TANESCO
Official Account
- Jul 12, 2014
- 4,600
- 2,134
- Thread starter
- #4,461
*TUPATIE TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA*
NAMNA YA KUTOA TAARIFA SAHIHI KUPITIA SIMU NA MITANDAO YA KIJAMII ILI KURAHISISHA UFUMBUZI WA TATIZO HUSIKA.
1.ENEO HUSIKA
(Wateja wanaweza kuishi eneo moja lakini wakahudumiwa na njia (line) ya kusambaza umeme au Transfoma tofauti.)
2.NAMBA YA SIMU
(Wakati mwingine Wateja wa mtaa/eneo moja wanaweza kuwa na umeme na baadhi wakakosa umeme, hivyo ni rahisi kuwasiliana na Mteja husika kwa simu.)
3.KARIBU NA NINI
(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)
4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO
(Tupatie ufafanuzi wa jinsi ya kukufikia, ili mafundi wetu watatue hitilafu kwa haraka.)
5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI
(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)
6.KAMA NI TATIZO LA MITA, UJUMBE GANI UNATOKEA MARA UWEKAPO UMEME?
(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)
7.IWAPO UNASHINDWA KUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA IPI?
(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme.
TUNAENDELEA KUWAOMBA WATEJA WETU USHIRIKIANO WENU KATIKA UTOAJI TAARIFA SAHIHI ILI TUWEZE KUKUPATIA HUDUMA BORA ZAIDI.
ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO
*TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO*
*Tovuti* www.tanesco.co.tz,
Mitandao ya kijamii
*Twitter* www.twitter.com/tanescoyetu,
*Facebook* https://www.facebook.com/tanescoyetultd.
IMETOLEWA NA:
*OFISI YA UHUSIANO*
*TANESCO MAKAO MAKUU*
10/06/2018.
Sent using Jamii Forums mobile app
NAMNA YA KUTOA TAARIFA SAHIHI KUPITIA SIMU NA MITANDAO YA KIJAMII ILI KURAHISISHA UFUMBUZI WA TATIZO HUSIKA.
1.ENEO HUSIKA
(Wateja wanaweza kuishi eneo moja lakini wakahudumiwa na njia (line) ya kusambaza umeme au Transfoma tofauti.)
2.NAMBA YA SIMU
(Wakati mwingine Wateja wa mtaa/eneo moja wanaweza kuwa na umeme na baadhi wakakosa umeme, hivyo ni rahisi kuwasiliana na Mteja husika kwa simu.)
3.KARIBU NA NINI
(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)
4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO
(Tupatie ufafanuzi wa jinsi ya kukufikia, ili mafundi wetu watatue hitilafu kwa haraka.)
5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI
(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)
6.KAMA NI TATIZO LA MITA, UJUMBE GANI UNATOKEA MARA UWEKAPO UMEME?
(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)
7.IWAPO UNASHINDWA KUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA IPI?
(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme.
TUNAENDELEA KUWAOMBA WATEJA WETU USHIRIKIANO WENU KATIKA UTOAJI TAARIFA SAHIHI ILI TUWEZE KUKUPATIA HUDUMA BORA ZAIDI.
ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO
*TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO*
*Tovuti* www.tanesco.co.tz,
Mitandao ya kijamii
*Twitter* www.twitter.com/tanescoyetu,
*Facebook* https://www.facebook.com/tanescoyetultd.
IMETOLEWA NA:
*OFISI YA UHUSIANO*
*TANESCO MAKAO MAKUU*
10/06/2018.
Sent using Jamii Forums mobile app