TANESCO
Official Account
- Jul 12, 2014
- 4,600
- 2,134
- Thread starter
- #4,221
Ndugu mpendwa mtejaHizi namba ulizoweka hapa ni almost rubbish, weka zako tukupigie ili wewe ndiyo uwapigie, tukiwapigia sisi wanatudharau sana na wala hawafanyi chochote
Hiyo picha ni ya watendaji wako wa Morogoro ambao wametushinda labda wewe uwaambie waje watengeneze, tutakutumia nyingine nyingi tu
View attachment 754699
Tunaomba taarifa za eneo, namba ya simu, tatizo na wilaya tuifanyia kazi hapa pia ni sehemu rasmi kukuhudumia