Kuna nguzo ziliangushwa na upepo mkuu wataalamuw wetu wanafanyia kazisisi hapa kwa Msuguri tangu Juzi hatuna umeme... umerudi usiku wa manane umekatika tena baada ya saa kumi alfajiri...
halafu hapa kwa Msuguri kuna tatizo gani sugu lisiloisha????..
maana huwa mnakata tuu mara nyingi yaani mnatupa hasira sana aise..
just imagine bidhaa za kwenye friji madukani zimeanza kuharibika.
Jirekebisheni....
Regards
Hii ni kweli tupu. Hadi sasa saa11 alfajiri,Umeme haujarudi.SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA KUKATIKA KWA UMEME KATIKA MIKOA ILIYOUNGWA KATIKA GRID YA TAIFA
Tunawataarifu Wateja wetu na Wananchi kwa ujumla kuwa, majira ya saa 8:49 Usiku kumetokea hitilafu katika mfumo wa Grid ya Taifa. Hitilafu iliyopelekea kukosekana kwa huduma ya umeme katika Maeneo na Mikoa yote iliyoungwa kwenye Grid ya Taifa.
Baada ya Hitilafu hiyo Kutokea, Mafundi na Wataalamu wa Shirika Wamechukua hatua za haraka na bado wako kazini Kuhakikisha kuwa Huduma ya Umeme inarejea mapema kadri iwezekanavyo.
Tutaendelea kutoa taarifa zaidi.
Uongozi wa Shirika unaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza.
Tafadhali usishike wa kukanyaga waya ulioanguka au uliokatika toa taarifa kupitia simu zifuatazo:
Kwa mawasiliano
Kituo cha miito ya simu Makao Makuu +255 222 194 400 na +255 768 985 100
Tovuti: www.tanesco.co.tz, mitandao ya kijamii:
Twitter, www.twitter.com/tanescoyetu,
Facebook https://www.facebook.com/tanescoyetu
IMETOLEWA NA:
OFISI YA UHUSIANO
TANESCO MAKAO MAKUU
MACHI 10, 2018
Tunaomba namba yako ya simuNi utaratibu mzuri kutoa taarifa tatizo linapotokea ili wateja wajue namna ya kukabiliana na changamoto hiyo.Hii ni Mara ya tatu napost juu ya tatizo lililopo Kijiji cha Mkata wilaya ya Mvomero mkoa wa morogoro tranfoma haifanyikazi wiki sasa na hakuna hatua wala taarifa zozote kwa watumiaji umeme unaopozwa na transfoma hii.Hii ni haki kweli?
token tafadhalisimu:0687237985
mita:221244674444
jina:vicent michael
kiasi:2000
tar & muda:09/03/18
tatizo: sijapokea token
sasa mtu analalama umeme wewe unaongelea maandamano m . mku . ndu. wakoWazee wa maandamano hamkosi sababu daah. Nasubiri mkipelekwa kisutu mkiwa mnachechemea huku waandishi wanawananga na mikamera yao.
Wazee wa maandamano hamkosi sababu daah. Nasubiri mkipelekwa kisutu mkiwa mnachechemea huku waandishi wanawananga na mikamera yao.