Morogoro ifakara kata ya mbasa,kwa niaba ya wananchi tunaomba namba ya wazir mwenye dhamana tumweleze kero yetu, Ni kuwa tangu tulipe umeme wa mrad mwez wa 9 hadi sasa hatujafungiwa umeme na mkandaras haonekan, hakuna kinachoendelea zaid ya porojo na rushwa kwa wing,
 
Jaman tanesco sisi wakaz Wa Mbagala KILUNGULE tumewakosea nn n zaid ya siku 7 sasa hatupat umeme Wa uhakika ukiwaka ni masaa3 bas mnakata na wala hamtup ufafanuz tatzo nn tunaomba mliangalie hili kwakwel Huduma yenu n ya mateso sana maeneo ambayo yameathirika n kwa mangi KILUNGULE mwisho na Barbara ya mwinyi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TANESCO tunashukuru kwa kazi nzuri mnayofanya pamoja na changamoto zilizopo. Mimi ni mwenyeji wa kijiji Kasharu Kitongoji Bugaju Bukoba vijijini. Tunaomba mshughulike Ombi letu ambalo limetumwa kwa RM Mkoa Kagera tukiomba tukadiriwe gharama za kupata umeme ili tulipie. Mradi wa REA ulipita ktk eneo letu lakini hatukunufaika nao. Hivyo tuliomba tupatiwe umeme kwa taratibu za kawaida za TANESCO. Vielelezo kadhaa pamoja na orodha ya wahitaji tulipeleka Ofisi ya Makao makuu ya TANESCO Kagera. Hadi sasa hatujapata jibu kama ni NDIYO au HAPANA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tannesco mtuambie ukweli Kuna tatizo gani linalosababisha kukatikatika kwa umeme mtwara vijijini pamoja na kuambiwa tuna access ya Megawatt karibia kumi za umeme. Tatizo Ni Nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Jumbo lote la Mtwara vijijin umeme ni shida wanakata saa moja wanarudusha saa nane ucku na wakat mwingin mchana kutwa umem, mbunge yupo dar anakula bata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umelipa lini? Kwa jina gani?namba yako ya simu na wilaya tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili la kuuza nguzo wakati Mawaziri wameshaelekeza kuwa msiuze nguzo linatuboa sana. Hebu mjitathmnini kwa kutotekeleza maagizo ya Waziri wenu na Waziri Mkuu. Nia ya viongozi wetu ni nzuri sana lakini ninyi mnakaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimekua tayari kulipia nguzo na nikaunganishiwa umeme. Hili haliniumizi... linaloniumiza ni umeme kukatika mtaani kwetu kila siku iendayo kwa Mungu kwa masaa average manne.. kama jana 28.12.2019, umeme umekatika for 8 hours.. saa saba mchana mpaka saa mbili usiku.. sababu ya msingi hamna... unapiga emergency, wanasaidia kwa kutuma mafundi nadhani,umeme unarudi kwa dakika kama 15... lakini baada ya muda mchache umeme unakatika tena... inaumiza saannaa saannaa saannnaaa..... tanesco ninawaomba kwa heshima tatueni kero yetu... tunaumia.. kulipa 3.9m kuunganishiwa umeme kisha umeme kukatikakatika kila saa inauma kupita kiasi... biashara tunazofanya zinategemea umeme kwa 100 %... juzi nimeshusha mzigo wa kuku na samaki woote wameharibika.. Mungu anawaona!
Mimi ni mwananchi mtiifu. Ninaishi Gomba estate - mtaa manyire wa manyire tunahudumiwa na kituo cha usa river arusha.
 
Bagamoyo Kero ni kubwa sana na inabore sana na tatizo la kukatika kwa umeme mara kwa mara kwa siku si chini ya mara nne mpaka tano na hili tatizo ni zaidi ya mwezi sasa hivi ninavyoongea umekatika na hii ni mara ya pili.
 
Tunashukuru kwa taarifa,tafadhali tupatie namba yako ya simi kwa hatua zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wahusika wa Tanesco nina swali dogo tu, Je kuna mpango wa kupitisha nyaya za umeme chini ya ardhi katika sehemu za makazi ya watu?
 
Tanesco mbona baadhi ya maeneo ya pongwe siku nne nfululizo tunalala bila umeme na hakuna taarifa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…