Andika barua kwenda kwa manager wa mkoa wako huku uiiambatanisha copy ya kitambulosho kinachotambulika.uonyeshe sababu inayopelekea kunadili jinaMsaada namna ya kusahihisha jina lililokosewa wakati wa usajili wa mita. Mfano Kennedy ikawa Kenneth
Mpendwa mteja yote hayo yapo kwenye mikakati ya shirika muda muafaka utakapofika utashuhudia huduma hizoOmbi langu ni maboresho kwenye teknolojia ya mita za luku
Kwamba niweze kutumia simu yangu kujaza umeme moja kwa moja bila mimi kuinuka na kwenga nje kubonyeza vitufe.
Vile vile hata kumjazia mtu alie mbali mf. Mama yangu anaishi kibiti na mie nipo Songea, ninunue umeme huku huku kwenye simu yangu na nitume moja kwa moja kwenye mita ya mama pale Kibiti
Yeye aone tu taa zinawaka bila yeye kuinuka na kwenda kujaza.
Wakati mwingine ni usiku na umeme umeisha, mita na yenyewe ipo nje na mama pale nyumbani hana vijana wa kumsaidia.
Ombi langu ni hilo yaani mama yeye awe anaona umeme upo tu muda wote bila kupanda kwenye stuli kujaza.
Tunashhukuru sana mpendwa mtejaMimi nataka niwapongeze kwa kunipa huduma iliyopitiliza matarajio yangu,kwani kwangu umeme ulikuwa umekatwa baada ya kutokea hitilafu kwenye armored cable.Hivyo mkaniambia mara fundi wangu wa umeme atakapokamilisha ufungaji nije niwataarifu.Tulipokamilisha tukawaletea barua saa sita mchana tukiomba mje kurudisha umeme ndani ya masaa mawili tu mkawa mmefika na kurudisha umeme.Mimi nilidhani mtachukua wiki nzima big up sana meneja wa Tegeta. Mimi nipo Tegeta karibu na canosa sekondari.
Asante mkuu na karibu TANESCOMimi nataka niwapongeze kwa kunipa huduma iliyopitiliza matarajio yangu,kwani kwangu umeme ulikuwa umekatwa baada ya kutokea hitilafu kwenye armored cable.Hivyo mkaniambia mara fundi wangu wa umeme atakapokamilisha ufungaji nije niwataarifu.Tulipokamilisha tukawaletea barua saa sita mchana tukiomba mje kurudisha umeme ndani ya masaa mawili tu mkawa mmefika na kurudisha umeme.Mimi nilidhani mtachukua wiki nzima big up sana meneja wa Tegeta. Mimi nipo Tegeta karibu na canosa sekondari.
Aaante sana mkuu na pole sana kwa usumbufu wa uliopataKazi nzuri TANESCO. Mumekuwa responsive sana katika swala nililoripoti humu. Niliwatumia ujumbe jana asubuhi na jana hiyo hiyo mlinipigia na mafundi wakafika na kurekebisha tatizo. Nawapa 5 stars. Endelezeni huo utamaduni.
Mkuuusijali maana wamepewa dead line ya mwezi mmoja na naibubwaziri wao wawe wamewamaliza matatizo ya wateja wao wote.Nipo Maeneo ya kigamboni, kibada mtaa wa uvumba.
Nimelipia umeme tangu April 25 2017 yaani mwaka huu. Niliahidiwa kuwekewa huduma ya umeme ndani ya siku 60. Lakini mpaka muda na tarehe ya leo 27/6/2017 majibu yenu hayaeleweki na yanatia hasira sana. Mara nguzo zimeisha, nguzo zikipatikana kwangu hamleti mpaka muda huu.
Juzi mnatoa majibu eti nyaya ni tatizo maana zimeisha.
Sasa kama hamjajiandaa kwa nini mchukue pesa ya wateja wakati uwezo hamnao?
Hakuna madhirika yanachefua Kama Tanesco hapa nchini.
Nimedai nirudishiwe pesa yangu nikanunue umeme wa jua na hata hiyo mnajiumauma pesa yangu hamtaki rudisha.
Mnataka tuwafanyeje?
Naulizia suala hili mbona kimya na mlisema mtashughulikia siku za kazi na hamjanipa mrejesho mpaka leo au niende makao makuu kuuliziaUtapata ufafanuzi siku za kazi
Ndugu kama una namba yao nisaidie tafadhariJaribu kuwapigia simu huduma kwa wateja.
Wakati mwingine ni matatizo ya luku yenyewe tu.
Ndugu kama una namba yao nisaidie tafadhari