Mimi ni mteja wenu wa Arusha tarehe mwenye Luku 37142673112 wiki iliyopita nimenunua umeme wa elfu ishirini na kukatwa elfu kumi eti nina deni. Nilipouliza nikajibiwa kuwa ninakatwa deni nililokuwa nadaiwa kabla ya kufungiwa luku. Sikubaliani na deni hilo kwani kabla ya kuwekewa luku TANESCO walihakiki akaunti yangu na sikuwa na deni lolote ndipo nikafungiwa luku. Nashangaa deni limetoka wapi? Nahitaji maelezo kuhusiana na deni hilo la kiasi cha T.sh. 155,000 kwani luku niliwekea tangu mwaka 2013 leo ndo wanakuja kukata fedha zangu eti ninadaiwa hii siyo haki tafadhali shughulikieni suala hili.
 
Jina.sylivanus msanje
Simu.0717599264
Mkoa.dar es salaam
Wilaya.ubungo
Mtaa.Malamba mawili mpakani
Kitu,Bar kwa tesha
Mita no.54172211200
Toka Jana mita imekata umeme umeme auingii ndani lkn pale kwenye mita upo sina namba za imejens mtanisaidiaje.
NAMBA ZA MADAWATI YA DHARURA -TANESCO DAR ES SALAAM

ILALA-CITY CENTRE

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

WILAYA YA TABATA

0684 001068/ 0715 768589

WILAYA YA GONGO LA MBOTO

0688001071/ 0715768584

WILAYA YA VIWANDA/TAZARA

0684001066/ 0715768587

WILAYA YA YOMBO

0783360411/0765654767

MKOA WA KINONDONI KUSINI/MAGOMENI

0784271461/ 0715271461

WILAYA YA KIMARA

0788379696/ 0717379696

MKOA WA KINONDONI KASIKAZINI/MIKOCHENI

0784 768584/ 0716 768584

WILAYA YA MBEZI BEACH

0658 768583/ 0713 768581

WILAYA YA TEGETA

0658 768584/ 0717 650 878

MKOA WA TEMEKE/KURASINI

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

WILAYA YA KIGAMBONI

0788499014/ 0736501661

WILAYA YA MBAGALA

0714 073 588

KITUO CHA MIITO YA SIMU/CALL CENTRE

0768 985 100/0222194400

MITANDAO YA KIJAMII

Facebook: Like
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter:Follow
www.twitter.com/tanescoyetu

Webiste
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz


"TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO"
 
Tafadhali fika ofisini tukusikilize na kukuelewesha vizuri
 
Nitakuja lakini jibu la awali nimeelezwa kwamba eti wakati mnaweka luku nyie TANESCO hamkufuta meter reading za mwisho hivyo kusababisha hesabu hizo kubaki na kuendelea kukuongezeka. Je kosa hilo ni langu au lenu nyie? jamani ehee muwe serious baada ya miaka mitano ndo mnasema kuna madai shirika lenu halifungi mahesabu kila mwaka? hapana nitalifuatilia mpaka mwisho na bahati nzuri nimetunza risiti zangu zote.
 
Jamani kimara mavurunza toka jana mnakata umeme asubuh na kurudisha jion ila leo mpaka sasa hamjarudisha na hakuna taarifa zozote kutoka kwenu. Je tatizo ni nini?
 
Jamani kimara mavurunza toka jana mnakata umeme asubuh na kurudisha jion ila leo mpaka sasa hamjarudisha na hakuna taarifa zozote kutoka kwenu. Je tatizo ni nini?
Duuuuuuuuuh polen sanaaaaa
 
Habari za alfajiri, nimekua na subira kuandika hapa baada ya kuona ufanisi wa kazi za dharura sio mzuri na hakuna plan B. Ipo hivi usiku wa kuamkia jana kuna nguzo za high tension zilizokua na Transformer zimeanguka, hili nadhani kwa asilimia kubwa ni ubovu wa nguzo zenyewe kuwa zilikua tayari zimepekechwa vya kutosha na mchwa maana ni za siku nyingi kwa hiyo na kwa mvua zinazoendelea kikomo chake ikawa ndio hivyo kuanguka chini pamoja na transformer lake. Sasa hoja yangu ni hii umeme unakotokea kwenye substation sisi tungekua na uwezo wa kubakia na umeme maana Transformer yetu siyo iliyoanguka. Endapo Tanesco walipaswa kusimamisha nguzo nyingine kwa jana ili warejeshe waya kwenye position yake wakati wanajipanga kutafuta muda wa kurejesha huduma kwa wale ambao transformer yao imeanguka na kumwaga mafuta. Plan B ninayoongelea ni afadhali kuweka jumper kwenye nguzo za high tension kila baada ya umbali fulani ili kurahisisha kutenganisha eneo lenye tatizo na wateja wengine kuendelea na huduma maana tumeamka na giza jana na hadi sasa tumo ndani ya kiza totoro na leo hii ni Jumapili watakuja na sababu kuwa teamwork inahitajika kubwa kwa hiyo sioni ajabu kubakia kizani hadi kesho huku vitu vinavyohitaji umeme vikiendelea kuharibika. TANESCO HIMO KILIMANJARO ndio wahudumu wangu, je kama ni nguzo mbili zimewatesa siku nzima itakuaje ikitokea tatizo la line ya nguzo 5?
 
