TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Hii ni siku ya nne sasa wanafanya mchezo huuhuu huku wanakata kuanzia saa 3 mpk 11 jioni yaani usiponyoosha mapema utavaa tshirt wiki nzima

Halafu excuse ya mvua ni kichaka cha kujifichia tu mbona jioni mnarudisha itakuwa kuna shida nyingine hamtaki kuiweka wazi
Mwanza kila siku jioni wanarudisha usiku kabisa au siku zingine mpaka kesho yake
 
*SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)*

*Machi 18, 2020*

*TAARIFA YA KUKATIKA UMEME KATIKA BAADHI YA MIKOA KUTOKANA NA HITILAFU KWENYE MFUMO WA UMEME

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linaomba radhi kwa Wateja wake wa baadhi ya mikoa kutokana hitilafu iliyosababishwa na mvua kubwa zinazo endelea katika maeneo mengi ya nchi na kupelekea kuathiri baadhi ya miundombinu ya umeme.
Leo tarehe 18.03.2020 kati ya saa 12 na dakika 36 mpaka saa 4 na dk15 mikoa ya Nyanda za Juu Kusini, Kanda ya kati, Kanda ya ziwa, Kanda ya Magharibi na kanda ya kaskazini ilikosa umeme

*Tunaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza.*

Tovuti: www.tanesco.co.tz

Mitandao ya Kijamii
Tanesco Yetu

Twitter, www.twitter.com/tanescoyetu,

Instagram: tanesco_official_page

YouTube: tanescoyetu

Tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza

Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu




TANESCO Makao Makuu| 0768985100|customer.service@tanesco.co.tz
Na leo ni tarehe 19 umeme haupo!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanza buzuruga nipo hapa leo ni siku ya 3, ukifika saa moja moja jioni umeme unakatwa. Hata idara ya maji nao yale yale juzi ilipita siku nzima bila maji
 
*SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)*

*Machi 18, 2020*

*TAARIFA YA KUKATIKA UMEME KATIKA BAADHI YA MIKOA KUTOKANA NA HITILAFU KWENYE MFUMO WA UMEME

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linaomba radhi kwa Wateja wake wa baadhi ya mikoa kutokana hitilafu iliyosababishwa na mvua kubwa zinazo endelea katika maeneo mengi ya nchi na kupelekea kuathiri baadhi ya miundombinu ya umeme.
Leo tarehe 18.03.2020 kati ya saa 12 na dakika 36 mpaka saa 4 na dk15 mikoa ya Nyanda za Juu Kusini, Kanda ya kati, Kanda ya ziwa, Kanda ya Magharibi na kanda ya kaskazini ilikosa umeme

*Tunaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza.*

Tovuti: www.tanesco.co.tz

Mitandao ya Kijamii
Tanesco Yetu

Twitter, www.twitter.com/tanescoyetu,

Instagram: tanesco_official_page

YouTube: tanescoyetu

Tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza

Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu




TANESCO Makao Makuu| 0768985100|customer.service@tanesco.co.tz
Hivi, mbona maswali yetu hamjibu? Naona mnachagua majibu ya jumla jumla tu, kiasi kwamba, inakuwa hamtusaidii kuwepo kwenu hapa JF!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanesco hamjambo. Nawashangaa sana
Mnae waziri wa nishati
Mnae mkurugenzi mkuu
Mnao mameneja wa mikoa
Mnazo pesa nyingi tu maana malipo yenu ni prepaid.
Mnao mafundi nakama hawatoshi kuna ma engineer na ma technician wengi tu mtaani wanaotafuta kazi.
Mnavyo vitendea kazi na input kama ma transformer, waya nk.
Sasa kwanini huku Kongowe, Veta, Kibaha tangu jana usiku saa tatu mpaka leo saa mbili usiku kulikua hakuna UMEME?
What was the problem????
Nahisi Nyie ni watu wazima, msisubiri kuumbuliwa mbele ya wake zenu kama alivyofanywa waziri mmoja hivi majuzi tena barabarani
 
Ndugu mpendwa mteja wetu tafadhali tujulishi ni eneo gani wilaya na namba yako ya simu

Sent using Jamii Forums mobile app

Mbeya

Zaidi ya wiki sasa kila siku kati ya saa 11 jion mpaka saa nne usiku, nikukatika umeme

Hata muda huu niandikapo nisaa tatu maeneo ya uyole, Isyesye, ilomba nk hakuna umeme sasa hivi ni saa tatu na dk 22

Mbeya ni tatizo kubwa.
 
Back
Top Bottom