Ni lazima baada ya kulipia umeme kwa mteje asiyehitaji nguzo akae siku 30?
 
Utaratibu ni waliotangulia kulipia wanafungiwa umeme kwanza ndio anayefuata afungiwe inategemea sana na maeneo na wingi wa wateja
Ni lazima baada ya kulipia umeme kwa mteje asiyehitaji nguzo akae siku 30?
 
Kibugumo Kigamboni umeme umekatika, nimetoa tu taarifa. Na kila umeme ukikatika nitakujulisha, ili uone kama hiyo ni hali ya kawaida umeme kukatika so frequently and hapharzadly
Leo kulikuwa na hitilafu kidogo tunaifanyia kazi
 
Utaratibu ni waliotangulia kulipia wanafungiwa umeme kwanza ndio anayefuata afungiwe inategemea sana na maeneo na wingi wa wateja
Kama eneo ninaloishi niko pekeyangu itachukua muda mrefu kuunganishiwa?
 
Haijafutwa popote pale bali wateja wanawekwa makundi yanayoendana na matimizi yao
TANESCO mbona mnanipuuza??? Naomba mnibadilishe tariff nina matumizi madogo.. Msinipuuze na mimi ni mteja wenu.. Namba ya mita 54182960069
 
TANESCO mbona mnanipuuza??? Naomba mnibadilishe tariff nina matumizi madogo.. Msinipuuze na mimi ni mteja wenu.. Namba ya mita 54182960069
Upo kundi sahihi la matumizi ya nyumbani mpendwa mteja endelea kufurahia huduma
 
Mkuu, narudia mara ya tatu kuuliza. Mimi ni mkazi wa Kivule, nimelipia huduma ya kuwekewa umeme tangu mwezi August 18 mpaka sasa hatuna kitu. Pia nimeambiwa nisifike ofisi za tanesco UKONGA ila nitapigiwa simu, kwamba foleni ni kubwa. Hii ni sawa?
Upo kundi sahihi la matumizi ya nyumbani mpendwa mteja endelea kufurahia huduma
 
Nona huwa hamuoni/ huzioni sms za pm. Hii ni mara ya pili hakuna majibu
Wanachagua wa kuwajibu mkuu, nimepost zaidi ya mara nne. Jana nimevizia wakiwa hewani, lakini hawanijibu. Ukitaka ujibiwe haraka weka post zinazilosrma, "Nanjilinji mtaleta lini umeme." Yaani maswali ya ujumla tu, sio matatizo yanayolenga ofisi.
 
Nauliza . Hivi usiponunua umeme unaweza kubadilishiwa tarrif ?
Kama ni Ndiyo kwa nini?
 
Niliulizwa juu ya mkoa wa kilimanjaro kwanini mnawabadilisha wateja tariff 4 na kuwarudisha kwenye tarif 1 naomba ufafanuzu
 
Wanachagua wa kuwajibu mkuu, nimepost zaidi ya mara nne. Jana nimevizia wakiwa hewani, lakini hawanijibu. Ukitaka ujibiwe haraka weka post zinazilosrma, "Nanjilinji mtaleta lini umeme." Yaani maswali ya ujumla tu, sio matatizo yanayolenga ofisi.
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] powa kiongozi
 
Mpendwa mteja tulikujibu swali hili kuwa kina uhakiki wa makundi ya watumiaji wateja nchi nzima hivyo kila mtena anakaa kundi linaloendana na matumizi yake
Niliulizwa juu ya mkoa wa kilimanjaro kwanini mnawabadilisha wateja tariff 4 na kuwarudisha kwenye tarif 1 naomba ufafanuzu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…