Je umelipa kwa jina gani na namba yako ya simu tafadhali
 
Je umelipa kwa jina gani na namba yako ya simu tafadhali
EDWIN ILOMO
0765929586
KAKA INBOX TUMECHAT NA WEWEKARIBIA MWEZ HADI LEO KIMYA.KILA SIKU MNAFAUATILIA MNAFAUATILIA...


Sms ya malipo HIYO hapo
REF:FH621651600265579 EDWIN R. ILOMO. umefanikiwa kulipia Bill Number 607 BILL:991032056804 TZS320960 RECEIPT:920260009135546 be 2020-09-16 17:13:00
 
Tanesco mkoa wa tabora kuna shida gani.Maanake umeme mkikatani masaa 10 yanapita mkierudisha ni saa 1 moja mnakata tena kuna tatizo gani?! Tumejaribu kuulizia majibu tunayopewa ni zaidi yanyodo...
Hapa DSM ndio michezo yao kila siku
 
Tanesco mkoa wa tabora kuna shida gani.Maanake umeme mkikatani masaa 10 yanapita mkierudisha ni saa 1 moja mnakata tena kuna tatizo gani?! Tumejaribu kuulizia majibu tunayopewa ni zaidi yanyodo....
Nileteeni mwanachato mwenzangu Kalemani. Au nasema uongo ndugu zangu?
 
NYINYI TANESCO KIUKWELI HAMNA HATA CHEMBE YA UBUNIFU KATIKA UTENDAJI WA KAZI ZENU, HIVI MNAONA NI SAHIHI KUKATA MITI MJI MZIMA NA KUHARIBU MAZINGIRA KISA NYAYA ZA UMEME!? HIVI MMESHINDWA KUBUNI NJIA NYINGINE ILI KUOKOA UKATAJI HOVYO WA MITI MKIELEWA KUWA DUNIA IKO KWENYE JANGA KUBWA LA MABADILIKO YA TABIA NCHI AMBAYO WATU KAMA NINYI NDIO MLIOTUFIKISHA HUKO, NASHANGAA ETI KUNA WIZARA YA MAZINGIRA NAYO HAIONI UKICHAA HUU! Hii nchi imefikia pabaya.
 
Upo umbali kitaalamu unapaswa kuachwa kutoka kwenye miundombinu ya umeme
 
Na nyinyi nyumba zenu zingekuwa hazijafikiwa na miundo mbinu nadhani namba tungekuwa tunaisoma wote lkn kwa sasa mnaona ni vizuri tu kuwaambia wenzenu wakae kusubiri miundo mbinu iwafikie
 
Je kuna mpango gan kuboresha huduma ya umeme Wilaya ya Ukerewe ambayo inapokea umeme kutoka bunda kupitia ziwa Victoria (Kisorya-Ngoma) ambapo kumekua na shida kwenye marine CABLE kila wakt hali inayopelekea wakazi wa ukerewe kukaa hta wiki nzima bila umeme
 
Huduma yenu ya kuunganisha umeme majumbani na viwandani ni miongoni mwa huduma zenye gharama kubwa huenda kuliko huduma nyingine yoyote, hakuna aliye aliyewalazimisha kutoa huduma hiyo bali ninyi wenyewe mlijiona mnafiti kuwa kwenye nafasi hiyo sasa inapofikia mahali inaonekana kana kwamba mnatoa sadaka tambueni mnawakosea wateja wenu.

Furaha yenu ni ipi wakati mkatapo umeme si chini ya mara 4/5 kwa siku wakati kwa wiki ni siku 2/3 zenye umeme peke yake tena si wa uhakika.

Jambo hili limekuwa sugu hasa Shinyanga vijijini ambapo kutokana na shughuli za kilimo hasa mpunga kuna mashine nyingi za kukoboa mpunga na kupaki mchele ambao unasafirishwa nje ya nchi na kwa matumizi ya ndani.

Ni vema wasimamizi wa vituo wachunguzwe huenda wakawa wanafanya haya kwa ajili ya interest zao!
 
Nipo kijiji cha ngombezi,wilaya ya korogwe,mkoa wa Tanga,kuna waya una hatari sana umepita juu ya nyumba yetu,tumeenda tanesco wilaya hapa korogwe wamesema tuandike barua tumeandika lakini mwezi wa pili sasa kila tukifuatilia wanasumbua tu,waya ule unatoa cheche kila mara,vipi mpaka yatokee madhara ndio mtastuka?
 

Hamna lolote, nilichouliza sicho ulichojibu, acha kujibu maswali ya msingi kwa mazoea, jibu swali Langu, Kuna uhusiano gani Kukatika kwa Umeme na Wakati mvua ikinyesha ?
 
Tafadhali onyesha

Jina

Eneo

Wilaya

Simu

Tatizo

Toka lini

Kwa hatua zaidi

Tutumie taarifa hizo inbox
 
Tafadhali onyesha

Jina

Eneo

Wilaya

Simu

Tatizo

Toka lini

Kwa hatua zaidi
 

Point sana, binafsi mimi nakimashine chao cha kuingizia lkn batani zake sinasumbua kuingiza hizo token namba, yaani mpaka uje kumaliza kuweka ushalowana jasho, so wakifanyia kazi huu yshauri itasaidia sana.
 
HATIMAYE JANA NDO WAMENIUNGANISHIA UMEME HAWA TANESCO....
 
TANESCO kuna shida gani Pugu? Hii ni wiki ya pili sasa kila siku umeme unakatika bila kutupa taarifa ya kina. Mpaka leo sikukuu muhimu sana Kitaifa na kimataifa mmekata umeme. Mnataka tunywe vinywaji vya moto? Huku joto ndani kukiwa hakukaliki. Kama kuna mgao semeni tujue ili tujioange kwa hili. Psychologically this is a big torture
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…