Anaweza kutupatia namba ya simu na namba ya mitaKuna watu kila wakinunua umeme wanakatwa 50% kama deni walilokuwa wakidaiwa. Mteja atajuaje kuwa anadaiwa kiasi gani na balance yake ni kiasi gani kwa njia hiyo hiyo anayotumia kununulia umeme??
Sawa....toeni taarifa sasa, sio mnajiamulia tu zima washa. Watu wamejiajiri wanatumia vifaa vya moto mnawaharibia sana...bora kutoa taarifa mapema watu wajue ili wazime vifaa vyao. Fanyeni kama professional yenu basiTumepokea taarifa mpendwa mteja
Tunakujulisha kuwa hakuna utaratibu wa kufanya ulivyodai bali transfoma huzimwa pale ambapo kuna kazi maalumu
Tunaomba namba yakomya simu mpendwa mteja tutawasiliana na wewe mara baada ya kupata taarifa kamili za eneo lakoNapenda kuwapongeza Tanesco kwa kuwa karibu na wateja wenu,Mie ni mkazi wa Twangoma kijiji cha malela.Tulikuwa na shida sana ya kupata umeme na bahati nzuri mwaka jana kupitia mradi wa REA mlituwekea nguzo za umeme na hatimaye umeme unawaka.Ombi lenu kwenu ni kuwa ule mradi ulitekelezwa nusu kwa maana baadhi ya nyumba ambazo zipo chini karibu na nyumba za NSSF hatukupata huduma hiyo,Ni takribani nguzo kumi na tano mpaka kutufikia,tulijiorganise watu kadhaa tuweze kuvuta umeme lakini tulishindwa kwani tathimini iliyofanywa na mkandarasi gharama nzima ilifika mil 24.hiyo ni pesa nyingi sana kwa watu ambao wapo tayari kuchangia.Tupo tayari kuchangia maendeleo ila tunaomba backup yenu hata nusu ya nguzo nyingine sisi wakazi wa malela tugharamie.Haipendezi kuona upande wa pili kuna umeme na takribani hata nusu km toka umeme ulipo sie hatuna.Tunawakiisha ombi kwenu Tanesco kupitia REA mtusaidie baadhi ya gharama nasi tupo tayari kufanya costsharing.Wenu Mteja.
3549959Tunaomba namba yakomya simu mpendwa mteja tutawasiliana na wewe mara baada ya kupata taarifa kamili za eneo lako
Fika ofisi za eneo lako ujaze fomu mpendwa mtejaØ Namba yangu ya metre ni 37142130279
Ø Matumizi yangu kwa mwezi hayazidi unit 75
Ø Nanunua umeme tsh 292ts kwh
Ø Tofauti na maelezo yenu kuwa mtu anayetumia chini ya unit 75 atanunu umeme kwa bei tofauti na hiyo
Ø NAOMBA MSAADA , AIDHA NAMBA YANGU YA SIMU 0738262024.