Tuhuma hizi unauhakika nazo? Umeme ni swala la kitaalamu hivyo sio kumsemea muhusika taratibu zipo na ofisi zetu zupo wazi penda kuzitumia kupata ufafanuzi sahihi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alimpa nani hiyo rushwa? Kwanini hakutoa taarifa? Tusijenge mazingira ya muzusha mambo badala yake tusaidie kuwabainish mnaona wanaomba rushwa sio kuchafua shirika zima tena kwa taarifa zakusikia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafadhali tupatie taarifa za hawo unawatuhumu badala ya kutuhumu shirika zima.usitishie kuwaanika bali waanike ili shirie ichukue mkondo wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko TANESCO inaonekana kuna tatizo mahali,haiwezekani watu wengi humu tena hawa ni wachache kati ya waliopo huko nje wanalalamika changamoto ya kuvutiwa umeme, kwenye suala la nguzo hapo....Yote hayo nishayasikia pia hata mtaani watu wakilalamika........Ila siwezi sema mjirekebishe maana ni kama utaratibu wenu mliojiwekea
 
Tanesco madudu yamezid.. Toka jana saa tatu usiku hatuna umeme baada ya kupiga simu na kuwaambia tutampigia waziri husika wamerudisha ndani ya nusu saa wamekata.. Sijui hili shirika lina kasoro gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafadhali tupatie taarifa za hawo unawatuhumu badala ya kutuhumu shirika zima.usitishie kuwaanika bali waanike ili shirie ichukue mkondo wake

Sent using Jamii Forums mobile app
Tanesco Nina nyumba nililipa January 2019 nyingine sikulipa ila control namba ninayo ya hii ambayo sijalipa nauliza he bado inakuwa active au mpaka nirudi kuihuisha? Nipo Mwanza na hii ya Kwanza mpaka Leo naambiwa nguzo hakuna nipe majibu yangu soon
 
Nina swali kwa Tanesco
Baada ya Survey inachukua muda gani kupewa control no ili ulipe kwa ajili ya kuunganishiwa umeme? Umbali wa nguzo ni mita 10 hadi ilipo nyumba.
 
Tanesco Nina nyumba nililipa January 2019 nyingine sikulipa ila control namba ninayo ya hii ambayo sijalipa nauliza he bado inakuwa active au mpaka nirudi kuihuisha? Nipo Mwanza na hii ya Kwanza mpaka Leo naambiwa nguzo hakuna nipe majibu yangu soon


hapana fika ofisi ya TANESCO kwa ajili ya kupata namba nyingine
 
Habari wanajamvi.

Jana umeme ulikatika hapa kijijini kwangu. Uliporudi kwangu haukurudi.
Remote inaonyesha error 30
Code walizonipa za tanesco hazifanyi kazi...

Unles kuna namna ya kuingiza ambayo mie siijui. (niliambiwa niingize tu zitafanya kazi)
Kuna anayefahamu namna ya kuingiza hizi namba??? (napewa ahadi ya kufika tu hawajafika)
Msaada tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanesco umeme kigamboni kunashida gani mbona unakatika na kuwaka zaidi ya mara nne sasa ndani ya masaa mawili.

Chunguzeni tafadhali mtatusababishia hasara katika malizetu please.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…