challebahu maige nim
JF-Expert Member
- Oct 2, 2012
- 315
- 77
Ujumbe namba ngapi mpendwa mteja
Yaaani waziri anasema hv na huyu Tanesco anasema hv hawa wakutandika bakora ofisini kwao hapo ,,haiwezekani mtu katoa pesa ya nguzo afu anapewa siku 60 ina maana siku 60 hazitoshi kwa nguzo kupatikana???Unapoteza mdawako kuwaeleza hawa viziwi wataaram wakuomba namba za simu.hawana msaada hata kidogo kama vp vumilia,ikishindikana potezea.
Wacha "muisome namba". Kifupi baada ya mfumo wa malipo ya luku kubadilika fedha zote zipo mikononi mwa Magufuri. Tanesco kwa sasa haina uwezo wa kununua kifaa chochote mpaka ipige goti na kuonyesha bakuri kwa magufuri iwe kununua vifaa vya mahitaji ya kawaida wala dharura. Na kwa miundombinu ya Tanesco ilivyo mibovu tusubiri kulia chozi la damu ila kumbuka kutolaumu Uongozi wake mlaumu huyo wa kunyumba aliye magogoniNdugu,nimda toka tutoe Malalamiko yetu kupitia jukwaa hili, kuhusu huduma hafifu na ukosefu wa Mita za Njia Tatu, Maarufu Meter za Three phase Mkoa wa Geita na Wilaya zake, tunaomba VIONGOZI na Wahusika Mtusaidie jamani mwezi watatu huu Watu tumelipia Umeme, hutujaunganishiwa isitoshe hatuhitaji nguzo, kila tukiuliza tunaambiwa Mita zimeagizwa ulaya zikifika tutafungiwa, Sasa sisi tumekopa fedha za Watu, tunataka Umeme tuendelee na biashara ili turejeshe mikopo ya Watu, tutafilisiwa. VIONGOZI wetu saidieni. Bukombe [emoji23]
Wakikurudishia natembea uchiNdugu zangu niasaidieni maji yako shingoni nimenunua umeme kimakosa badala ya 50000tzs nikanunu 500000tzs Nasaidiwaje kwa hilo??
Usiseme hivyo ndugu bila kufafanua kwanini utembee uchi?? Kauli yako kali na inanichoma mkuu.Wakikurudishia natembea uchi
Ndugu zangu niasaidieni maji yako shingoni nimenunua umeme kimakosa badala ya 50000tzs nikanunu 500000tzs Nasaidiwaje kwa hilo??
Hii post mbona hamtaki kuijibu na unakwenda mwezi wa pili sasa. Ni bora mngebadili heading ya huu uzi wenu, kuliko kutuhadaa watanzania kwamba tutoe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri. Ila sitachoka, naenda ngazi kwa ngazi, na hii ni moja ra reference zilizopo. Asanteni sana.Nimepitia uzi wenu wa 'zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na Tanesco'. Kwenye huo uzi mmesisitiza baada ya surveyor kupita, malipo ili kuvutiwa umeme yatafanyika bank tu. Pale Himo ofisi ya Tanesco, ukifika hawakupi hiyo reference number ya kwenda kulipia bank. Wanakwambia hivi sasa network imekata, so inabidi ulipie palepale Tanesco. Then wanakuandikia risiti wao, wanaigonga muhuri. Hili swala limekaaje kwa ofisi zenu za mikoani. Sababu kwa jinsi mlivyotoa msisitizo wa kulipia bank, hapa naona kuna kitu si cha kawaida. Kunawatu huko mikoani wanajipigia tu hela ya serikali na wananchi. Pale himo fomu ya maombi unauziwa, pia unatakiwa utoe na hela ya surveyor. Funny enough surveyor akija anakuomba pesa ya nauli. Anakuja na pikipiki ya kukodi. Ila ukiangalia vizuri hakuna dalili za kukodi, ni mradi wake au wanagawana pesa na yule kijana anayeendesha ile pikipiki. Vitu vitu vyote hivyo ni kinyume na maelezo yenu.