Mkandarasi anayekufanyia wiring ndio anaweza kukuambia aina gani za wire sisi tunakushauri tumia mkandarasi aliyesajiliwanyaya nzuri za kufanyia wiring ni aina gani? maana mnaweza mkanielekeza aina ili nikiingia dukani kununua rolu nami niwe na ufahamuu
Umelipa kwa jina gani, kiasi, lini na namba yako ya simu mpendwa mtejaNi miezi mi nne sasa toka nilipie service line hapa nyakato mwanza, ila kila nikiuliza naambiwa nguzo hakuna wakati nilishasikia mtu akilipia nguzo anatakiwa awe amefungiwa umeme ndani ya wiki moja? embu mniweke sawa kuhusu hilo wanaojua[emoji41] kama haiwezekani mnirudishie hela yangu nikanunue solar
Forced labour, land alienation, low capital, poor government policy, etc. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]hizi point ni hatari sana kwa maswali ya Taifa.Kwanini umeme kukatika sehem nyingi hasa hapa dar imekua sugu?