Habari,
Tumeipokea na tunaifanyia kazi
 
Tunaweza kupata namba yako ya simu
 
Tunaweza kujuantatizo lipo wapi pamoja na namba yako ya simu
 
Eneo husika:Mbeya mjini, Block T, Transformer ya maeneo ya chuo cha teku mtaa wa memba

Kuna transformer yenu hapa inaweza kuanguka na kuleta tafrani kubwa, Mistimu ibayoishikilia imelegea sana na haijanyoka ipo mithiri ya kudondoka.
 
Tanesco natangulisha pongezi kwenu kwa kutufikia, Mimi nipo Iringa DC, naomba makadilio ya kuwekewa umeme.

Umbali wa nguzo ya mwisho mpaka kwangu ni metre 250. Je makisio itakuwa nguzo ngapi na ni bei gan.
 
Tanesco natangulisha pongezi kwenu kwa kutufikia, Mimi nipo Iringa DC, naomba makadilio ya kuwekewa umeme. Umbali wa nguzo ya mwisho mpaka kwangu ni metre 250. Je makisio itakuwa nguzo ngapi na ni bei gan.

wakikujibu unitag mkuu,I have the same problem!
 
Je hizi mita zinazoibiwa kwa nini zisifungwe,na kutotumika tena mara tu itolewapo taarifa ili zisitumike tena?
 
nauliza ukweli wa vifaa vya kupima umeme unaotumika ndani ya vyumba vya kupanga....vinaukweli wowote?

Je ni kweli vinapima umeme wa chumba husika tu?

ufafanuz..kuna kidude cha kipimia ni kias gan cha umeme mpangaji mmoja anatumia...ili aweze kulipia umeme anaotumia ambapo kidude hicho kitakuwa kinarecodi.

Binasf sivielewi na siviamini. kama ni halali nikaweke...kama sio niwape ramani mje mtoe naona jirani sijui ananini ndani na ameweka eti wiki ya nne sasa kinasoma 1.3 units kwa mwezi alizitumia...apartment ya vyumba 4 haiwezekani. Ina maana yeye alipe... bei ya unit x 1.3?
 
Vifaa vipo sawa ila hatuwezi kusemea chako maana hakijapitia kwenye wataalamu wetu kama ambavyo mita huwa tunazipima kwenye maabara yetu kabla ya kufikisha kwa wateja. Aidha unaweza kufuata taratibu ya kuomba kichunguzwe na Tanesco itafanya hivyo.
 
Mkuu nimeku PM please ukipata time cheki.
 
Mradi wa REA katika Kijiji cha NAMWAWALA kata NAMWAWALA Wilaya ya KILOMBERO Kilometa 30 toka Ifakara kuelekea Mlimba. Line ya umeme mkubwa baadala ya kupitisha kando ya barabar wao wamepitisha mitaani kwenye Viwanja na Nyumba za watu je ni sawa?

Kuna dalili ya rushwa ilitembea ili kuepusha Nyumba na biashara za Wakubwa wa Kijiji zilizo kando ya Barabara kuu ya Ifakara -Mlimba zisibomolewe.

Mfano mmoja angalia hii nguzo ipo jirani kabisa na nyumba.
Je , si ni hatari kwa wakazi hizi nyumba? Ukizingatia nyaya zipo wazi ,halafu kila baada ya nguzo tatu kuna Transformer kwa ajili ya kusambaza mtaani.
 
Unapotoa taarifa haswa yenye shutuma kama hii ni vema ukatoa taarifa nzima na namba yako ya simu ili tuifatilie kwa kuwasiliana na wewe.maana si rahisi sisi kujua hapo ni wapi haswa kwa kutumia picha tu.
 
TANESCO NAWAPONGEZA KWA KUWEZA KUWEPO HUMU,
Managers wenu wanaweza ku-handle customers kwa kiasi kizuri,tatizo hawa mafundi naona kuna haja ya kuwapa seminar za customer care ili wajue walipa luku ndo walipa mishahara wao,so wanapopewa kaz ya kufanya,lazima ifanyike.

Above all kuanzia maguf kaingia naona mnajitahid kubadilika ukilinganisha na miaka mingne,keep it on
 
It's a new era,wacha wapige kazi..
 
Asante sana mkuu na pia tumeipokea hio na tutajitahidi kuongea na kutoa semina kwa mafundi mkuu
TANESCO
 
Tanesco natangulisha pongezi kwenu kwa kutufikia, Mimi nipo Iringa DC, naomba makadilio ya kuwekewa umeme. Umbali wa nguzo ya mwisho mpaka kwangu ni metre 250. Je makisio itakuwa nguzo ngapi na ni bei gan.
Tanescoooooooo
 
Tunaweza kupata namba yako ya simu
Namba ya simu humu tena? Kutoka hapo ofisini kwenu ni karibu sana sio zaidi ya km 25 ukiwa Dar ni sawa utoke Mbezi kwenda Kariakoo. Ni vizuri mkafika sehemu ya tukio mkaonana hata na vion
Tunaweza kupata namba yako ya simu
Mimi nawashauri mfike tu hapo kijijini muangalie maeneo au nyumba ambazo wamefanya wiring na kujaza fomu za maombi lakini hawajafungiwa umeme. Diwani wetu yupo hapo mkifika atawasaidia sana kwani amejitahidi kufuatilia atawapa msaada lakini tutafurahi sana kama mkifuatilia hapo sio mbali na hapo ofisini kwenu kwani ni hapo jirani tu (mwisho wa uwanja wa ndege) sawa na kutoka Mbezi kwenda Kariakoo.

Nawatakia kazi njema na nawapongeza sana kwa jinsi mnavyojitahidi kusambaza umeme kwani sasa hivi hamkai ofisini kila siku mnaonekana mkizunguka na nguzo na kufunga na kufanya matengenezo
 
Nasikitika sana emergency tabata wanachofanya hakuna maana ya kujiita Emergency, nilipiga simu juzi jumamosi mpaka Leo hawajafika kucheki tatizo langu na kuna Cheche zinatokea kwenye mita,inabidi tu nitafute kishoka, kweli Tanesco mnatakiwa kutumbuliwa mnatengeneza rushwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…