TANESCO
Official Account
- Jul 12, 2014
- 4,600
- 2,134
- Thread starter
- #5,361
Mteja halipi nguzo bali anachangia gharama ya nguzo.nguzo.hiyo inabaki kuwa ya uma kupitia TANESCO ili kuruhusu wateja wengine kufungiwaul umeme na hata ukarabati iliharibika ndio maana hakuna mteja aliyewahi kulipishwa nguzo ikioza au kuanguka.jiulize kama kila aliyelipia nguzo ingekuwa yake akigoma wengine wasifungiwe kwa nguzo hiyo tunafanyaje hapo.Kwanini mnatulipisha nguzo za umeme na bado zibaki kuwa Mali yenu??