mbeyakwetu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 723
- 394
Tafadhali onyeshaJmn hivi Hawa Tanesco wa mbeya siyo Tanzania au maana siwaelewi nimetoa taarifa kuwa nyumbani kwangu Kuna shida mita siku ya tatu saiv nawapigia cm hawafiki wanapiga viswahili tu hivi nyumba ikiungua wanalipa au ndo bahati mbaya tu
Tafadhali onyesha
Eneo
Wila
Simu
Tatizo
Toka lini
Namba ya taarifa
Kiongozi..nilitoa malalamiko ya tatizo la kukatika kwa umeme kwangu Kila siku saa 2 usiku..kwa muda wa miaka zaidi ya miwili Sasa.Asante,
Tunashukuru kwa kufatilia swala lako tunalifanyia kaziKiongozi..nilitoa malalamiko ya tatizo la kukatika kwa umeme kwangu Kila siku saa 2 usiku..kwa muda wa miaka zaidi ya miwili Sasa.
Walifika wataalamu wa Tanesco wakaniambia Ni low voltage..wakasema watarekebisha..nilikaa Kama mwezi nikafatilia ofisi ya Tanesco( mwanza) wakaniambia nivumilie.. lakini miezi inaenda bila tatizo kutatuliwa
Naomba ufafanuzi nifanye nini/nichukue hatua gani ili tatizo la "low voltage" liishe nipate umeme muda wote Kama wengine
Leonard.. Buswelu-Mwanza 0767101328
KWA NINI UMEME UNAKATIKA KATIKA KATIKA WILAYA YA BARIADI ?
Ni almost nchi nzima huku Pwani umerudi saa tano ya usikuKWA NINI UMEME UNAKATIKA KATIKA KATIKA WILAYA YA BARIADI ?
Tunashukuru kwa taarifa tafadhali onyesha namba ya simu kwa mrejesho zaidiMkuu TANESCO Leo jpili kuanzia saa tatu na dk 40 hadi hivi ninavyoandika Kimara mwisho pote hakuna umeme.Maeneo yote ya Mavurunza,Kam College,Matangini,Dawasco,Kimara sokoni,udart,kanisa katoliki Mt.Maria Kimara mwisho,Tra mpaka machinjioni kule kote hamna umeme.
Ndg yangu tanesco naomba sana hii hali mjitahidi ipotee.Dunia ya leo kukata umeme mara kwa mara mnaumiza sana jamii na taifa.You should find a way kuondoa kabisa hitilafu hizi au kupunguza uwezekano wake kutokea mara kwa mara,na hasa kunaponyesha mvua.Mtatusaidia sana.
TANESCO HUDUMA ZENU BADO SANAA HAPA UBUNGO BUSINESS PARK JUMATATU NA JUMANNE KUNA MGAO USIO RASMI SIKU NZIMA TUNAOMBA TUJULISHWE SHIDA NI NINI MAANA TUNA VIWANDA KUPOTEZA SIKU NZIMA BILA KUZALISHA NI HASARA. NATAFUTA NAMBA YA KALEMANI TANGU LAST WEEK SIJAPATA NIKIPATA NITATAKA KUJUA HAPA KUNA MGAO KILA WIKI?ILI TUJUEUnit 1 =352 dah kweli uchumi wa kati huuu
Tafadhali onyesja namba ya simuTANESCO HUDUMA ZENU BADO SANAA HAPA UBUNGO BUSINESS PARK JUMATATU NA JUMANNE KUNA MGAO USIO RASMI SIKU NZIMA TUNAOMBA TUJULISHWE SHIDA NI NINI MAANA TUNA VIWANDA KUPOTEZA SIKU NZIMA BILA KUZALISHA NI HASARA. NATAFUTA NAMBA YA KALEMANI TANGU LAST WEEK SIJAPATA NIKIPATA NITATAKA KUJUA HAPA KUNA MGAO KILA WIKI?ILI TUJUE
Una maana gani unaposema onyesha namba ya simu?Tafadhali onyesha namba ya simu