Nimelipa Tsh 321000, Wilaya ni Temeke 0620384835Umelipa kiasi gani? Wilaya? Namba ya simu na jina tafadhali
Ni lazima baada ya kulipia umeme kwa mteje asiyehitaji nguzo akae siku 30?Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.
Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;
1.ENEO HUSIKA
(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)
2.NAMBA YA SIMU
(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)
3.KARIBU NA NINI
(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)
4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO
(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)
5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI
(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)
6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME
(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)
7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI
(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)
TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.
ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO
Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;
Itabidi mfanye kulitolea ufafanuzi swala hili na mlitolee taarifa rasmiHaijafutwa popote pale bali wateja wanawekwa makundi yanayoendana na matimizi yao
Sawa, ila ndio hivyo.Leo kulikuwa na hitilafu kidogo tunaifanyia kazi
Umeme umekatika tena Kigamboni Kibugumo muda huu, nakupa tu taarifa.Leo kulikuwa na hitilafu kidogo tunaifanyia kazi
Kama eneo ninaloishi niko pekeyangu itachukua muda mrefu kuunganishiwa?Utaratibu ni waliotangulia kulipia wanafungiwa umeme kwanza ndio anayefuata afungiwe inategemea sana na maeneo na wingi wa wateja
TANESCO mbona mnanipuuza??? Naomba mnibadilishe tariff nina matumizi madogo.. Msinipuuze na mimi ni mteja wenu.. Namba ya mita 54182960069Haijafutwa popote pale bali wateja wanawekwa makundi yanayoendana na matimizi yao
Upo kundi sahihi la matumizi ya nyumbani mpendwa mteja endelea kufurahia huduma
Nona huwa hamuoni/ huzioni sms za pm. Hii ni mara ya pili hakuna majibuUpo kundi sahihi la matumizi ya nyumbani mpendwa mteja endelea kufurahia huduma
Wanachagua wa kuwajibu mkuu, nimepost zaidi ya mara nne. Jana nimevizia wakiwa hewani, lakini hawanijibu. Ukitaka ujibiwe haraka weka post zinazilosrma, "Nanjilinji mtaleta lini umeme." Yaani maswali ya ujumla tu, sio matatizo yanayolenga ofisi.Nona huwa hamuoni/ huzioni sms za pm. Hii ni mara ya pili hakuna majibu
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] powa kiongoziWanachagua wa kuwajibu mkuu, nimepost zaidi ya mara nne. Jana nimevizia wakiwa hewani, lakini hawanijibu. Ukitaka ujibiwe haraka weka post zinazilosrma, "Nanjilinji mtaleta lini umeme." Yaani maswali ya ujumla tu, sio matatizo yanayolenga ofisi.
Niliulizwa juu ya mkoa wa kilimanjaro kwanini mnawabadilisha wateja tariff 4 na kuwarudisha kwenye tarif 1 naomba ufafanuzu