change msamukuree
Member
- Dec 25, 2017
- 52
- 30
Kwamaana hyo umeme ninaopata units 14 kwa 5000 ni sahihi??Ndugu mpendwa mteja
Hatufungi umeme wa viwanda majumbani, kiasimunacholipia ni cha matumizi ya nyumbani kwa mteja anayetumia zaidi yanunit 75 kwa mwezi
Namba yako ya simu, jina tafadhali na eneo lakoJamani Tanesco wenye kuhudumia mbezi louis mbona mnanifanya nilale giza? Nimekuja hapo ofisini kwenu mbezi mwisho tokea mwezi wa kumi na mbili na mkanipanga 8 January kuwa surveyor atakuja kwangu kwa ajili ya kutathmini gharama za kuingiza umeme hivyo nikae nisubiri kupigiwa simu. Mpaka tarehe inafika sikumuona huyo surveyor wala kupigiwa simu. tarehe 9th january nikawafungia safari mpaka ofisini kwenu, mkaniambia kuna foleni nisubiri. nikarudi kusubiri baada ya kimya kirefu nikarudi tena. Yaani kwa ajili ya surveyor tu nimeshakuja hapo ofisini kwenu mara tatu? kupata huduma ya kufanyiwa survey its take more than a month now then tunaongea Tanzania ya Viwanda. Period!!
wahusika tunaomba tusaidiwe maana nimechoka kulala kiza mimi na familia yako, huu ni kutokuwajibika vema kwa baadhi ya watu.
0717810141, Masoud Mohammed, Mbezi MsakuziNamba yako ya simu, jina tafadhali na eneo lako
NASHUKURU SANA. LEO NIMEPIGIWA SIMU NA SURVEYOR KASHAFANYA KAZI YAKE. NAWASHUKURU MMNO.Habari za leo. Nimetuma maombi kupatiwa umeme kwa ajili ya fremu ya biashara ofisI zenu pale KISARAWE. Mimi nipo KIGOGO SOKONI karibu na kituo cha treni cha MWAKANGA tangia mwaka jana mwezi wa kumi sijapata surveyor. nimewasilisha mchoro na kulipia gharama ya faili. sihitaji nguzo kwenye eneo langu. waya upo karibu. nimefika mara nyingi bila msaada naomba nisaidiwie. namba ya dharura nimepiga bila mafanikio.
jina la file; Matilda Njau
simu 0713683422
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.
Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;
1.ENEO HUSIKA
(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)
2.NAMBA YA SIMU
(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)
3.KARIBU NA NINI
(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)
4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO
(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)
5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI
(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)
6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME
(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)
7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI
(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)
TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.
ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO
Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;
LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO
Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani
Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO
Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu
HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA
Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219
Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330
Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461
Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098
Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361
Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386
Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110
Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779
Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8
Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590
Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090
Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330
Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061
Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672
Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180
Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728
Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2
Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133
Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868
Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120
Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668
Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200
IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makauu.
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKOkwa upande wa dharura nawapa pongezi mmeboresha sana, ila huduma zenu bado za kupigana tarehe sana,mita yangu ime expire tangu wiki sasa,umeme unaingia lkn hautoi kuingiza ndani,naenda pale mbezi tanesco waje wabadilishe wanasema ngoja tukuandalie mpaka wiki ijayo ,kweli kitu cha kuchukua tu ofisini unasema ngoja tukuandalie mpaka wiki ijayo? ingekuwa private sidhani kama wangetumia lugha hii,halafu mzee mwenyewe anavyojibu eti nimesema mm kama hutaki nenda popote!!!!!!!!!!
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO
1.JINA................................
2.SIMU...............................
3.MKOA.............................DAR ES SALAM
4.WILAYA..........................UBUNGO
5.MTAA/KIJIJI/KATA.........KIMARA GARAGE , MTAA MAGOROFANI
6.JINSI YA KUFIKA................
7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................
8.NAMBA YA MITA................01
9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................
10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................
*Zingatia*
-kama ni manunuzi ya umeme onyesha mtandao na ujumbe unauopata ukinunuaumeme
-Kama ni kushindwa kuingiza umeme onyesha unachokiona kwenye mita yako unapoweka umeme
-Kama umeshatoa taarifa ofisi yeyote onyesha namba ya taarifa uliyopewa
"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO
1.JINA................................
2.SIMU...............................
3.MKOA.............................
4.WILAYA..........................
5.MTAA/KIJIJI/KATA.........
6.JINSI YA KUFIKA................
7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU.............................
8.NAMBA YA MITA................
9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI....................
10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................
*Zingatia*
-kama ni manunuzi ya umeme onyesha mtandao na ujumbe unauopata ukinunuaumeme
-Kama ni kushindwa kuingiza umeme onyesha unachokiona kwenye mita yako unapoweka umeme
-Kama umeshatoa taarifa ofisi yeyote onyesha namba ya taarifa uliyopewa
"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
MFUMO WA KUTUPATIA TAARIFA/LALAMIKO
1.JINA................................deodis
2.SIMU...............................0715310044
3.MKOA............................. DSM
4.WILAYA..........................UBUNGO
5.MTAA/KIJIJI/KATA.........KIMARA GARAGE KATIKA MAVINDA MTAA MAGOROFANI
6.JINSI YA KUFIKA................FIKA KIMARA GARAGE KATKA MAVITANDA NYUMBA ZA MAGOROFANI
7.KITU/ALAMA/MTU MAARUFU............................NYUMBA ZA MAGOROFANI,
8.NAMBA YA MITA................01342216189
9.TATIZO LAKO/UNACHOHITAJI.........Kubadilishiwa mita iliyopo imeisha muda wake
10.NAMBA YA TAARIFA ULIYOPEWA.................3711
*Zingatia*
-kama ni manunuzi ya umeme onyesha mtandao na ujumbe unauopata ukinunuaumeme
-Kama ni kushindwa kuingiza umeme onyesha unachokiona kwenye mita yako unapoweka umeme
-Kama umeshatoa taarifa ofisi yeyote onyesha namba ya taarifa uliyopewa
"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
Temeke ni kila sikuDah kumbe mpaka huko Tanzania iliko nanyi ni kama sisi huku wa mchoteka,likweso,nalasi,mbesa na mkandu,,kodi zetu zinabomolea jengo lile