Sicario_4k
Senior Member
- Apr 6, 2020
- 176
- 327
MSAADA KUPATA CONTROL NAMBA TAFADHALI
Niliandika barua ya kupata clntrol namba ili nifanye malipo ya huduma nyumba yangu ipo umbali wa mita 89 kutoka kwenye nguzo ya huduma .
yapata miezi miwili sasa kila nikifuatilia naambiwa nitapewa taarifa kwa meseji, sidhani kama utoaji wa control namba tu unaweza kuchukua muda wote huu nsona kabisa hapa kuna mazingira ya rushwa yanatengenezwa.
Tafadhali tusaidieMSAADA KUPATA CONTROL NAMBA TAFADHALI
Niliandika barua ya kupata clntrol namba ili nifanye malipo ya huduma nyumba yangu ipo umbali wa mita 89 kutoka kwenye nguzo ya huduma .
yapata miezi miwili sasa kila nikifuatilia naambiwa nitapewa taarifa kwa meseji, sidhani kama utoaji wa control namba tu unaweza kuchukua muda wote huu nsona kabisa hapa kuna mazingira ya rushwa yanatengenezwa.
Wameshafanya survey mkuuu... utaratibu wa sasa kama upo umbali zaidi ya mita 30 kutoka kwenye nguzo utatakiwa kusubiri hadi huduma ikusogelee auMkuu mita 89 ni nyingi sana, je hapo katikati kuna nguzo?, je vipi survery amekuja?
Wameshafanya survey mkuuu... utaratibu wa sasa kama upo umbali zaidi ya mita 30 kutoka kwenye nguzo utatakiwa kusubiri hadi huduma ikusogelee au
Utaandika barua ta kuomba kulipia mwenyewe kwa gharama zako ikiwa unahitaji huduma kwa haraka na upo tayari kugharamia , sasa hiyo barua ndo sijajibiwa mpaka leo napigwa kalenda tu mwezi wapili sasa.. wananizungusha kutoa control namba nikalipe
Gharama zake ni kama 690k ivi.
Eneo limeshapimwa, nimekutumia taarifa zangu inbox / PMTafadhali tusaidie
Jina
Eneo
Wilaya
Simu
Pia je ulipimiwa? Maana control number mpaka upimiwe ndio upewe makadirio halisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo ivo mkuu... chaajabu nashuhudia majirani wakishushiwa nguzo tu ambao naamini siku pishana nao sana kwenye maombiYani unataka kujilipia mwenyewe harafu hawataki kukupa majibu, ukisikia utendaji wa kazi mbovu ndo huu sasa, naomba wakupe majibu fasta iwezekanavyo
Tafadhali onyesha taarita tulizoomba kwa hatua zaidiWameshafanya survey mkuuu... utaratibu wa sasa kama upo umbali zaidi ya mita 30 kutoka kwenye nguzo utatakiwa kusubiri hadi huduma ikusogelee au
Utaandika barua ta kuomba kulipia mwenyewe kwa gharama zako ikiwa unahitaji huduma kwa haraka na upo tayari kugharamia , sasa hiyo barua ndo sijajibiwa mpaka leo napigwa kalenda tu mwezi wapili sasa.. wananizungusha kutoa control namba nikalipe
Gharama zake ni kama 690k ivi.
Umeomba kwa jina ganinaombaa msaada nilituma maombi ya kuvuta umeme tangu mwaka jana mwezi wa 11 na survey akaja akapima vzr ni mahali panaitaji nguzo moja lakini mpaka mwezi wa 5 mwaka huu nikarudishiwa form na survey akasema kwa sasa hakuna nguzo mpaka pale serikali itakapo tangaza tena nimebaki gizani mpaka sasa
location kilimanjaro/ Himo
Je umewahi kutoa taarifa ofisi zetu za wilaya za hapo?Nipo wilaya ya rungwe halmashauri ya busokelo,ni kawaida kukatika umeme kuanzia saa kumi jioni kukiwa na ratiba ya mpira.umem ulikuwepo tangu asubuh mpira umeanza umekatika.nini tatizo?
UfafanuziHizo nguzo za umeme zipo au hazipo maana nimeenda Tanesco ( ) naambiwa nguzo za bure hakuna zipo za kuuza Waziri was nishati tupe jibu Kuna nguzo kwa wateja za bure na za kuuza cash? Happy ndipo napoanza kuichukia serikali mbona nyie watu rushwa itawaua ? ETI nisiende kuwashtaki!!! Sasa nahitaji majibu vinginevyo Dom siyo mbal
Kuingiziwa umeme umbali wa mita sita toka kwenye nguzo huwa inachukua muda ganiUfafanuzi
Mteja hanunui nguzo wala halipii nguzo bali analipia gharama ya kuunganishiwa umeme ambapo ndani yake kuna vifaa kadhaa ikiwemo mita nguzo myara nk na hakuna mteja anayeambiwa au kupewa makadirio kuwa nguzo ni tsh fulani na makadirio yote yanatoka kwa maandishi
Sent using Jamii Forums mobile app
@TANESCO naomba mnitatulie tatzo hili sugu..LUKU yangu inakata umeme kila siku usiku kuanzia saa 2 Hadi saa 3 na nusu Kisha unarudi..nimedumu na tatizo hili kwa zaidi ya maika miwili..SHIRIKA LA UMEME TANZANIA TANESCO MKOA MOROGORO
TAARIFA YA MABORESHO YA MIUNDO MBINU YA UMEME KATIKA KITUO CHA KUPOKEA NA KUPOOZA UMEME MSAMVU SABSTATION
Shirika la umeme Tanzania TANESCO Mkoa wa MOROGORO linawataarifu wateja kuwa kutakuwa na katizo la umeme katika laini zetu kama ifuatavyo:
Siku : Jumamosi
Tarehe:6/06/2020
MUDA :3:00 Asubuhi hadi saa 9:00 Alasiri
Sababu KUFANYA UKARABATI WA MIUNDO MBINU KATIKA KITUO CHA KUPOKEA NA KUPOOZA UMEME MSAMVU SUBSTATION
Maeneo yatakayoathirika Wilaya ya Manispaa ya Morogoro,wilaya ya Kilosa ,wilaya ya Mvumero ,wilaya ya Mvua, pamoja na maeneo mengine yanayotumia laini hiyo
Tunaomba radhi kwa usumbufu utakao kuwa umejitokeza .
Tahadhari usishike wala kukanyaga nyaya zilizolala chini toa taarifa Emergency kupitia namba 0677063001/0684889272 au toa taarifa ofisi ya Tanesco iliyo karibu nawe.
TANESCO Makao Makuu| 0768985100|customer.service@tanesco.co.tz
@TANESCO naomba mnitatulie tatzo hili sugu..LUKU yangu inakata umeme kila siku usiku kuanzia saa 2 Hadi saa 3 na nusu Kisha unarudi..nimedumu na tatizo hili kwa zaidi ya maika miwili..
Naomba mnisaidie naitwa LEONARD ROBERT..namba ya LUKU 54182960069 nipo buswelu-mwanza namba 0767101328