Mteja ambaye eneo lake halihitaji nguzo, yaani yupo ndani ya mita 30. kinachohitajika ni mita, na waya tu mje kuunganisha, mnamwambia asubiri siku 30, kama siyo kutengeneza mazingira ya rushwa ni nini? Hiyo sheria ya kusema ndani ya siku 30 tafsiri yake siyo baada ya siku 30. Ni ndani ya siku 30, ikiwemo hata kesho yake mara baada ya kulipa. Sasa panafanyika delay techniques za makusudi. Kuna rafiki yangu aliambiwa eti mita zimeisha, imebaki moja tuu na inatakiwa iende sehemu nyingine. Jamaa kwa pressure akaingia kingi kwa kutoa rushwa ili hiyo mita ipelekwe kwake na ikawa hivyo. Japo hakuna ushahidi kama kweli mita imebaki moja.
Nyie ngojeni tu mimi nitawapa hela za moto