mrejesho wa taarifa hii niliyoitoa usiku wa jana.Tafadhali onyesha namba ya taarifa na namba ya simu kwa hatua zaidi
Wateja wote wa REA wanapewa unit 10 za mkopo wakinunua zitakatwa,upo kundi la matumizi ya nyumbaniSamahani TANESCO, Mimi Ni mteja mpya nimefungiwa umeme leo na Mradi ulitekelezwa na REA. Wenzangu wamepewa units 50 kila mmoja lakini Mimi nimepewa units 10 tu! Sababu ni Nini?! Pia naomba kujuzwa nipo kwenye daraja gani la tarrif maana kwa utofauti uliojitokeza Nina wasiwasi.
Namba ya meter ni 37220559852
Namba ya simu ni 0621149433
Nipo Kilindi mkoani Tanga
Tafadhali onyesha wilaya gani na namba ya simuNaomba msaada wenu. Nimefungiwa umeme leo. Nikinunua umeme naambiwa namba ya mita haitambulikiView attachment 1666696
Shukran Sana mkuuWateja wote wa REA wanapewa unit 10 za mkopo wakinunua zitakatwa,upo kundi la matumizi ya nyumbani
Nimetoka kuongea na Wilayani wamesema watalishughulikia keshoTafadhali onyesha wilaya gani na namba ya simu
Mimi ni Mkazi wa eneo la mwembe mtengu mkokozi maeneo ya kanisa la kkkt,
Napenda kutoa dukuduku langu leo maana tumeshakaa na kuvumilia muda mrefu sasa bila jawabu kutoka kwa wahusika,
Eneo tuliopo ni muda sasa hakuna nishati ya umeme, licha ya wenzetu waliotuzunguka pande zote nne wanawekewa umeme na hadi hivi sasa naandika hapa wameshawashia hapo juzi, lakini sisi hakuna hata procedure zinazoendelea,
Miezi mitatu iliyopita tulipeleka maombi ya kuhudumiwa Tanesco ya mkuranga, walituahidi mwezi unaoanza (September) wangekuja kufanya survey wajue nguzo ngapi zinatosha kutokea umeme ulipokomea, licha ya kuwajibu kuwa kuna nguzo mbili tu kutoka umeme ulipo na Nyumba ya kwanza kwenye eneo letu, na hadi umeme ufikie Nyumba zote zilizoeneo letu (jumla nyumba 20 tu) ni nguzo saba 7 pekee kuanzia na Zile mbili za njiani.
Hadi hivi leo ninavyoongea hakuna kilichofanyika tumeshafanya juhudi za kurudi kufatilia atleast wangekuja tu kutupa tu nguzo chini kungekuwa na ahueni Kuna jambo limetendeka,
Hili eneo jeografia yake sio nzuri, ni mwisho wa eneo hili la mkokozi tumezungukwa na bonde hivyo inapelekea hakuna eneo la makazi tena ukitoka kwetu , wezi na vibaka wanachukua advantage hiyo kutoka kwenye mabonde huko kuja huku kwetu kufanya uhalifu kwa sababu hakuna umeme ni giza totoro ikifika saa moja tu,
Hata ukichukua boda boda usiku hakufikishi hadi kwako kwakuhofia usalama wake anakuachia hapo kkkt kanisani palipo na umeme,
Tunaomba mtusaidie tuna jitahidi kujenga kupendezesha mji na kuleta maendeleo lakini serikali yetu inatukwamisha.
Namba zangu ni
0768900531
Johnson Mgaya.
Mkazi wa mwembe mtengu, mkokozi , kkkt kwa diwani.
Ahsante kwa ukumbushoHabari za wakati huu ndugu zangu.
Heri ya mwaka mpya.
Napenda kuipongeza shirika la umeme Tanzania kwa kunifikia kwa awamu ya kwanza.
Baada ya kuandika ujumbe huu juzi jumamosi nilitembelewa na wahusika nyumbani kwangu nashukuru wamejionea Changamoto tunayoipata na uhitaji tulio nao.
Mafundi (surveyors) walifika eneo husika tukajadili kuhusu shida yetu na wakachukua majina ya wahusika eneo hilo Bahati nzuri tulishajaza forms za maombi ya umeme na kuloji Tanesco mkuranga hivyo nikawafahamisha tayari hiyo stage tulishaivuka.
Baada ya majadiliano wahusika wakaniambia leo juma Tatu (siku ya kazi ) nitapigiwa simu kujua kinachoendelea na kitakachojiri,
Hadi muda huu sijapigiwa bado simu na siku tumeshaigawa,
tafadhalini tunaomba mrejesho.
narudi tena hapa kuomba speed mliyoianza imalizieni najua mmetingwa wahitaji ni wengi ila tunaomba mtusaidie, eneo husika tukipata nguzo kadhaa tu zitatosha tutapitishiana waya hata juu ya nyuma zetu ili tupate sote umeme.
