Tayari washakata umeme sahizi ni giza tupu

Sijui tatizo ninini

Vipi tujuzane maeneo uliyopo hapa Dar kuna umeme?Au ni huku ubungo tu?
Mkuu inafikia wakati mtu unaichukia tz. umeme toka jana unakatika katika! leo asubuhi wengine tumeenda ofisini bila kunyosha nguo! Dah!
Kweli Bongo bahati mbaya! inauma sana!
 
Naandika kwa masikitiko sana nashindwa kuelewa sisi wakazi wa Ubungo tumewafanyia nini maana hii ni too much

Umeme unakatika hata masaa 5 mnarudisha lisaa limoja huu mchezo unatukera kweli

Na waathirika wakubwa ni sisi wakazi wa Ubungo na mbezi toka juzi ni sarakasi tu umeme unakatika tu masaa kibao

Hamuoni mateso tunayoyapata?Kama sahz hapa tupo gizani yaani hata kucheki movie tunashindwa kuenjoy, tunashindwa hata kutumia friji na vifaa vyote vya umeme kwasababu mnakua mmekata

Haya mateso hadi lini?na wakati sisi ndo tulitakiwa tuwe na umeme wa uhakika maana mitambo ya umeme ya Ubungo power plant ndo tupo nayo hapa hili sio fair kabisa

Kibangu yote ni giza tu muda huu.
 
Tanesco mkoa wa mara shida nini jamani leo siku ya pili Musoma mjini hatuna umeme.pia umeme kwa siku zingine imekuwa ikatika kila mara.au kuna mgao wa kisiri siri tujuwe kama wateja wenu?ni vizuri munatupa updates kama kuna shida kuliko kuwa kimya.
 
Tanesco mkolani nimebakiza siku tatu nikawashitaki mwa Mkurugenzi wenu au kwa waziri. Nimelupia kila kitu mwezi wa tano na sasa ni mwezi wa saba hakuna umeme. Mnataka kufuatwa fuatwa wakati mnafanya biashara. Subirini kuanzia kesho msinilaumu
 
Tanesco mkolani nimebakiza siku tatu nikawashitaki mwa Mkurugenzi wenu au kwa waziri. Nimelupia kila kitu mwezi wa tano na sasa ni mwezi wa saba hakuna umeme. Mnataka kufuatwa fuatwa wakati mnafanya biashara. Subirini kuanzia kesho msinilaumu
Hii Kampuni ilitakiwa Ifutwe kabisa yaani wanafanya kazi kimazoea kwakuwa wapo peke yao! Hawa wangepata mshindani mwenzao wangetia akili ,waoneni TTCL wanavyopumulia mashine hakuna mtu mwenye time nao! ilitakiwa ianzishwe kampuni nyingine yenye kuzalisha na kusambaza umeme ije kupambana NAO hao WAPUUZI.

Mtu unalipia upate huduma halafu let's say ni nguzo moja au mbili mpaka nyumba yako lakini inachukua mwaka mzima ndio waje kukuwekea tena kwa kufollow up sana na kuhonga othersiwe utasikia Umeme kwenye radio!

Ningekuwa Mbunge ningepeleka hoja binafsi ya kulifutilia mbali shirika la tanesco na kuanzisha makampuni binafsi yaje kupambana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…