Hivi ni kweli mkoa wa Mtwara wilaya ya Masasi Kuna Grid ya umeme ya Taifa wajuvi mnijuze
Mkoa wa mbeya wilaya mbeya jijiNdugu mpendwa mteja wetu tafadhali tujulishi ni eneo gani wilaya na namba yako ya simu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanza kila siku jioni wanarudisha usiku kabisa au siku zingine mpaka kesho yakeHii ni siku ya nne sasa wanafanya mchezo huuhuu huku wanakata kuanzia saa 3 mpk 11 jioni yaani usiponyoosha mapema utavaa tshirt wiki nzima
Halafu excuse ya mvua ni kichaka cha kujifichia tu mbona jioni mnarudisha itakuwa kuna shida nyingine hamtaki kuiweka wazi
Jamaa anatusanifu tu hapa..Huyu jamaa TANESCO yeye amekazana kuomba tu namba za simu za watu, huyu ni wa TANESCO kweli?au walewale jamaa zetu?[emoji102][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Na leo ni tarehe 19 umeme haupo!!*SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)*
*Machi 18, 2020*
*TAARIFA YA KUKATIKA UMEME KATIKA BAADHI YA MIKOA KUTOKANA NA HITILAFU KWENYE MFUMO WA UMEME
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linaomba radhi kwa Wateja wake wa baadhi ya mikoa kutokana hitilafu iliyosababishwa na mvua kubwa zinazo endelea katika maeneo mengi ya nchi na kupelekea kuathiri baadhi ya miundombinu ya umeme.
Leo tarehe 18.03.2020 kati ya saa 12 na dakika 36 mpaka saa 4 na dk15 mikoa ya Nyanda za Juu Kusini, Kanda ya kati, Kanda ya ziwa, Kanda ya Magharibi na kanda ya kaskazini ilikosa umeme
*Tunaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza.*
Tovuti: www.tanesco.co.tz
Mitandao ya Kijamii
Tanesco Yetu
Twitter, www.twitter.com/tanescoyetu,
Instagram: tanesco_official_page
YouTube: tanescoyetu
Tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza
Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
TANESCO Makao Makuu| 0768985100|customer.service@tanesco.co.tz
sijawahi ona msaada wake huyo pundamilia,anachagua maswali ya kujibuHuyu jamaa TANESCO yeye amekazana kuomba tu namba za simu za watu, huyu ni wa TANESCO kweli?au walewale jamaa zetu?[emoji102][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni, nadhani wanahofu ya kutangaza maana watapewa kesi ya uhujumu uchumiMwanza kila siku jioni wanarudisha usiku kabisa au siku zingine mpaka kesho yake
Ndugu mpendwa mteja wetu tafadhali tujulishi ni eneo gani wilaya na namba yako ya simu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi, mbona maswali yetu hamjibu? Naona mnachagua majibu ya jumla jumla tu, kiasi kwamba, inakuwa hamtusaidii kuwepo kwenu hapa JF!*SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)*
*Machi 18, 2020*
*TAARIFA YA KUKATIKA UMEME KATIKA BAADHI YA MIKOA KUTOKANA NA HITILAFU KWENYE MFUMO WA UMEME
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linaomba radhi kwa Wateja wake wa baadhi ya mikoa kutokana hitilafu iliyosababishwa na mvua kubwa zinazo endelea katika maeneo mengi ya nchi na kupelekea kuathiri baadhi ya miundombinu ya umeme.
Leo tarehe 18.03.2020 kati ya saa 12 na dakika 36 mpaka saa 4 na dk15 mikoa ya Nyanda za Juu Kusini, Kanda ya kati, Kanda ya ziwa, Kanda ya Magharibi na kanda ya kaskazini ilikosa umeme
*Tunaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza.*
Tovuti: www.tanesco.co.tz
Mitandao ya Kijamii
Tanesco Yetu
Twitter, www.twitter.com/tanescoyetu,
Instagram: tanesco_official_page
YouTube: tanescoyetu
Tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza
Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
TANESCO Makao Makuu| 0768985100|customer.service@tanesco.co.tz
Hayaongoegi ukweli mpaka yabinywe pumbuWakuu naona hali imekua too much..Tanesco wanakata umeme kila mara, na inavyoonekana ni sehemu nyingi nchini..tatizo nini?
Ndugu mpendwa mteja wetu tafadhali tujulishi ni eneo gani wilaya na namba yako ya simu
Sent using Jamii Forums mobile app