. Kwa mfano huku mbeya umeme ni kawaida kukatika sa mbili hasubuhi na kurudi sa tano usiku.. Ikumbukwe umeme kwa hii miaka ni muhimu sana kwa shughuli za viwanda vyetu vidogo vidogo kama saloon, welding n.k
Swali nnalo jiuliza ni nani wa kutumbuliwa kwa huu uzembe wa mgao wa umeme usio na kifani? Maana kama kutumbua kwenye sector ya umeme tumetumbua sanaaa hivi sahivi ni zamu ya nani!?
Na anayejua sababu ya umeme kukatika na huu mgao wa kutisha ni ipi?
nchi ya viwonder
Yaani Musk alipoulizwa kwenye TwitterBattery lile pasua kichwa- megawati 100! Limeunganishwa na wind farm.
Zaidi battery inasemekana inayo capacity(ujazo) wa 129 megawatt hours. Hii ina maana battery inayo uwezo wa kumudu Nyumba 26000 elfu masaa 24 bila kuchajiwa. Matumizi ya kila Nyumba kWh 5 kwa siku.Yaani Musk alipoulizwa kwenye Twitter
Akasema siku 100 au anawapa bure
Jamaa ni kichwa haswa
Tangu lini msuli unatumika kufikiri? Ingekuwa hivyo, wabeba vyuma na mabouncer ndo wangekuwa na akili sana...Labda wewe ulitumia nguvu? Eti umeongea kawaida.😀Hahahah
Braza acha hasira, nimeongea kawaida lkn umetumia nguvu sana
hahahaTangu lini msuli unatumika kufikiri? Ingekuwa hivyo, wabeba vyuma na mabouncer ndo wangekuwa na akili sana...Labda wewe ulitumia nguvu? Eti umeongea kawaida.😀
Una akili ndogo sana wewe. Kauli zako zinaonyesha you’re shallow minded.hahaha
kutumia nguvu si lzm kutumia msuli.
Braza tuliza boli
Binafsi Nawapongeza sana kujitangaza pia kuwasiliana na wadau kwa njia hii, Hongereni Sana.asante tumelipokea na tutalifanyia kazi
Wawe wanaficha upumbavu wao wakati mwingine. Unazi gani usio na maslahi ya taifa. Watu wengine mkuu ni wa kupuuzwa.unazi utakuja kutuua,umeme bwerere Tanzania ipi?
Nadhani yule waziri ambaye kazi yk ni kutumbua Wataalamu (Behind Cameras) kutumbua watendaji km kuna tatizo siyo kutatua TatizoWakuu huu mgao wa umeme wa siri siri japo unaonekana kwa macho.. Nasema wa siri kwasababu huana maelezo ili watu tujipange kwa kununua ma generator.. Kwa mfano huku mbeya umeme ni kawaida kukatika sa mbili hasubuhi na kurudi sa tano usiku.. Ikumbukwe umeme kwa hii miaka ni muhimu sana kwa shughuli za viwanda vyetu vidogo vidogo kama saloon, welding n.k
Swali nnalo jiuliza ni nani wa kutumbuliwa kwa huu uzembe wa mgao wa umeme usio na kifani? Maana kama kutumbua kwenye sector ya umeme tumetumbua sanaaa hivi sahivi ni zamu ya nani!?
Na anayejua sababu ya umeme kukatika na huu mgao wa kutisha ni ipi?
nchi ya viwonder
Absolutely she/he is small minded tooUna akili ndogo sana wewe. Kauli zako zinaonyesha you’re shallow minded.
Wewe ulikuwa unazungumzia nguvu zisizotumia msuli ambazo zinatumika kwenye kufikiri?
Uwe unatambuliwa na Ewura AU Kudhibitishwa ndio ulete maombi na viambanisho vyao TanescoBinafsi Nawapongeza sana kujitangaza pia kuwasiliana na wadau kwa njia hii, Hongereni Sana.
Swali langu ni hili, Utaratibu wa kusajiliwa na kutambuliwa na TANESCO kama Fundi umeme wa majumbani ni upi? (Kufanya wiring)
Nina Diploma ya Power solar & Elecrical installation.
Asante.