Wanachofanya Tanesco ni kwamba ikiwa upo ndani ya mita 30 hakuna uhitaji wa nguzo kama miundo mbinu ya umeme ipo,kuhusu muda uliokaa kuwa ni mwezi wao huhesabu kwa siku za kazi tu ikiwa kuna sikukuu na wikiendi wao hawazihesabu kabisa.Mita 50 kutoka kwenye Nguo maana toka nilvyoomba imefika imefika mwezi sasa
Upo zaidi ya mita 30 kwa mujibu wa mkataba wa huduma kwa wateja wateja utafungiwa umeme ndani ya siku 60 za kazi
Mita number 24219180114Tunaomba namba yako ya mita na ya simu tupitie manunuzi yako.Swala la tariff ni la mtumiaji wa umeme wa mita husika hivyo tunataraji mtu akilet ombi au lalamiko liwe la mita yake
Mpendwa mteja kama tulivyojibu hapo hawali mita ikifungwa haihamishwi nje ya eneo husika labda ndani ya nyumba hiyo hiyo.nayo unajaza fomu na tutakupatia gharama halisiMkuu kunasiku nilikuuliza process za mtu kuhama na mita yake ya luku... Ukanieleza kuwa natakiwa kuwa na barua ya mjumbe... Naomba uniainishie the whole process.... Nataka kuondoa mita yangu niende nikaifunge napo kwenda kuhamia
Ndugu mpendwa mteja tulitoa taaarifa ya kazi iliyokuwa inafanyika tunakuomba radhi sana kama hauikuipataTanesci mmetukatili kukatiwa umeme bila taarifa na kutunyima kuangalia mpira wa simba leo. Baadhi ya sehemu ya Arusha wanao umeme
Tumelipokea kwa ufatiliaji mpendwa mtejaTANESCO Tunawashukuru Sana Kwa kazi nzuri mnayofanya kuhakikisha huduma zinakuwa Bora zaidi.
Ingawa tunaamini changamoto nazo huwa hazikosekani hasa kwa kukosa umeme kwa maeneo mengi ya Dar es Salaam.
Binafsi naishi hapa DAR (Chanika), katika ENEO la Chambala. ENEO hili lina wakazi wengi mno, tupo katika eneo hili kwa zaidi ya miaka mitano sasa. Tumehangaika mno kuomba umeme kwa kufuata taratibu za kawaida lakini hadi sasa imekuwa hadithi. Tulilazimika hata kufika katika ofisi ya Kanda (Kibaha Pwani) mwaka Jana 2017, May. Lakini tukaahidiwa mwaka wa budget 2017/2018 basi huenda fungu litatoka, mwezi July 2017 ukapita. Then, mwaka huu 2018 mwezi nadhani June akaja Naibu waziri wa Nishati akatoa ahadi kuwa umeme utaletwa siku za karibuni, mwezi July 2018 wakaja wafanya TANESCO kuchukua alama za maeneo ambayo nguzo zitasimikwa (Kwa mujibu wa wao), waliongeza kwa kusema kuwa mkandarasi anatafutwa kwakuwa tayari fungu limetoka, tukaambiwa tuvute subira nguzo zinaletwa, lakini huu ni mwezi October sasa hakuna kitu.
Ingawa wenzetu Jirani kidogo na eneo tulipo (Yongwe) tayari wameshushiwa nguzo, labda pengine watapata umeme hivi karibuni. Ingawa Bwana mmoja alisikika akisema nguzo hizo zineletwa kwakuwa kulikuwa na uchaguzi, hivyo huenda umeme ukaletwa baada hata ya mwaka.
Sina hakika tufanye nini, au tukalalamike wapi? Maana inaonekana kama tunalilia umeme ambao tutatumia bure.
TANESCO naomba majibu Juu ya hilo tafadhali.
Tumelipokea kwa ufatiliaji mpendwa mteja
Kama umeme unafika kwenye mita ndani hauwaki unashauriwa kumuita fundi wako aliyesajiliwa kukufanyia uchunguzi au angalia main switch kama.ipo chini inapaswa kuwa juuTanesco kwangu luku ina waka na ina.umeme lakini ndani hauwaki?