Mi sylivanus msanje
0717599264
Dar es salaam
Wilaya ya kibamba
Malamba mawili
Toka alhams nilipoti tatizo mita kutozalisha umeme kuingia ndani ya nyumba lkn mpaka sasa sijaona watu wa tanesco kila nikipiga simu wanasema wanakuaja wanakuja sioni fundi yoyote kufika nilipewa namba ya taarifa 3561 sijui wanasubiri nyumba iwake moto ndo watakuja nashindwa kuelewa naomba maada kutoka tanesco makao makuu.
 
Tunaomba namba yako ya simu, eneo, namba ya taarifa tukupatie ufafanuzi na kutatua tatizo lako mpendwa mteja
 
Tumepokea taarifa kwa hatua zaidi mpendwa mteja
 
Hii ni wiki ya pili hapa kwetu hatuna umeme, sisi wakazi wa Nyamakendo kata ya Machochwe, wilayani Serengeti .
Kusema kweli ni ajabu sana, kwa sababu wakinamama badala ya kushughulika na kilimo wakati huu wa masika; eti sasa wanashinda wakihangaika kutafuta Mashine za kusaga nafaka ili familia ziishi.

Ni kweli huko nyuma tulikuwa na mashine zilizotumia mafuta, lakini baada ya serikali kutuletea umeme, ziling"olewa na kuhamishiwa kwingine. Sasa tunajiuliza naswali magumu bila kupata hata majibu mepesi.
Sijui tuwaombe wenye nazo wazirudishe kama watatuhurumia, au turudi kusaga kwa kutumia mawe na vinu ilihali hatunavyo kwa sasa?

Tusaidieni jamani ili tusijekuwa ombaomba.
Au hamulioni hili kama ni jambo mtambuka?
 
Tunaomba namba yako ya simu mpendwa mteja wetu
 
Ni hatua nzuri ya kuwa mnawasilana na wateja wenu,nina maoni na mawazo kuhusiana na Shirika hili,je nini Dira ya Tanesco katika miaka 10 ijao,nini malengo yenu?;pia lini mtaanzisha vyanzo vingine vya umeme ili kukabiliana na tatizo la upungufu wa umeme?je mnafikiria kuwaruhusu watu binafsi wawe wanazalisha umeme na kuuingiza kwenye gridi ya Taifa halafu mnawalipa gharama zao,maana hili litasaidia kupunguza tatizo la ukosefu wa umeme;je mna mpango wowote wa kuelimisha wateja wenu watambue matumizi bora ya umeme ?mfano Zima taa katika chumba kama haumo chumbani,Zima na toa soket kwenye umeme kama hutumii vifaa vya umeme,wengi wetu tunazima let say TV kwa remote ila power inaendelea ku flow ;je mna mpango gani wa kumotisha watumiaji wazuri wa nishati hii na kuadhibu wale wanaotumia vibaya?mfano kama unahitaji kikombe kimoja cha chai why uchemshe birika lote lililojaa maji?huu ni utumiaji mbaya wa umeme;shirika lako lijiendeshe kibiashara sio kisiasa kinyume chake mtashindwa jukumu lenu la kuzalisha hii nishati.
 
Thread namba ngapi mpendwa mteja
Mkuu nasikitika huko serious.
Narudia tena...
JINA ....Magdalena Kaniki
SIMU......0755 759999
MKOA......Pwani
WILAYA....Kibaha
ENEO.......Kongowe
ALAMA....Mashine ya maji mbuyuni
Barabara ya Soga (SRG)
TUNATAKA KUUNGANISHIWA UMEME TULISHALIPA KITAMBO
WAKO KTK UJENZI WA TAIFA
THREAD NO. 4190
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…