Asanteni.
Johnson Mgaya
0768900531
BADO Sana mkuu [emoji28] nimepata Huduma ya umeme baada ya miezi 9 Kama Mimba[emoji28] tena kwa mbinde. Nilisaidiwa na makao makuu kupata control number bila hivyo ningekuwa nahangaishwa na Wilayani Hadi leoNadhani kama shirika mnapaswa kuyafanyia kazi malalamiko mengi yanayotolewa na wateja juu ya Tawi lenu la Kibaha. Nikiwa kama mmoja wa waombaji wa kuunganisha huduma, katika eneo la Kongowe Kati, wilaya ya Kibaha, tokea mwezi 10, 2020 mpaka leo hii tarehe 5 Jan, 2021 sina matarajio ya kupata huduma hiyo kwa weredi wa kawaida. Matatizo ya msingi yapo kwenye Survior na kupata Control namba ili uweze kulipia. Hembu tuwekeni wazi kuwa hizi ndizo policy za shirika kwamba mteja lazima asumbuke kupata huduma, au mnakiri kuwa mnao watendaji ambao hawana weredi na mnashindwa kuwawajibisha?
Tafadhali onyesha namba ya simuNadhani kama shirika mnapaswa kuyafanyia kazi malalamiko mengi yanayotolewa na wateja juu ya Tawi lenu la Kibaha. Nikiwa kama mmoja wa waombaji wa kuunganisha huduma, katika eneo la Kongowe Kati, wilaya ya Kibaha, tokea mwezi 10, 2020 mpaka leo hii tarehe 5 Jan, 2021 sina matarajio ya kupata huduma hiyo kwa weredi wa kawaida. Matatizo ya msingi yapo kwenye Survior na kupata Control namba ili uweze kulipia. Hembu tuwekeni wazi kuwa hizi ndizo policy za shirika kwamba mteja lazima asumbuke kupata huduma, au mnakiri kuwa mnao watendaji ambao hawana weredi na mnashindwa kuwawajibisha?
0717052327Tafadhali onyesha namba ya simu
Mteja analipia gharama ya kuunganishiwa umeme na sio vifaaKuna wakati tu naambiwa unapoomba umeme nguzo hazilipiwi, lakini huku Gongolamboto Daressalaam hakuna kitu kama hicho! Tunalipishwa tu!
Naomba ufafanuzi, hii habari ni kweli kwamba nguzo hazilipiwi au ikoje!?
Nyumbani kwangu ili niunganishwe umeme nimeambiwa panahitajika nguzo tatu!!
Kuna muda nimeona malalamiko kwamba unajibu kihuni au kama robot! Hakuna 'kastama kea' hapa! Ikiwa unachoka maswali kausha usijibu!!Mteja analipia gharama ya kuunganishiwa umeme na sio vifaa
Tunaendelea kukuelimisha kuwa mteja analipia gharama ya kuunganishiwa umeme na sio vifaa.Gharama hizi zinatofautiana kati ya mijini na vijijini ambapo vijijini wateja wanalipa 27000 tu mijini gharama inategemea na sababu nyingi ambazo zibaonyeshwa kwenye barua ya makadirioKuna muda nimeona malalamiko kwamba unajibu kihuni au kama robot! Hakuna 'kastama kea' hapa! Ikiwa unachoka maswali kausha usijibu!!
Inajulikana kwamba mteja analipia gharama ya kuunganishiwa umeme na sio vifaa, sawa! Lakini vifaa hivyo vinapojumuisha nguzo iwe moja au zaidi hupelekea gharama kuwa kubwa sana kuliko mteja asiyehitaji nguzo kufungiwa umeme!
Je tunagharamia nguzo ama la!
Nikihitaji kuunganishiwa umeme bila nguzo kutumika Huku Gongo la mboto nalipia 321,000Tsh ikihitajika nguzo moja nalipia 500k+ ikihitajika nguzo zaidi ya moja bei huogezeka maradufu!!
Huwezi kulitolea hili ufafanuzi kausha na usijibu kama wewe ni Polisi!!
Tafadhali onyesha namba ya simu,namba ya mit na wilaya husikaBaada ya msoto wa muda mrefu hatimae wamenifungia umeme ila sasa msoto umehamia kwenye kusajili meter number.. ni wiki sasa inakatika kila nikienda wananiambia nunua kesho ila holaaa..
Naweza pata msaada upi hapo.. na inasemekana umeme ukiisha meter itajiblock sina uhakika kama ni Kweli.. hem naombeni muongozo hapo